Mnielimishe: Ni kitu gani haswa Nyerere alikitaka kwenye Muungano, maana nachoona tunapigwa wazi wazi

Sawa
 
Wacha ujinga, kaka. Utumwa hautarudi. Wakati ule ilienea kwa sababu watu wa bara walitaka kuuza wafungwa wao, walifurahi kupata wateja Zanzibar.
 
Kwanza fahamu sheria za kimataifa zinataka meli zote zisizo za kijeshi au kijasusi kuruhusiwa kupita bila bugdha hata katika nm 36 zilizo ndani ya umiliki wa taifa linalopakana na bahari halafu hizo km 58 kwa upande wetu hazitatutosha kupita katika hako kasehemu kadogo hadi twende kwenye hizo zao 58?

Eneo la bahari ya Tanzani ni kubwa sana na matumizi yake mpaka sasa ni kiduchu tu, umewahi kufikiria ncho kubwa kama Ethiopia, Congo na Uganda maisha yanaendaje bila bahari?!
 
Wacha ujinga, kaka. Utumwa hautarudi. Wakati ule ilienea kwa sababu watu wa bara walitaka kuuza wafungwa wao, walifurahi kupata wateja Zanzibar.

Vipi ndugu zetu, dada zetu wanapata treatment gani hapo Saudi Arabia. Mamilioni ya wanaume walihasiwa. Weusi hapo Zenji walikuwa second class citizens.

Kwanini unafikiri mapinduzi yalitokea? kwanini unafikiri Karume alilazimisha wanawake waarabu waolewe kwa nguvu na Weusi? Yeye mwenyewe alifanya hivyo. Unafikiri naye alikuwa mjinga.
 
Wao ndo hujiona kuwa wanadhulumiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la maharamia na dawa za kulevya utalinda katika km zako 58 ulizopakana nao na huko kwengine kusipopakana na sehemu yoyote lakini pia kuna wakati hata sisi tuliomba ushirikiano kutoka Africa ya Kusini kupambana na uvuvi harama katika bahari kuu, suala la mataifa kusaidiwa, kusaidiana na kushirikiana katika ulinzi wa eneo la bahari ni la kawaida sana duniani kote.
 

Najua yote unayoyasema, lakini haiondoi ukweli hayo ndio yatakuwa madai yao. Hata mimi ni muumini wa muungano wenye tija, Serikali tatu. Ulinzi, usalama wa Wazanzibar wote na Watanganyika ni swala la Serikali kuu, maisha ya kuu kwa miaka 1000 ijayo.

Hatuwezi tena kukubali ,kurudia uhuni tuliofanyiwa kwa miaka zaidi ya 600 iliyopita.
 
Wacha ujinga, kaka. Utumwa hautarudi. Wakati ule ilienea kwa sababu watu wa bara walitaka kuuza wafungwa wao, walifurahi kupata wateja Zanzibar.

Of course utasema hivyo. Mamilioni waliuzwa utumwani, mamilioni kuuwawa, kubakwa,kulawitiwa, kuhasiwa, kuteswa.

Kwa maoni yako walitaka, walipenda na kufurahi kutendewa haya matendo.
 
Waafrika walihusika kukamata na waliuza Waafrika wenzao pia katika biashara ya utumwa.
Of course utasema hivyo. Mamilioni waliuzwa utumwani, mamilioni kuuwawa, kubakwa,kulawitiwa, kuhasiwa, kuteswa.

Kwa maoni yako walitaka, walipenda na kufurahi kutendewa haya matendo.
 
Of course utasema hivyo. Mamilioni waliuzwa utumwani, mamilioni kuuwawa, kubakwa,kulawitiwa, kuhasiwa, kuteswa.

Kwa maoni yako walitaka, walipenda na kufurahi kutendewa haya matendo.
Jaribu kusoma kabla ya kujibu. Hakuna aliyetaka kuwa mtumwa. Ila machifu wengi, pamoja na wajasiriamali huru walipenda kuuza watu ili wapate hela. Waarabu walifanya biashara ya watumwa, kweli. Ila kila biashara inahitaji mnunuzi na mwuzaji. Sivyo? Waarabu kutoka püwani walikuta wengi walikuwa tayari kukamata watu na kuwauzia.
 
Waafrika walihusika kukamata na waliuza Waafrika wenzao pia katika biashara ya utumwa.

Baadhi, ni sawa na kusema Red Indians in North and South Amerika, (wahindi wekundu Amerika ya Kusini na Kaskazini), Aborigines wa Australia, New Zealand walihusika na kukubali kuuliwa, kuteswa na kutokomezwa duniani.
 
Hata wakija leo kuna Watanzania wachache watakuwa tayari kufanya biashara ya kuwauxa wenzao. Hiyo haiondoi asili yao ukatili, unyama, uhuni uliopitiliza, kumuona mweusi kama mnyama.

Ni sawa na kusema Red Indians in North and South Amerika, (wahindi wekundu Amerika ya Kusini na Kaskazini), Aborigines wa Australia, New Zealand walihusika na kukubali kuuliwa, kuteswa na kutokomezwa duniani sababu baadhi yao waliwauzia watumwa.
 
Aisee......
Sawa sawa.
 
Sawa...
Nimeshaelewa tuishie hapa tu boss.
 
kiukweli sioni umuhmu wa muungano,Kama nchi ni moja ,why wawe na ubalos nje .si tuwaache waendelee na maisha yao,wakiuzwa ughaibuni na watt wao ,Basi!!
Wana mabalozi nje?Yaani kwa mfano kuna Balozi wa Zanzibar nchini Ufaransa ?
 
Wana mabalozi nje?Yaani kwa mfano kuna Balozi wa Zanzibar nchini Ufaransa ?
Nadhani alichanganya kuelewa post, ishu ni kwamba wazanzibar kila sehem inabidi wawepo, kwa hio hata hizo nafasi za ubalozi wa Tanzania inabidi wapewe ili kuwe na muungano, kiufupi wazanzibar wana power kubwa sana kuzidi jamii / kabila lolote
 
Tatizo nyie vijan hamuelewi, nyerere aliona mbari sana for security reasons kwasababu hata leo hii zanzbar wakijitenga hawata survive coz watakua week kijeshi kitendo cha nyerere kuleta muungano ni kutaka ku access eneo kubwa la bahari ya hind
Ni hasara kubwa huu Muungano walahi kwa wabara
 
Wafanyabiashara Waarabu hawakubagua sana. Hujui habari za watumwa Wazungu waliopelekwa Unguja pia? Soma habari za Salme, mtoto wa Sultani aliyemzaa na mama mtumwa kutoka Kaukazi? Zamani zaidi walinunua watumwa huko Urusi, sababu moja kwamba lugha za Ulaya Mashariki zinaitwa "slavonic" (=kitumwa) hadi leo.
 
Kwa akili ya kawaida Nyerere aliangalia mbali sana... just imagine kisiwa kama Zanzibar, ilivyo
1. ki-geographically ni ndogo mno
2. kiusalama pia. sisi kama tanganyika tungepata wakati mgumu sana kiusalama kutokana na natural za watu, na imani waliyo nayo ya kiislamu..
Kwa maana nyingine ingekuwa kwenye jumuiya ya kiislam..
Kwa maana nyingine lengo lilikuwa kuunganisha east africa na visiwa vyake vyote ...
 
Ni wenyeji hapo tangu karne ya 7 ,sijui, mwenyewe umesema wabantu walihamia huko toka kipindi cha utumwa,
Elewa zanzibar ilipata uhuru kamili jabla ya mapinduzi,,, so kulikua na hofu huko visiwani kuwa sultan atarudi, ndiposa wakafanya muungano faster, chama kilichofanya mapinduzi ni Afro shiraz party in collaboration na UMMA party , chama cha umma party kiliongozwa na Abdurahaman Babu alikua mkomunist , enzi hizo kulikuwa vita baridi, inasemwa hiyo ilifanya nchi za magharibi kubariki muungano chap ili kuzuia uwezekano wa zenj kuwa communists launching pad in east africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…