'Mnyalu' wa UDSM: Muuza karatasi aliyetumia fursa

ni raha lakini pia kuna saa unaona roho inataka kuachana na mwili... hahahahah
 
Mwanamayu Acheni marumbano, ajira ni bahati tu. kama mm nimeajiriwa na cheti nilikataa kwenda advernce kwa kuhofia kukuta kazi zimekabwa zote, bahati nilipo maliza tu mwaka mmoja mbele nikapata ajira, lakini nilianza kujuta kwa nini sikuendelea? lakini baada ya ajira nimeridhika na kajimshahara kangu, ingawa mpango wa kusoma upo bado
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…