sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Waznzibar wapo milioni na nusu hivi lakini mziki wao haukamatiki kwa % ya waliofanikiwa. Percentagewise ukiwaweka wazanzibari waliofanikiwa kwenye idadi ya wazanzibari wote, unapata asilimia kubwa kuzidi kabila au jamii yoyote hapa Tanzania bara.
- Kibiashara wapo juu, pesa wanazichapisha aisee, pale kariakoo wapemba wana mgao wao si haba, ukija kwa Don wao Bakhresa huyu ni habari nyingine,,,, vingamuzi vyake vimesambaa kila kona ya nchi, bidhaa zake za vyakula na vinywaji zimesambaa si mchezo, boti zake za usafiri majini hazina mpinzani, n.k.
- Vyeo vya juu vya Serikali ya Zanzibar kuanzia Raisi, makamu wa raisi, wabunge, wakuu wa mashirika ya zanzibar n.k inabidi uwe mzanzibar.
-Ajira za Zanzibar kuanzia ajira za kwenye ikulu, ajira za kwenye wizara za zanzibar, ajira za kwenye mashirika, n.k inabidi uwe mzanzibari.
- Vyeo vya juu vya Tanzania bara huku wamevikwida vya kutosha tu, mawaziri, vyeo vya juu jeshini, wakuu wa mashirika, wakuu wa taasisi, mabalozi, n.k
- Ajira za huku Tanzania bara sehemu kama Jeshini, bandarini, Tra, bot, nssf, n.k wamo wengi tu.
-Ajira ama teuzi kwa mzanzibari haijali sana elimu yake au uzoefu, uzanzibari wake pekee ni sifa kubwa kupata ajira ama kulamba teuzi tofauti na mtu wa bara watacheki ufaulu wako kwenye elimu, uzoefu wako, umesoma chuo kipi, n.k. kumkuta mzenji aliekuwa na uwezo mdogo darasani kapata kazi nzuri au kalamba teuzi ni jambo la kawaida.
-Jkt nako ukiwa mzanzibari hesabia ushapenya kwenye jeshi moja wapo iwe ni jwtz, polisi, n.k, kwa watu wa bara unaweza kujitolea jkt hapo miaka lakini mwisho wa siku unaambiwa urudi kijijini kwenu ukalime.
- Kwenye kilimo wapo wapo pia, wanamega maelfu ya hekari kwenye mapori ya huku bara kwajili ya kilimo cha biashara, bakhresa nahisi kamega ekari za kutosha sana bagamoyo analima sukari
- Kibiashara wapo juu, pesa wanazichapisha aisee, pale kariakoo wapemba wana mgao wao si haba, ukija kwa Don wao Bakhresa huyu ni habari nyingine,,,, vingamuzi vyake vimesambaa kila kona ya nchi, bidhaa zake za vyakula na vinywaji zimesambaa si mchezo, boti zake za usafiri majini hazina mpinzani, n.k.
- Vyeo vya juu vya Serikali ya Zanzibar kuanzia Raisi, makamu wa raisi, wabunge, wakuu wa mashirika ya zanzibar n.k inabidi uwe mzanzibar.
-Ajira za Zanzibar kuanzia ajira za kwenye ikulu, ajira za kwenye wizara za zanzibar, ajira za kwenye mashirika, n.k inabidi uwe mzanzibari.
- Vyeo vya juu vya Tanzania bara huku wamevikwida vya kutosha tu, mawaziri, vyeo vya juu jeshini, wakuu wa mashirika, wakuu wa taasisi, mabalozi, n.k
- Ajira za huku Tanzania bara sehemu kama Jeshini, bandarini, Tra, bot, nssf, n.k wamo wengi tu.
-Ajira ama teuzi kwa mzanzibari haijali sana elimu yake au uzoefu, uzanzibari wake pekee ni sifa kubwa kupata ajira ama kulamba teuzi tofauti na mtu wa bara watacheki ufaulu wako kwenye elimu, uzoefu wako, umesoma chuo kipi, n.k. kumkuta mzenji aliekuwa na uwezo mdogo darasani kapata kazi nzuri au kalamba teuzi ni jambo la kawaida.
-Jkt nako ukiwa mzanzibari hesabia ushapenya kwenye jeshi moja wapo iwe ni jwtz, polisi, n.k, kwa watu wa bara unaweza kujitolea jkt hapo miaka lakini mwisho wa siku unaambiwa urudi kijijini kwenu ukalime.
- Kwenye kilimo wapo wapo pia, wanamega maelfu ya hekari kwenye mapori ya huku bara kwajili ya kilimo cha biashara, bakhresa nahisi kamega ekari za kutosha sana bagamoyo analima sukari