The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
NgeseSi mlikuwa mnamtukana Magufuli?
Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?
Season ya nyumbu migration imeanza rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NgeseSi mlikuwa mnamtukana Magufuli?
Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?
Season ya nyumbu migration imeanza rasmi
Kama hao NHC wanajenga nyumba na kuwauzia watu, kulikuwa na shida gani kumuuzia mbowe hilo eneo......ni kitu gani wame achieve ikiwa hilo eneo limetelekezwa na limepoteza hadhi yake iliyokuwepo, akili za kingese hizi....Hilo lilikuwa jengo la NHC.
Mbowe alitaka kutumia janjajanja za kichagga kuripora huku akiambiwa kurudisha anaingiza siasa.
Sasa kama alikataa kulipa kodi ya kulipanga hilo jengo kwa kisingizio kuwa kafanya ukarabati, huko kununua ndio angeweza.Kama hao NHC wanajenga nyumba na kuwauzia watu, kulikuwa na shida gani kumuuzia mbowe hilo eneo......ni kitu gani wame achieve ikiwa hilo eneo limetelekezwa na limepoteza hadhi yake iliyokuwepo, akili za kingese hizi....
Solution ndio ikawa kulivunja??Hilo lilikuwa jengo la NHC.
Mbowe alitaka kutumia janjajanja za kichagga kuripora huku akiambiwa kurudisha anaingiza siasa.
Roho mbaya kaambulia nini zaidi ya JehanamuHilo lilikuwa jengo la NHC.
Mbowe alitaka kutumia janjajanja za kichagga kuripora huku akiambiwa kurudisha anaingiza siasa.
Wacha tunywe bia leo week end MkuuYule mwendazake heartless bora amepumzishwa maana taifa lilikuwa poisoned
NHC hawajengi club za pombe, sasa labda wana plan ya kujenga kitu kingine.Solution ndio ikawa kulivunja??
Sawa, ila sababu hasa ya kupavunja ilikua ni mbowe hataki kupaachia??NHC hawajengi club za pombe, sasa labda wana plan ya kujenga kitu kingine.
Mbowe alipelekwa hadi mahakamani akashindwa kesi enzi za Kikwete, lakini akawa anavumiliwa tu na kuheshimiwa kwasababu za kisiasa.Sawa, ila sababu hasa ya kupavunja ilikua ni mbowe hataki kupaachia??
Mmmmh lipumba tutamtoa wapi sie, hebu tufafanulie ilikua pole ya nini hiyo?Hivi mnajua histolia ya hilo jengo .ukweli ni kwamba jengo hilo mzee ekaeli mbowe alipewa pole na baba wa taifa enzi hizooooo. Kwa ulefu wa habali zaid mtafuteni lipumba atawaaambia kwamba mbowe ndio mmliki halali wa hilo jengo amerithi kutoka kwa baba yake.
Ila wewe jamaa una roho ya kimasikini Sana,pole .Mbowe alipelekwa hadi mahakamani akashindwa kesi enzi Kikwete, lakini akawa anavumiliwa tu na kuheshimiwa kwasababu za kisiasa.
Ila sasa alivyoingia Kibwengo 'akarara' naye mbele.
Kwani aliyetoa amri ya kivunja ni mama au magufuli,uliza kwanza usisambaze maneno itakuwa umbea tuSi mlikuwa mnamtukana Magufuli?
Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?
Season ya nyumbu migration imeanza rasmi
Kwahio mkaamua mbomoe? Akili za kimaskiniHilo lilikuwa jengo la NHC.
Mbowe alitaka kutumia janjajanja za kichagga kuripora huku akiambiwa kurudisha anaingiza siasa.
Wewe una roho ya umsukule, anayekufuga huwa hakosei.Ila wewe jamaa una roho ya kimasikini Sana,pole .
Halooo!!!! Amka amka!!! nahisi umeacha njia!!!Si mlikuwa mnamtukana Magufuli?
Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?
Season ya nyumbu migration imeanza rasmi
Waliotoa amri ya kuvunja hakika waliendeshwa na roho mbaya na ndio maana hadi leo kuna mavumbi hamna chochote walichofanya mbwa hawaView attachment 1847044
Ukumbi huu ulikuwa mzuri na wa kiasi chake miaka hiyo.
Mara ikatoka amri kulivunja jengo, kupiti NHC na aliyetoa taamko ni Mchechu, Mkurugenzi Mkuu wake.
Jengo lilikuwa la kihistoria na Club Bilicanas ilikuwa yavuti hata watalii kw ajili cafe yake ya Hard Rock.
Nimepita hapo leo, ni parking ya vumbi tu na miaka inapita hakuna mpango wowote wa ujenzi, si NHC wala Serikaii.
Najiuiza, kama si roho mbaya ya aliyeagiza livunjwe jengo lile, sasa hiki kilikuwa nini?
Mtu muovu hufulahia wenzake wapatapo matatizo na yote yanatokana na malezi uliyopitia.Kwa ufupi umetokea kwenye familia yenye umasikini mkubwa ndo Mana una roho mbaya tena ya kichawi,kwa hyo sikulaumu Sana Mana unakua kama unajiliwaza ili kusahau shida zako.pole Sana.Wewe una roho ya umsukule, anayekufuga huwa hakosei.