Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Kimsingi ni beki tatu wa ikulu yaani beki tatu aliyechangamka tu🤷[emoji2]
Beki 3 mwenye Degree au sio🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimsingi ni beki tatu wa ikulu yaani beki tatu aliyechangamka tu🤷[emoji2]
Mnikulu unatakiwa uwe umesomea nini? Au uwe umesomea fani gani?Habar zen wana JF!
Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B
Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
Huyu ni mkuu wa watumishi wote wa ikulu.Nguo ,chakula vya rais anapanga yeye ,wagen wote wa ikulu yeye ndo anahusika anaitwa statehouse controllerHabar zen wana JF!
Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B
Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
Anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu? Katika fani gani?Kazi ya Mnikulu ni kusimamia majengo yote ya Ikulu kwa maana ya shughuli za utawala. Yeye ndiye anayehusika na usafi, samani na mapambo yote katika ofisi hiyo kuu ya nchi.
Ni mtu anayeweza kuamua mwonekano wa Ikulu uonekanaje, hata kupanga na kuamua aina ya nguo, mashuka, mapazia yanayopaswa kutumiwa na Rais. Kwa majukumu husika anapaswa amjue vizuri Rais.
Kuanzia Form 4 nakuendelea ili Mradi awe mjanja mjanja tuAnatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu? Katika fani gani?
Kuhusu qualifications Sina uhakika sana ila alipaswa kuwa mtu mwenye uzoefu na mapokezi ya wageni na house keeping.Anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu? Katika fani gani?
Valet (mnikulu) - a man's personal male attendant, who is responsible for his clothes and appearance.Poleni na majukumu ya kutwa mzima. Nilikuwa naomba maana ya mnikulu mkuu na huyo mnikulu pale Magogoni ana kazi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kimsingi ni beki tatu wa ikulu yaani beki tatu aliyechangamka tu[emoji1745][emoji2]
Sijui nikusonye tuuMnikulu ni mtu anayekaa pale beach geti dogo kazi yake ni kuhesabu wapita njia anazuga kuvua dagaa mchele kumbe yupo job
Vile vile ni yule anaefua nguo zile eeeee.Kazi ya Mnikulu ni kusimamia majengo yote ya Ikulu kwa maana ya shughuli za utawala. Yeye ndiye anayehusika na usafi, samani na mapambo yote katika ofisi hiyo kuu ya nchi.
Ni mtu anayeweza kuamua mwonekano wa Ikulu uonekanaje, hata kupanga na kuamua aina ya nguo, mashuka, mapazia yanayopaswa kutumiwa na Rais. Kwa majukumu husika anapaswa amjue vizuri Rais.
ShikamooKimsingi ni beki tatu wa ikulu yaani beki tatu aliyechangamka tu[emoji1745][emoji2]
Sio bhana kwa kugha ingine ni beki tatu wa ikuluMnikulu Ni mlinzi wa kimila
Hata la 7 b. Ila awe mchangamfu na mbunifu na mnyenyekevu kwa wageni.Anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu? Katika fani gani?
ACheni utani ni mtu anayeandaa speech za Raisnadhani ni mtu anahusika na kununua makochi nk hapo ikulu, wakati wa kikwete kuna mtu alikuwa na kazi hiyo ikulu akafukuzwa kwa wizi
jamaa kazi yake ilikuwa ni kununua furture zote za ikulu hadi ma carptet nk, mengine tuwasubiri wakuu kama wanajuwa zaidi
Estate Manager yaani msimamizi mkuu wa IkuluOffice Manager
Anayeandaa hotuba ni cheo tofautiACheni utani ni mtu anayeandaa speech za Rais