Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mi hata sijamnanga kaka, ni chaguo lake na inawezekana kabisa hayo maisha anayoyatamani.....Mta mnanga bure na hayo maisha kayaona kwa baba ake mdogo yaka mvutia.
Dunia inakosa heshima yake kwa wanawake wengi kukosa ndoa
Nakuomba PmThat's according to you sweetheart sijawai kua mchepuko I'd rather stay single than kua mchepuko kila mtu anapackage ake
So relax
Hii ndio sababu kubwa Bora umegunduaNahisi hutaki kuchokonolewa kila siku [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Atakuachia vumbi mwishoniAaah wapi acha nibaki na mpango wa shetani tu
Happiness hailetwi na watu ni tunda la ndani sio watu au vituKua wawili sio kuchoka
Baba angu mkubwa ana wake wawili I can say he's the happiest man on earth
Na wake zake wanapendana adi sio vzuri
Tofauti na the so called ndoa ya mke mmoja na mme mmoja
Ni the way we perceive things but my husband hatanioa peke angu tutakua wawili kanisa linisamehe
Sina chuki na dini yoyote hasa hizi za kuletwa na wazungu na waaarabuNimemtafutia jibu likawa kali sana nikampuuza umejieleza vizuri tu
Hao ndo wale wenye chuki na imani za wenzao.
Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida. Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine. Nyie mpaka nayaota ayo maisha.[emoji3064][emoji15]Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka.
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida. Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida.
Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida. Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine. Nyie mpaka nayaota ayo maisha.
Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu
Hapana hawa watu wapo.. Niliwahi kudate na binti mmoja miaka ya tisini alikuwa na matamanio kama haya .. Na aliniambia wazi nikimtaka mwanamke nimwambie NISIMFICHE! Naye alikuwa akimpenda dem ilikuwa ni lazima anitongozee na tukiwa faraghani naye awepoInaonyesha umejikatia tamaa na umekuwa mchepuko mda mrefu sana, there is still hope
Bible haijawahi kuongopa hata siku moja
Isa 4:1 SUV
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Asante mpenzi umemaliza kabisa[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Inaonyesha umejikatia tamaa na umekuwa mchepuko mda mrefu sana, there is still hope
Nikifika nitapewa kitengo gani Mpwa?Peponi moja kwa moja kwa kukumbushia tu huu mstari pendwa.
Usilazimishe muwe na mitazamo sawa watu wanaumbwa tofauti ujueAsante mpenzi umemaliza kabisa[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Yaani as days go tamaa angu ya kua wake wawili inaongezeka.
Familia angu watu wa dini mi mwenyewe wa kusali sana kikanisa najua italeta shida. Japo moyoni mwangu NatAman sana nkiolewa tuwe wawili yaani NatAman isivo kawaida.
Mniombee Mungu anipe mume anaeweza hudumia wake wawili bila shida. Niwe tu bimkubwa and then aongeze mwingine. Nyie mpaka nayaota ayo maisha.
Dear future husband kokote uliko nakusubili na ukifika una ruhusa ya kuoa mwingine tuwe wawili tu
πππππDuhhhh....
Tangazo lako limechangamka sana..π Ebu cheki PM hapo nishakutumia..π€
Mkuu inawezekana ndio yeye[emoji28]Hapana hawa watu wapo.. Niliwahi kudate na binti mmoja miaka ya tisini alikuwa na matamanio kama haya .. Na aliniambia wazi nikimtaka mwanamke nimwambie NISIMFICHE! Naye alikuwa akimpenda dem ilikuwa ni lazima anitongozee na tukiwa faraghani naye awepo
Na kuna incidents mbili ziliwahi kutokea..
(True story)