Mnisahihishe kwa uhalisia lakini hadi sasa sijaona jamii yenye watu wenye mafanikio kuwazidi wazanzibari, wapo mbali sana na huu ni mwanzo tu

Mnisahihishe kwa uhalisia lakini hadi sasa sijaona jamii yenye watu wenye mafanikio kuwazidi wazanzibari, wapo mbali sana na huu ni mwanzo tu

Naona Leo umeamua kutugawa wazanzibari na watanganyika.
Anyways that's not my concern,
umetumia kipimo kipi kupima mafanikio ya Wanzanzibari?
Can you tell us more at the national level kuwa Zanzibar imeendelea kuliko Tanganyika?
Hii Tanganyika yetu imejengwa na wazanzibari?
MAELEZO ULIYOYATOA NI MAFANIKIO AT PERSONAL LEVEL AND NOT NATIONAL LEVEL.
 
leo kuna mtu alikuwa ananambia kuwa kitengo wamejaaa hao jamaa sasa naanza kuamini
Kweli hata wakimbiza mwenge ukimtoa yule kiongozi wao bwana sahihi gweraruma waliobaki waote ni wa zanzibar nasema wote na wanaongea kile chenyewe kabisa huna haja ya kuuliza kwenye hlo.
 
hata majuu wapo wengi sana na wanamafanikio, Kuwanzia Oman, UAE, U.K,Canada
 
Back
Top Bottom