Mnikulu ni cheo gani na anashughulika na nini Ikulu?

Mnikulu ni cheo gani na anashughulika na nini Ikulu?

muhuwesichimalamyasi

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
306
Reaction score
132
Poleni na majukumu ya kutwa mzima. Nilikuwa naomba maana ya mnikulu mkuu na huyo mnikulu pale Magogoni ana kazi gani?
 
Fuata link ya jme ndo best analyis for that meaning.
 
Maana yeke ni Msaidizi wa Rais katika kupokea Dili ya Pesa chafu
 
Habar zen wana JF!

Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B

Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
 
Habar zen wana JF!

Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B

Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
nadhani ni mtu anahusika na kununua makochi nk hapo ikulu, wakati wa kikwete kuna mtu alikuwa na kazi hiyo ikulu akafukuzwa kwa wizi
jamaa kazi yake ilikuwa ni kununua furture zote za ikulu hadi ma carptet nk, mengine tuwasubiri wakuu kama wanajuwa zaidi
 
Kazi ya Mnikulu ni kusimamia majengo yote ya Ikulu kwa maana ya shughuli za utawala. Yeye ndiye anayehusika na usafi, samani na mapambo yote katika ofisi hiyo kuu ya nchi.

Ni mtu anayeweza kuamua mwonekano wa Ikulu uonekanaje, hata kupanga na kuamua aina ya nguo, mashuka, mapazia yanayopaswa kutumiwa na Rais. Kwa majukumu husika anapaswa amjue vizuri Rais.
 
nadhani ni mtu anahusika na kununua makochi nk hapo ikulu, wakati wa kikwete kuna mtu alikuwa na kazi hiyo ikulu akafukuzwa kwa wizi
jamaa kazi yake ilikuwa ni kununua furture zote za ikulu hadi ma carptet nk, mengine tuwasubiri wakuu kama wanajuwa zaidi
Sio kununua samani tu, bali ni muangalizi au msimamizi wa masuala yote ya ikulu hasa upande wa makazi ya rais na sio ofisini. Yaani mtunza nyumba (ikulu)
 
Hili neno ni neno la Kinyamwezi na hasa hasa chimbuko Lake ni Tabora.
Maana yake hasa ni Mtu anayehusika na mambo yoote ya ikulu hasahasa yanayomhusu rais.
Neno hili namengine kama Katikilo, Mtwale(watwale), Mwanangwa (wanangwa) haya yalitumika Sana nyakati za Mtemi Mirambo, Isike, Fundikila nk.
 
Hili neno ni neno la Kinyamwezi na hasa hasa chimbuko Lake ni Tabora.
Maana yake hasa ni Mtu anayehusika na mambo yoote ya ikulu hasahasa yanayomhusu rais.
Neno hili namengine kama Katikilo, Mtwale(watwale), Mwanangwa (wanangwa) haya yalitumika Sana nyakati za Mtemi Mirambo, Isike, Fundikila nk.
Sawa mjomba nimekusikia

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
wakati wa kikwete kuna mtu alikuwa na kazi hiyo ikulu akafukuzwa kwa wizi
Huo ni uongo kwani yule aliyekuwa na kazi hiyo alikuwa binamu yake; alikuja ondolewa wakati ule ilisemekana yeye ndiye aliyebeba masandarusi ya fedha kutoka benki kwenda IKULU!!! Aliondolewa kuvuruga trail ya wizi uliohususha Ikulu ya Kikwete!!
 
Huo ni uongo kwani yule aliyekuwa na kazi hiyo alikuwa binamu yake; alikuja ondolewa wakati ule ilisemekana yeye ndiye aliyebeba masandarusi ya fedha kutoka benki kwenda IKULU!!! Aliondolewa kuvuruga trail ya wizi uliohususha Ikulu ya Kikwete!!
ooh, kumbe ni hivo mkuu
 
Back
Top Bottom