Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi

Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi

Najivunia kuwa Mtanzania ukifuatilia science kwa ukaribu utajua Tanzania ni chimbuko la viumbe vingi ikiwemo binadamu wa kwanza.

Tumebahatika sana kuzaliwa Tanzania we should be proud of this.
Hiyo bahati inakusaidia nini kama hakuna kunufaika na hivyo vitu?nyie watu wa ccm mmeharibu akili za watz na kujiona nyie pekee ndo wa kuabudiwa
 
Najivunia kuwa Mtanzania ukifuatilia science kwa ukaribu utajua Tanzania ni chimbuko la viumbe vingi ikiwemo binadamu wa kwanza.

Tumebahatika sana kuzaliwa Tanzania we should be proud of this.
Usisahau na chimbuko la ufisadi na wauwaji albino. [emoji54] [emoji87]
 
Hiyo bahati inakusaidia nini kama hakuna kunufaika na hivyo vitu?nyie watu wa ccm mmeharibu akili za watz na kujiona nyie pekee ndo wa kuabudiwa
Ndo maana nikatoa rai kwa serikali na kama wewe una wazo bora pia la jinsi nchi iendelee toa mchango wako usilalamike tu.

What matters, is the countless deeds of unknown people who lay the basis for the events of human history-Howard Zinn

My fellow Americans, ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country-John F. Kennedy
 
Blah blah blah...
Huyo mnyama kafikishaje miaka million na wakati dunia ina miaka 6000 tu?!Hizo dini za watu mnaabudishwa hamjui.
 
Waaafrika walio wengi ni watu wa kuitikia tuuu Na kuabudu iman za wazungu ndo maaana tunapelekwa pelekwa tuuu hata uwezo wa kufikili tunatgemea wazungu waboost pale fikra zilipoishia hatujiwezi kwa chochote
 
Blah blah blah...
Huyo mnyama kafikishaje miaka million na wakati dunia ina miaka 6000 tu?!Hizo dini za watu mnaabudishwa hamjui.
Waaafrika walio wengi ni watu wa kuitikia tuuu Na kuabudu iman za wazungu ndo maaana tunapelekwa pelekwa tuuu hata uwezo wa kufikili tunatgemea wazungu waboost pale fikra zilipoishia hatujiwezi kwa chochote
 
Blah blah blah...
Huyo mnyama kafikishaje miaka million na wakati dunia ina miaka 6000 tu?!Hizo dini za watu mnaabudishwa hamjui.
mkuu ulishawahi sikia kitu kinaitwa carbon dating au fossil records.

Dunia ina miaka billion 4.5 acha kupotosha umma
 
Waaafrika walio wengi ni watu wa kuitikia tuuu Na kuabudu iman za wazungu ndo maaana tunapelekwa pelekwa tuuu hata uwezo wa kufikili tunatgemea wazungu waboost pale fikra zilipoishia hatujiwezi kwa chochote
hapana mkuu ni historia tu ndo imetuweka hapa tulipo lakini hao hao wazungu kuna kipindi washapitia haya.

Wazungu wa nchi ya Uingereza Scotland, Ireland na nchi za jirani zaman washataliwa na warumi kipindi cha Julius Ceasar, Warumi na Wagiriki washatawaliwa na Persians kabla ya hapo. Wamarekani washatawaliwa na Uingereza.

Kwahyo tu ni imetokea tumezaliwa katika kipindi kibaya cha history lakini huwez jua hapo baadaye Tanzania inaweza kua dola kubwa duniani.
 
Hunzi bin Hunuzi naye aliishi miaka hiyo...
 
Najivunia kuwa Mtanzania ukifuatilia science kwa ukaribu utajua Tanzania ni chimbuko la viumbe vingi ikiwemo binadamu wa kwanza.

Tumebahatika sana kuzaliwa Tanzania we should be proud of this.

Nani kakudanganya binadamu WA kwanza katika Tanzania ❓
 
Tanzania ndio ilikuwa Edeni ya Adam na Eva,na lile tunda walilila mji wa Tanga.Kunauthibitisho mwingi wa Tanzania kuwa ndio ilikuwa Edeni...Ukitaka somo zaidi Fanya utafiti mwenyewe
 
huyu sio ndo Dinnosaur ?
au nimekosea jina
 
Mi inaniuma ile diamond anayovaa malkia wa uingereza tu
 
Wakuu naomba kujuzwa hivi jurasic era ni kipindi gani?
 
Mnyama mkubwa kuliko wote duniani ni blue whale (nyangumi wa bluu) ambae mkubwa kabisa aliyewahi kupatikana alikuwa na uzito wa tani 144..na ulimi wake ni sawa na uzito wa tembo mkubwa kabisa
 
Back
Top Bottom