Mngeomba msaada kwa CDF, angewapa makomando, wangeonyesha uwezo wao na kuokoa wahanga wa ajali ya ndege

Mngeomba msaada kwa CDF, angewapa makomando, wangeonyesha uwezo wao na kuokoa wahanga wa ajali ya ndege

Yet wangechelewa aisee na uhakika Bukoba kuna vikosi vya jeshi na zimamoto ila pengine not specialized kwenye maji
Sema uchelewaji mwingine nipale mamlaka zetu ,wamejikita kuzalau taarifa za KWENYE mitandao,utasikia tunasubili taarifa rasmi, alafu ni aibu Kama kuna kiongonzi wa nchi hii ukitoa Rais,pm, vice president kushindwa KWA siku ingia jf Hata Mara tatu,

Hili jukwaa watapata Mambo mengi, mfano taarifa ya ndege imefika mapema Hata kabla Chalamila ajawasha li v8 KWENDA KWENYE majukum yake ya KILA siku,

Nasema Kuna majukwaa jf ata wabunge waccm wakiwa wanayapitia watapata elimu ya kutosha na kuacha piga makofi kwa kila Jambo.

Wakikutana na kingereza kigum bado yupo mzee wa kutema yai Dr Msukuma(Mbunge) atatafasili
 
Nampa pole Waziri MKUU na Rais

KWA fedheha na aibu tulioipata kama Taifa kwenye hii ajali ya ndege, mengi yameandikwa lakini NIMEONA niwape mbadala kwa siku za mbeleni kama yakitokea kama Hayo tulioyaona...
Angemuomba? Jeshini kuna amri tu,kwa upande mwingine unasema jeshi kushiriki ni mpaka (waombwe)?
 
Usi-overrate,ile ajali kila mtu alikua anahitajika kutoa msaada,na ilikua open Kwa chombo chochote kutoa msaada.Ulivyoona ndiyo uhalisia.
 
Jeshi letu ni imara swali ni kwamba wamewezeshwa kwenye zana na kimbinu za majanga kama ajali?

Kila maonyesho ya Siku za Uhuru huwa tunaona ndegevita na helicopter nyingi zikipita,je hakukuwa na umuhimu wa kuwabeba wabobezi wa Navy na kuwawahisha eneo la tukio? Badala yake tukaridhika na kasi ya uokoaji wa wananchi wa kawaida??
 
Ina maana na victoria kj hawapo !?wakati ndio ENEO la maafa makubwa NCHINI!!?
Sasa unaanzisha mada inayokuzidi upeo unategemea nini. Unadhani kila komandoo anazama majini kuokoa watu? Unajua hao divers wa Navy wako kambi gani na wangetumia masaa mangapi kufika Bukoba?
 
Sasa unaanzisha mada inayokuzidi upeo unategemea nini. Unadhani kila komandoo anazama majini kuokoa watu? Unajua hao divers wa Navy wako kambi gani na wangetumia masaa mangapi kufika Bukoba?
Kama haipo Basi iwepo ndio maana jukwaa hiki ni la kujifunza Mengi!!

Ziwa victoria ni ziwa la ajali nyingi kihistoria kulipaswa iwepo victoria kj mahsusi kwa hayo!
 
Nampa pole Waziri MKUU na Rais

KWA fedheha na aibu tulioipata kama Taifa kwenye hii ajali ya ndege, mengi yameandikwa lakini NIMEONA niwape mbadala kwa siku za mbeleni kama yakitokea kama Hayo tulioyaona!

Naamini kama Waziri MKUU angemuomba CDF amsaidie kwenye hili nadhani tungeshuhudia tukio lakujivunia kama Taifa na historia kuandikwa, CDF angetoa order KWA special force kikosi cha dharura na kingejitosa ipasavyo na leo hii wahanga wangeokolewa na sio wavuvi na wasamaria ambao wamejitosa na kuhatarisha Maisha yao kwa ajili ya kuokoa wapendwa wao na kuleta aibu KWA Taifa kwamba hatukujiandaa na majanga ya kitaifa kama haya!

Tumeonyesha udhaifu mkubwa Sana KWENYE hili na tunapaswa kuchutama na kuja na Mpango kazi kabambe ambao ungetusaisaidia kama Taifa!

Makomando kwa uwezo wao ambao tumeushuhudia kwenye maadhimisho ya KILA mwaka ya muungano nadhani wangeweza kuokoa wahanga ndani ya Muda mfupi kuliko sintofahamu ambayo imejitokeza!

Jeshi la wananchi ndio tumaini pekee la mwisho pale mambo yanapokuwa nje ya uwezo wetu!!

Mungu ibariki nchi YANGU TANZANIA
Makomandoo wale wanaovunja matofali kwa kichwa , au ?

FB_IMG_1667899998664.jpg
 
Kama haipo Basi iwepo ndio maana jukwaa hiki ni la kujifunza Mengi!!

Ziwa victoria ni ziwa la ajali nyingi kihistoria kulipaswa iwepo victoria kj mahsusi kwa hayo!
Na mbona unasema Waziri Mkuu amuombe CDF. Kwani serikali huwa inaliomba jeshi, hata jeshi lenyewe linajua kabisa halipo kwa ajili ya kuombwa na kubembelezwa
 
Kwenye kesi YA Mbowe Kuna Yule luten Urio komandoo nilimsikia akisema Kuna kikosi kinaitwa QRU yaan Quick Response Unit nadhan huwa wanaenda popote wanapohitajika kunapotokea dharura.
 
Nampa pole Waziri MKUU na Rais

KWA fedheha na aibu tulioipata kama Taifa kwenye hii ajali ya ndege, mengi yameandikwa lakini NIMEONA niwape mbadala kwa siku za mbeleni kama yakitokea kama Hayo tulioyaona!

Naamini kama Waziri MKUU angemuomba CDF amsaidie kwenye hili nadhani tungeshuhudia tukio la kujivunia kama Taifa na historia kuandikwa, CDF angetoa order KWA special force kikosi cha dharura na kingejitosa ipasavyo na leo hii wahanga wangeokolewa na sio wavuvi na wasamaria ambao wamejitosa na kuhatarisha Maisha yao kwa ajili ya kuokoa wapendwa wao na kuleta aibu KWA Taifa kwamba hatukujiandaa na majanga ya kitaifa kama haya!

Tumeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye hili na tunapaswa kuchutama na kuja na Mpango kazi kabambe ambao ungetusaisaidia kama Taifa!

Makomando kwa uwezo wao ambao tumeushuhudia kwenye maadhimisho ya KILA mwaka ya muungano nadhani wangeweza kuokoa wahanga ndani ya Muda mfupi kuliko sintofahamu ambayo imejitokeza!

Jeshi la wananchi ndio tumaini pekee la mwisho pale mambo yanapokuwa nje ya uwezo wetu!!

Mungu ibariki nchi YANGU TANZANIA

Jifunze kwanza scope ya Sf . Si kila tatizo wanahusika.
 
Back
Top Bottom