Mnikulu ni cheo gani na anashughulika na nini Ikulu?

Mnikulu ni cheo gani na anashughulika na nini Ikulu?

Huyu mnikulu anatakiwa awe amesomea nini hasa! Na afike kiwango gani cha elimu?
 
Habar zen wana JF!

Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B

Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
Mnikulu unatakiwa uwe umesomea nini? Au uwe umesomea fani gani?
 
Habar zen wana JF!

Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B

Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
Huyu ni mkuu wa watumishi wote wa ikulu.Nguo ,chakula vya rais anapanga yeye ,wagen wote wa ikulu yeye ndo anahusika anaitwa statehouse controller
 
Kazi ya Mnikulu ni kusimamia majengo yote ya Ikulu kwa maana ya shughuli za utawala. Yeye ndiye anayehusika na usafi, samani na mapambo yote katika ofisi hiyo kuu ya nchi.

Ni mtu anayeweza kuamua mwonekano wa Ikulu uonekanaje, hata kupanga na kuamua aina ya nguo, mashuka, mapazia yanayopaswa kutumiwa na Rais. Kwa majukumu husika anapaswa amjue vizuri Rais.
Anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu? Katika fani gani?
 
Anatakiwa kuwa na kiwango gani cha elimu? Katika fani gani?
Kuhusu qualifications Sina uhakika sana ila alipaswa kuwa mtu mwenye uzoefu na mapokezi ya wageni na house keeping.

Ingefaa sana kwa mtu aliyesoma Real Estate/property Management, Hotel Management, Housekeeping and Leisure. Lakini kwa sababu ni mtu anayemhudumia Rais kwa ukaribu au undani zaidi huyu huwa knabaki kuwa mtu yeyote mwenye degree na kuendelea awe na uwezo mkubwa wa ufahamu wa shughuli za ikulu na mapokezi ya wageni kwa ukarimu.
 
Poleni na majukumu ya kutwa mzima. Nilikuwa naomba maana ya mnikulu mkuu na huyo mnikulu pale Magogoni ana kazi gani?
Valet (mnikulu) - a man's personal male attendant, who is responsible for his clothes and appearance.
 
Kazi ya Mnikulu ni kusimamia majengo yote ya Ikulu kwa maana ya shughuli za utawala. Yeye ndiye anayehusika na usafi, samani na mapambo yote katika ofisi hiyo kuu ya nchi.

Ni mtu anayeweza kuamua mwonekano wa Ikulu uonekanaje, hata kupanga na kuamua aina ya nguo, mashuka, mapazia yanayopaswa kutumiwa na Rais. Kwa majukumu husika anapaswa amjue vizuri Rais.
Vile vile ni yule anaefua nguo zile eeeee.
Naomba niishie hapo
 
nadhani ni mtu anahusika na kununua makochi nk hapo ikulu, wakati wa kikwete kuna mtu alikuwa na kazi hiyo ikulu akafukuzwa kwa wizi
jamaa kazi yake ilikuwa ni kununua furture zote za ikulu hadi ma carptet nk, mengine tuwasubiri wakuu kama wanajuwa zaidi
ACheni utani ni mtu anayeandaa speech za Rais
 
Naona Uzi umeunganishwa na ule wa 2015.
Ingawa haukuwa Na wachangiaji wengi
 
Back
Top Bottom