Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi

Mnyama Mkubwa Zaidi Aliyewahi Kuishi Duniani aligundulika Tanzania mkoa wa Lindi

Hii serikali ya ccm bhana ni ngumu kumeza pengine walisha fuatilia na badala ya kuchukua mzingo wakachukua hela zilisha pigwa kimya kimya na nyingine kufadhili chama kwenye uchanguzi! Hii nchi ngumu kweli kuishi binadamu na wote wanaoishi tz siyo raia wa kawaida!
 
Kumsafirisha sio tatizo,ina maana hata kwenye meli hawezi kutoshea hiyo mifupa yake?!
 
Kama kumsafirisha ni tatizo, waliwezaje kumtoa all the way from Lindi, Tz mpaka a thousand miles by water and air to Germany??

Mleta Mada Ahsante, this is very important kama kweli tumedhamiria kukuza utalii wa nyumbani then time has come for us to get back all our natural heritage, and besides ni mali yetu...we deserve to have it and keep it, nina imani kuna Wasomi wetu wengi wa kutunza our natural libraries!
 
Zile ndege zilizosafirisha Twiga akiwa hai na amesimama azingekodishwa wamrudishe huyu mnyama wetu fasta! Ivi waziri muhusika anajua hili lkn??
 
hata akirudishwa tutashidwa kumtunza wanyama wetu tu hapa hatuwezi hata kuwarinda sebuse hilo fuvu wamuache tu huko tutakapokuwa teyar tumfuate tu...
 
Hiyo ni kawaida kwa Serikali zetu ya sasa na zilizopta isipokuwa ya Baba waTaifa,kuupuzia mambo kama haya ya msingi
 
hata akirudishwa tutashidwa kumtunza wanyama wetu tu hapa hatuwezi hata kuwarinda sebuse hilo fuvu wamuache tu huko tutakapokuwa teyar tumfuate tu...
Ni kweli kwanza kabla hilo fuvu halija fika sehemu husika linaweza kuibiwa uwanja wa ndege.
 
Mnyama mkubwa zaidi kuwahi kuishi duniani alikua na uzito wa tons 80?
Blue Whale(Nyangumi) wanafika uzito wa 140 tons still bado wapo, sasa ukubwa zaidi wa huyo mwenye tons 80 unatokea wapi?

Mleta mada ana maana ya mnyama kubwa wa aridhini na c wa majini,
Na rekodi hiyo kwa sasa inashikilowa na tembo kuwa ni mnyama mkubwa wa aridhini, duniani
 
Serikali inalijua hili, hata Mh John Pombe analijua kwa maana nakumbuka kuna mbunge aliliibua hili ila likapita kama upepo.

Halafu hawa Wajeruman wajanja sana, sasa hivi wanampango wakuichukua Mv Liemba. Meli ya kale zaidi ambayo bado inafanya kazi. Tusipokua makini watatuletea cruise ya kisasa tujione tumepata kumbe TUMELIWA.!

BTP, Serikali ilisimamie hili la huyu mnyama kwa umakini sana maana inaenda kudeal na nchi nisiyoiamini abadan, na sio kurudi kwa hayo mabaki tu BALI mabaki yarudi na 75% ya mapato yote Ujeruman iliyoingiza kupitia mabaki hayo tangu yafike Ujeruman.

Ajabu utakuta German nae ni mfadhili wa bajeti yetu, wakati kwa akili ndogo pesa wanayoingiza kupitia vitu walivyokwapua huku ni mara mbili ya bajeti yetu nzima.
 
Back
Top Bottom