Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndomana pia Sumu nyoka haiwezi kumzuru kwa urahisiInaonekana Nyege-re ana Alkoholi mwilini huyu.
Yah nakumbuka hata mm pia nilioona hyoNiliona makala moja, alipambana na koboko, koboko alimng’ata kwa kichwa sumu ikamwingia ila cha ajabu alizimia kwa muda akazinduka. Koboko alikufa.
😂😂🖐️Mleta mada,
1.Mnyama mwenye wivu duniani ni binadamu.
2.Ni nyegele.
Yote yanayo isibu dunia chanzo kimojawapo ni wivu wa mnyama number moja,(Binadamu).
Ukibisha wewe jeuri.
Pia Madume ya binadamu hayaleweshi Nyuki Kwa Ushuzi,..😂😂Sema madume ya binadamu hayapigi majani yakigusa majike yao...na pia madume hayana ngozi ngumu kama Nyegere...
Sema madume ya Binadamu yanaweza kuacha lindo na kwenda kujiua sehemu ya makazi ya Jike lake bado naona madume ya Binadamu ya wivu zaidi...Pia Madume ya binadamu hayaleweshi Nyuki Kwa Ushuzi,..😂😂
Kweli kabisa mkuuSema madume ya Binadamu yanaweza kuacha lindo na kwenda kujiua sehemu ya makazi ya Jike lake bado naona madume ya Binadamu ya wivu zaidi...
Ana ngozi ngumu kama Tairi ya gari yupo jama angu aliwahi kasubiri akagonge na mchi wa kinu mkubwa kalikua kanakula Kuku wake kweli bhana usiku kakatokea alijificha akakapiga bonge la mbata mgongoni na kichwani mchi wake ulidunda ikabidi aanze kuokoa maisha yake alifanikiwa kukimbilia ndani huku akihema kama alibeba mzigo mkubwa tokea hapo akaanza kuwapa heshima yao ingawaje tulimkanya hakutaka kusikia...Ni kweli
Mkuu Kuna Siku nililkuwa naangalia Dstv kipind Cha wanyama NAT GEo,
Black mamba alimgonga nyegere alizima kama dakika kumi hivi baada ya hapo kakainuka kakasepa Sasa katka maelezo wakaelezea swala hilo kuwa n mara chache sana sumu ya nyoka kumuua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio mnyama mlevi kama mimi...[emoji12]
hii ndio sababu hewa ukaa anayotoa (ushuzi) huwa na vinasaba vya Anesthesia ambayo husababisha loss of feeling or awareness kwa nyuki ndani ya mzingaInaonekana Nyege-re ana Alkoholi mwilini huyu.
Mleta mada alimaanisha mnyama poli, sio mnyama kisayansiMleta mada,
1.Mnyama mwenye wivu duniani ni binadamu.
2.Ni nyegele.
Yote yanayo isibu dunia chanzo kimojawapo ni wivu wa mnyama number moja,(Binadamu).
Ukibisha wewe jeuri.
sumu ya nyoka huwa kilevi chakeHuyu ni Kiboko ya nyoka wote unaowajua hapa Duniani
Unaambiwa hata Koboko sijui Black mamba akimwona huyu nyegere ili kuepusha Maisha yake hukimbia mbali sana na hakuna sumu ya nyoka inayomdhuru
Kama wakila wanashiba na haiwadhulu,inakuwaje ya ajabu ajabu? Siyo lazima kila mtu ale kama unavyokula weweWest African nuksi. Siyo west Afrika tu nadhani kuanzia hapo Zaire. Wanakula nyama za ajabu ajabu kweli kweli. Vinyama vingi vya porini na misituni wanakula.