Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Nampa pole Waziri MKUU na Rais
KWA fedheha na aibu tulioipata kama Taifa kwenye hii ajali ya ndege, mengi yameandikwa lakini NIMEONA niwape mbadala kwa siku za mbeleni kama yakitokea kama Hayo tulioyaona!
Naamini kama Waziri MKUU angemuomba CDF amsaidie kwenye hili nadhani tungeshuhudia tukio la kujivunia kama Taifa na historia kuandikwa, CDF angetoa order KWA special force kikosi cha dharura na kingejitosa ipasavyo na leo hii wahanga wangeokolewa na sio wavuvi na wasamaria ambao wamejitosa na kuhatarisha Maisha yao kwa ajili ya kuokoa wapendwa wao na kuleta aibu KWA Taifa kwamba hatukujiandaa na majanga ya kitaifa kama haya!
Tumeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye hili na tunapaswa kuchutama na kuja na Mpango kazi kabambe ambao ungetusaisaidia kama Taifa!
Makomando kwa uwezo wao ambao tumeushuhudia kwenye maadhimisho ya KILA mwaka ya muungano nadhani wangeweza kuokoa wahanga ndani ya Muda mfupi kuliko sintofahamu ambayo imejitokeza!
Jeshi la wananchi ndio tumaini pekee la mwisho pale mambo yanapokuwa nje ya uwezo wetu!!
Mungu ibariki nchi YANGU TANZANIA
KWA fedheha na aibu tulioipata kama Taifa kwenye hii ajali ya ndege, mengi yameandikwa lakini NIMEONA niwape mbadala kwa siku za mbeleni kama yakitokea kama Hayo tulioyaona!
Naamini kama Waziri MKUU angemuomba CDF amsaidie kwenye hili nadhani tungeshuhudia tukio la kujivunia kama Taifa na historia kuandikwa, CDF angetoa order KWA special force kikosi cha dharura na kingejitosa ipasavyo na leo hii wahanga wangeokolewa na sio wavuvi na wasamaria ambao wamejitosa na kuhatarisha Maisha yao kwa ajili ya kuokoa wapendwa wao na kuleta aibu KWA Taifa kwamba hatukujiandaa na majanga ya kitaifa kama haya!
Tumeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye hili na tunapaswa kuchutama na kuja na Mpango kazi kabambe ambao ungetusaisaidia kama Taifa!
Makomando kwa uwezo wao ambao tumeushuhudia kwenye maadhimisho ya KILA mwaka ya muungano nadhani wangeweza kuokoa wahanga ndani ya Muda mfupi kuliko sintofahamu ambayo imejitokeza!
Jeshi la wananchi ndio tumaini pekee la mwisho pale mambo yanapokuwa nje ya uwezo wetu!!
Mungu ibariki nchi YANGU TANZANIA