funluverx
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 480
- 343
Adabu yako inakosa virutubisho vya nidhamu.Kimsingi ni beki tatu wa ikulu yaani beki tatu aliyechangamka tu🤷😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adabu yako inakosa virutubisho vya nidhamu.Kimsingi ni beki tatu wa ikulu yaani beki tatu aliyechangamka tu🤷😃
Sio kununua samani tu, bali ni muangalizi au msimamizi wa masuala yote ya ikulu hasa upande wa makazi ya rais na sio ofisini. Yaani mtunza nyumba (ikulu)
Nadhani sayansi kimu, level ya degree.Huyu mnikulu anatakiwa awe amesomea nini hasa! Na afike kiwango gani cha elimu?
Mnikulu yeye ndo boss wa ikulu kila kitu kinachohusu ikulu yeye ndo anahusika kujua Rais anakula nini,wageni wanaokuja,majengo ya ikulu yanahali gani, furniture yaani kwa kifupi yeye shughuli zote za ikulu ziko chini yake...!Habar zen wana JF!
Muda sio mreefu mkurugenzi wa mawasiliano ya ikulu bwana msigwa amechapisha walioteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan (SASHA), miongoni walioteuliwa katika ofisi ya binafsi ya mh Rais ni Cheo cha 'Mnikulu'... Aya wale magwiji wa kiswahili mtutoe tongotongo sie darasa la nne B
Nini maana ya mnikulu, mnikulu inamaana gani!??
Kwani designer wa Mavazi ya Kike wote ni Wanawake?Nijuavyo, kazi ya Mnikulu pamoja na Mambo mengine huyu ndiye designer wa mavazi ya Rais.
Huyu ndiye anajua leo Rais avaeje. Kwa nini hakuwa jinsia yake? Nipeni shule.
Mnikulu ni mtu wa karibu sana na uvaaji wa Rais. Jiongeze kiakili kama mtu mzima.Kwani designer wa Mavazi ya Kike wote ni Wanawake?