Mniambie kama si roho mbaya kuvunja Bilicanas, basi ni nini?

Mniambie kama si roho mbaya kuvunja Bilicanas, basi ni nini?

View attachment 1847044

Ukumbi huu ulikuwa mzuri na wa kiasi chake miaka hiyo.
Mara ikatoka amri kulivunja jengo, kupiti NHC na aliyetoa taamko ni Mchechu, Mkurugenzi Mkuu wake.

Jengo lilikuwa la kihistoria na Club Bilicanas ilikuwa yavuti hata watalii kw ajili cafe yake ya Hard Rock.
Nimepita hapo leo, ni parking ya vumbi tu na miaka inapita hakuna mpango wowote wa ujenzi, si NHC wala Serikaii.

Najiuiza, kama si roho mbaya ya aliyeagiza livunjwe jengo lile, sasa hiki kilikuwa nini?
Dawa za kulevya zilikuwa hapo hatari sana.

Usione jiji limepoa na madawa ya kulevya ukazani ilikuwa Kazi ya kitoto.
 
Si mlikuwa mnamtukana Magufuli?

Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?

Season ya nyumbu migration imeanza rasmi
Okay
 
Majengo yote yaliyoko mjini kati hapa Dar na huko mikoani yalikuwa mali ya halali ya watanzania wenye asili ya Asia. Baada tamko la azimio la Arusha majengo yote yalitaifishwa na kuwa chini ya msajili wa majumba na hatimae yakawa chini ya NHC. Waasia waliambulia kuwa wapangaji kwenye majengo hayo hadi leo, lakini wengi walijiongeza na kuhamia UK na Canada ambazo wakati huo mtanzania aliweza kuingia bila viza akiwa na pesa zake za kutosha.

Baba yake Mbowe alikuwa na ukaribu fulani na mkuu wa nchi wa wakati huo JKN, ukaribu huo ulioonekana wazi mkuu huyo wa nchi alipotembelea mkoa wa Kilimanjaro.
Mzee Mbowe maarufu sana pale Machame alikuwa na biashara kadhaa ikiwemo ya mahoteli, Moshi na baadaye Dar es salaam.

Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikuwa na Mbowe Oceanic Hotels ambayo ilikuja kuwa habari kubwa ya mjini. Club Bilicanas nayo ilifunguliwa katika jengo la Serikali katika mazingira ya ujanja ujanja wakati huo Serikalini mipango ya kujuana na kulindana ikishamiri.

Inaelekea kuwa mmiliki au mwanzilishi wa Club Bilicanas alipoenda zake aliyerithi alianza kuwa na kibri na madharau na hivyo kutoka kwenye msingi wa makubaliano, kwenye awamu ya nne tayari kulikuwa na mgogoro kati ya Club Bilicanas na Serikali.

Awamu ya tano na Kasi iliyoanza nayo ilikuja tu kukazia maamuzi ambayo yaliishafanywa kwenye awamu ya nne. Ikumbukwe tu kuwa wakati huo NHC chini ya Mchechu ilikuwa na mipango ya kufa mtu... Kwa hivyo siyo kweli kuwa Mbowe alionewa na wala hakuwa mmiliki halali wa jengo lililobomolewa. Ila kumbu kumbu inabaki kuwa kwenye ujana wangu nilicheza sana Disco pale.
 
Majengo yote yaliyoko mjini kati hapa Dar na huko mikoani yalikuwa mali ya halali ya watanzania wenye asili ya Asia. Baada tamko la azimio la Arusha majengo yote yalitaifishwa na kuwa chini ya msajili wa majumba na hatimae yakawa chini ya NHC. Waasia waliambulia kuwa wapangaji kwenye majengo hayo hadi leo, lakini wengi walijiongeza na kuhamia UK na Canada ambazo wakati huo mtanzania aliweza kuingia bila viza akiwa na pesa zake za kutosha.

Baba yake Mbowe alikuwa na ukaribu fulani na mkuu wa nchi wa wakati huo JKN, ukaribu huo ulioonekana wazi mkuu huyo wa nchi alipotembelea mkoa wa Kilimanjaro.
Mzee Mbowe maarufu sana pale Machame alikuwa na biashara kadhaa ikiwemo ya mahoteli, Moshi na baadaye Dar es salaam.

Kwa wanaokumbuka miaka ya 80 kulikuwa na Mbowe Oceanic Hotels ambayo ilikuja kuwa habari kubwa ya mjini. Club Bilicanas nayo ilifunguliwa katika jengo la Serikali katika mazingira ya ujanja ujanja wakati huo Serikalini mipango ya kujuana na kulindana ikishamiri.

Inaelekea kuwa mmiliki au mwanzilishi wa Club Bilicanas alipoenda zake aliyerithi alianza kuwa na kibri na madharau na hivyo kutoka kwenye msingi wa makubaliano, kwenye awamu ya nne tayari kulikuwa na mgogoro kati ya Club Bilicanas na Serikali.

Awamu ya tano na Kasi iliyoanza nayo ilikuja tu kukazia maamuzi ambayo yaliishafanywa kwenye awamu ya nne. Ikumbukwe tu kuwa wakati huo NHC chini ya Mchechu ilikuwa na mipango ya kufa mtu... Kwa hivyo siyo kweli kuwa Mbowe alionewa na wala hakuwa mmiliki halali wa jengo lililobomolewa. Ila kumbu kumbu inabaki kuwa kwenye ujana wangu nilicheza sana Disco pale.
Baada ya kumzuia mbowe mlipata faida gani? Tra imekusanya kodi ya biashara kiasi gani? Au ni zile sera za umaskini ... Heri tukose wote.. mlikuwa mnaendeleza??
 
View attachment 1847044

Ukumbi huu ulikuwa mzuri na wa kiasi chake miaka hiyo.
Mara ikatoka amri kulivunja jengo, kupiti NHC na aliyetoa taamko ni Mchechu, Mkurugenzi Mkuu wake.

Jengo lilikuwa la kihistoria na Club Bilicanas ilikuwa yavuti hata watalii kw ajili cafe yake ya Hard Rock.
Nimepita hapo leo, ni parking ya vumbi tu na miaka inapita hakuna mpango wowote wa ujenzi, si NHC wala Serikaii.

Najiuiza, kama si roho mbaya ya aliyeagiza livunjwe jengo lile, sasa hiki kilikuwa nini?i
i
alikuwa na roho mbaya sana,alikuwa hapendi kupata mwingine, yule sidhani Kama alikuwa Mtanzania, watanzania tuna roho mbaya,ila yeye alikuwa ana roho ya kishetani kabisa
 
Baada ya kumzuia mbowe mlipata faida gani? Tra imekusanya kodi ya biashara kiasi gani? Au ni zile sera za umaskini ... Heri tukose wote.. mlikuwa mnaendeleza??
Sasa jamaa yangu hasira zako unazihamishia kwangu kwa lipi?, mimi nahusika vipi na msala huo? Nimetoa fununu ya kile kilichokuwa kinaendelea ili asiyejua ajue, na Forum hii ndio mahala pake. 😳
 
upo sahihi kwa baadhi ya maeneo, ila kwa historia hiyo Hotel ni mali halisi ya Mzee Mbowe, na alianzia sehemu ilipo Extelecoms, akahamishiwa Mtaa wa Mkwepu na Makunganya na utawala wa Kambarage ndipo akahamia katika Jengo hilo, na Freeman alijenga ndani /katikati ya majengo hayo Jengo lingine ya NHC na akaliita R.S.V.P. miaka ya 1980 maDJ wakiwa nina Nyaisanga, Kalikali nk Mwaka wa 1992 wakabadili jina na kuwa Club Billicanas na inasemekana lilitokana na Africa Magharibi

The old man, Aikaeli Mbowe, retired and handed over the reins to his son, Freeman. Armed with creativity, he redesigned the hotel to turn it into a fully fledged night club.
He came in with his own changes and that included a new name RSVP to reflect a touch of the changing class that had a completely different taste of entertainment.
But this name didn’t last that long as the new administrator chose to redesign to match with developments of the clubs in other parts of the world. The facility was then given a distinct taste in night life.
With the redesign and a new name, ‘Club Bilcanas’ in 1992, a new dawn and era of entertainment that would last for 22 years ushered in the city of Dar es Salaam

1625939515551.png
https://www.thecitizen.co.tz/tanzan...iconic-club-bilicanas-is-flattened-2578584Hii issue ni ya kisiasa, inasemekana amesharejeshea / atarejeshewa
NHC ordered the building in which the club was housed demolished after frantic attempts by the tenant to save it failed.
Mbowe Hotels lost a court case against NHC which he accused of seeking to throw him out of the building “for political reasons.”

cc @Jidu La Mabambasi
 
Yule mwendazake heartless bora amepumzishwa maana taifa lilikuwa poisoned
1625941719263.png
Anthony Diallo katema nyongo na anajuta kusaidia Kampeni za Mwendazake, km Waukuma wenzake walitegemea kusaidiwa na hawakukumbukwa je sisi waTZ ( Star TV)
VRUGJS7x_mini.jpg


Darmpya Blog

@darmpya_
· 11h
Mwaka 2015 vyombo vyetu vya Radio Free na Star TV tuliweka nguvu kubwa kwa sababu tuliona mashaka ya kutaka kushindwa Uchaguzi. Tathamini tuliyofanya watu waligeuka wiki tatu za mwisho. CCM tulijua uchaguzi ule hatutashinda"_Athony Diallo Mwenyekiti CCM mkoa wa Mwanza
 
Back
Top Bottom