Mniombee Mungu anipe mume anayeweza hudumia wake wawili bila shida

Mniombee Mungu anipe mume anayeweza hudumia wake wawili bila shida

Alooooo!!!ila imekaa vizur kikubwa uhai tu na kusaidizana majukumu na mke mwenza ndo mpango mzima kwa kweli hakuna kujitesa na kujipa stress
 
That's according to you sweetheart sijawai kua mchepuko I'd rather stay single than kua mchepuko kila mtu anapackage ake
So relax
Nimemtafutia jibu likawa kali sana nikampuuza umejieleza vizuri tu

Hao ndo wale wenye chuki na imani za wenzao.
 
Ukitaka kuwa mke mdogo.... Nishtue
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida
Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida

Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida
Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine
Nyie mpaka nayaota ayo maisha

Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu
 
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida
Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida

Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida
Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine
Nyie mpaka nayaota ayo maisha

Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu
Nakuelewa vizuri sana.
Utamaduni wa Ulaya unasema mke mmoja kwakuwa nchi nyingi za ulaya zimeadopt ukristo(mke mmoja)

Wanawake wanazaliwa zaidi kuliko wanaume sehemu nyingi duniani, hivyo wanawake wanapata changamoto ya kuwa na mwenza wa kudumu kuliko wanaume.
Ni jambo gumu kwa wanawake walio wengi kukubali hali hii, lakini mimi naamini Nature imeamua haya yote.
Naamini ni mpango wa MUNGU Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo, na ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo,,,, ndiye ameratibu haya yote.
Ikiwa imani yako inakuonyesha jambo fulani ni dhambi,,,,basi jitahidi usifanye dhambi.
 
Bible haijawahi kuongopa hata siku moja

Isa 4:1 SUV​

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Amina,Baba Mzee wa Kanisa
 
Nakuelewa vizuri sana.
Utamaduni wa Ulaya unasema mke mmoja kwakuwa nchi nyingi za ulaya zimeadopt ukristo(mke mmoja)

Wanawake wanazaliwa zaidi kuliko wanaume sehemu nyingi duniani, hivyo wanawake wanapata changamoto ya kuwa na mwenza wa kudumu kuliko wanaume.
Ni jambo gumu kwa wanawake walio wengi kukubali hali hii, lakini mimi naamini Nature imeamua haya yote.
Naamini ni mpango wa MUNGU Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo, na ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo,,,, ndiye ameratibu haya yote.
Ikiwa imani yako inakuonyesha jambo fulani ni dhambi,,,,basi jitahidi usifanye dhambi.
Usiseme uongo huku ukitaja jina la MUNGU.
 
Vipi na wewe kuolewa na mabwana wawili, je utapenda?
 
Nakuelewa vizuri sana.
Utamaduni wa Ulaya unasema mke mmoja kwakuwa nchi nyingi za ulaya zimeadopt ukristo(mke mmoja)

Wanawake wanazaliwa zaidi kuliko wanaume sehemu nyingi duniani, hivyo wanawake wanapata changamoto ya kuwa na mwenza wa kudumu kuliko wanaume.
Ni jambo gumu kwa wanawake walio wengi kukubali hali hii, lakini mimi naamini Nature imeamua haya yote.
Naamini ni mpango wa MUNGU Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo, na ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo,,,, ndiye ameratibu haya yote.
Ikiwa imani yako inakuonyesha jambo fulani ni dhambi,,,,basi jitahidi usifanye dhambi.
Umenena vizr hapo mana Ibrahim wake 2,Yakobo wake 4.Biblia ina mifano mizr sana. Wafia dini wanachukia wake wengi ila Biblia imetoa ruksa kuwa kuoa wake wengi sio dhambi.
 
Waswahili walikua na kamsemo kao kwamba "Mapenzi ni ya Wawili" , ila siku hizi hata ukisema mapenzi ni ya watatu ama Watano pw tu
 
Nakuelewa vizuri sana.
Utamaduni wa Ulaya unasema mke mmoja kwakuwa nchi nyingi za ulaya zimeadopt ukristo(mke mmoja)
Kuna Dini ishaamua hili jambo mapema mnoo bcz inajua hali halisi ya dunia inavokwenda
Wake 4 mume 1 kila m.ke apate kustiriwa.
 
Back
Top Bottom