Madam secretary
Member
- Mar 6, 2015
- 70
- 221
Nilidhani nimelewa mapema hivi....Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida
Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida
Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida
Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine
Nyie mpaka nayaota ayo maisha
Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu
Ila michepuko inakula good time kinyama. Ila pepo wataiona kwenye KatuniInaonyesha umejikatia tamaa na umekuwa mchepuko mda mrefu sana, there is still hope
That's according to you sweetheart sijawai kua mchepuko I'd rather stay single than kua mchepuko kila mtu anapackage akeInaonyesha umejikatia tamaa na umekuwa mchepuko mda mrefu sana, there is still hope
Hii cross unajipigia mwenyewe nimeielewa sanaNakuombea upata mke mwenza mwenye moyo na roho kama yako...na upate mume kama mimi hata mkiwa kumi poa tuu sitawasaliti
[emoji23][emoji23] kweli hula mema ya nchi ila wengi huishia pabaya wakizeeka ndio stressIla michepuko inakula good time kinyama. Ila pepo wataiona kwenye Katuni
Usijichoke mwanamke mwenzangu kiasi hicho loh, hzo ndoa zinawashinda had wenye dini zaoThat's according to you sweetheart sijawai kua mchepuko I'd rather stay single than kua mchepuko kila mtu anapackage ake
So relax
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duhhhh....
Tangazo lako limechangamka sana..[emoji39] Ebu cheki PM hapo nishakutumia..[emoji847]
Acha wazeeeke vibaya tu tena ikiwezekana waanze kuoza vichwa....kuna bibi mmoja kijijini hapo Pwani, dah ila watu was Pwani ni shida sana, bibi ananiambia eti K inalipa sana, eti alijenga kwa K!! Dah[emoji23][emoji23] kweli hula mema ya nchi ila wengi huishia pabaya wakizeeka ndio stress
Imeisha hiyo [emoji1787]Hii cross unajipigia mwenyewe nimeielewa sana
Kua wawili sio kuchokaUsijichoke mwanamke mwenzangu kiasi hicho loh, hzo ndoa zinawashinda had wenye dini zao
Nahisi hutaki kuchokonolewa kila siku ππππThat's according to you sweetheart sijawai kua mchepuko I'd rather stay single than kua mchepuko kila mtu anapackage ake
So relax