Mniombee Mungu anipe mume anayeweza hudumia wake wawili bila shida

Harakati za ushimen[emoji16][emoji16][emoji16] toka wafunge jukwaa letu pendwa nakuona kwa nadra Jamvini
Walitukosea adabu sana...πŸ˜•

Na huku napo pamekua na hekaheka nyingi baada ya kila mtoto kumiliki simu mpanguso..🀨
 
Andaa vijembe vya kumpiga mke mwenzio.
 
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida
Niko hapa, njoo PM tuyajenge mama. Hata hivyo watu wa dini wanaielewa tofauti biblia yao. Hakuna Mahali popote mitaala imekatazwa, isipokuwa Kwa mtu anayetaka kazi ya uaskofu ndo ameelekezwa awe mtu wa mke Moja as a qualification Kwa kazi hiyo anayoitaka au kuiomba.
 
Fuata kile moyo unachopenda, maisha haya ni mafupi mno...soon utashangaa upo 40, mara 50..mara uzee so just enjoy vile unaona inafaa.
 
Usikute moyo wake una visehemu vitano, achana na vile vinne tulifundishwa shule
Mta mnanga bure na hayo maisha kayaona kwa baba ake mdogo yaka mvutia.

Dunia inakosa heshima yake kwa wanawake wengi kukosa ndoa
 
utakua una penda 3 some wewe hakuna cha zaidi
 
Kwann utahitaji muwe wake wawili au kwenye show we mvivu Madam secretary jibu hili swali kwanza?
 
Wanawake wawili siyo ishu kabsaaaa kwa mtizamo wangu Madam secretary
 
Watu mna roho njema.............kweli kila mtu ana jinsi ameumbwa, me nkutakie kila la heri. Yapasa uolewe ndoa ya kiislam sasa au sasa hv wakrsto mna uke wenza???​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…