Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
- Thread starter
-
- #41
Okay vipi nikiwa mtaan nataka kukopa ule mkopo wa biashara hawawezi kunizuia kwamba Kuna mkopo hukumaliza??? Maana naambiwa siku hiz ambao wanashindwa kulipa madeni Yao wanakuwa blocked na taasisi za kifedha , wakiingiza tu taarifa zako mfumo unasoma jamaa Kuna mkopo hajalipa unakuwa blocked mpaka ulipe , sijajua kuhusu hii ya utumishiMkopo una bima, Bima italipa.
Sheria ya Bima:-
Ikitokea dhamana ya huo mkopo umepotea (no more) basi bima hulipa Bank.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mkuu hapo kwenye Bima hapo, Naomba unifafanulie. Hii ipo kwa mikopo ya aina zote mtu akikopa Bank?Mkopo una bima, Bima italipa.
Sheria ya Bima:-
Ikitokea dhamana ya huo mkopo umepotea (no more) basi bima hulipa Bank.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwa taasisi za mikopo zilizoingia mkataba na Taasisi za mikopo.Mkuu hapo kwenye Bima hapo, Naomba unifafanulie. Hii ipo kwa mikopo ya aina zote mtu akikopa Bank?
Hivi starlink ya Elon musk bongo Bado eeehNina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara.
Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi, biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa.
Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k
Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi, nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani. Yaani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi, kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.
2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu, kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pikipiki Kwenda kazini, Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwezi kuishi sehemu haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako.
3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi.
Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwezi kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka.
Mkuu nimevutiwa na mtizamo wako, hapo maana yake ni nini ? Security dhidi ya mabenki na NSSF au sijaelewa?Mimi nakushauri usiache kazi ila ondoka wakufukuze wenyewe Mkuu. Nina sababu kukwambia hivyo.
Ingelikuwa mimi ningeashaacha siku nyingi sana!Nina mwaka tangu niajiriwe Serikalini lakini ukweli sioni future yoyote kwenye hii kazi niliyoajiriwa, naona kabisa naenda kuzika ndoto zangu na kubaki kuishi Kwa kutegemea mshahara.
Kabla sijaajiriwa nilikuwa na biashara zangu ambazo nilikuwa naingiza net profit Million 1.5 Yani hiyo ni minimum profit Kwa mwezi, biashara ambazo nimerun almost miaka 6 sasa.
Mwaka Jana Nikapata Ujira wa basic salary 500k
Sababu za kuacha hii kazi
1. Mazingira magumu ya kufanya kazi, nashinda masaa 10 bila kuwepo hewani. Yaani no mtandao Hilo eneo nalofanyia kazi, kitu ambacho kinanipa ugumu kufanya mawasiliano na wale niliowaachia wasimamie biashara akiwemo mke wangu.
2. Gharama kubwa za kulinda kibarua changu, kwa siku natumia kiasi cha shilling 4k kuweka mafuta kwenye pikipiki Kwenda kazini, Kwa sababu eneo nalofanyia kazi hakuna nyumba naweza kupanga na kingine siwezi kuishi sehemu haina mtandao wa uhakika, mtandao kuupata Hadi uende eneo maalumu uwasiliane na ndugu zako.
3. Nipate muda wa kusimamia biashara zangu ambazo tangu nimeajiriwa naona kabisa zinashuka katika mauzo kutokana na kukosa usimamizi.
Nimejaribu kuomba uhamisho ili nisogee karibu na eneo langu la biashara lakini siwezi kuupata uhamisho Hadi nitimize miaka 4 kazini kitu ambacho nachoka.
Ni kheri wakufukuze mkuu.Ingelikuwa mimi ningeashaacha siku nyingi sana!
Uheri wake upo wapi mkuu?Ni kheri wakufukuze mkuu.
Aisee! Watanzania wajanja mno!!!Omba likizo ya bila malipo hata kwa miaka 3 nenda kasimamie biashara zako,mambo yakigoma utarudi ajirani maana ajira yako itakuwa safe.Namfahamu mtu alishawahi kufanya hivi ninavyokwambia na yeye anaenda mwaka wa nne hayupo kazini ila mshahara wake unaingia wanaula wakubwa huko halmashauri
🤣🤣🤣Usiache kazi omba likizo na usirudi wakufukuze wao kwa kosa la utoro kazini hiyo itakusaidia hapo badae
Hiyo inaitwa mbwa kala mbwa,nipe nikupeAisee! Watanzania wajanja mno!!!
Sema Nina mkopo bank hivi watanipa hiyo likizo??Omba likizo ya bila malipo hata kwa miaka 3 nenda kasimamie biashara zako,mambo yakigoma utarudi ajirani maana ajira yako itakuwa safe.Namfahamu mtu alishawahi kufanya hivi ninavyokwambia na yeye anaenda mwaka wa nne hayupo kazini ila mshahara wake unaingia wanaula wakubwa huko halmashauri
Naomba sababu boss tafadharMimi nakushauri usiache kazi ila ondoka wakufukuze wenyewe Mkuu. Nina sababu kukwambia hivyo.