Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Kwa kabila la Wasukuma Uchifu (Mtemi) haupewi bali unarithishwa. Kwa Mnyika hawezi kuwa Chifu wa Wasukuma kwanza ni mtoto wa nje ya ndoa pia baba yake alimkataa ndiyo maana anatumia jina la ukoo wa mama yake ambaye ni mpare. Baba yake alifariki mwaka 2015 na Mnyika kwa shingo upande alihudhuria mazishi yake maeneo ya Temeke. Hivyo waliompa uchifu ni matapeli tu hakuna cha uchifu hapo! Hata baba yake hakutokea kwenye ukoo wa kichifu na ndiyo maana alizikwa Dar.
 
Hutaki kanywe sumu maana huna faida kwa taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
 

..huu ni Uchifu au Utemi wa heshima.

..kama baba yake alimkataa, kosa ni la baba siyo mtoto / John.

..Na John inaelekea amemsamehe Mzee wake na anamkubali. Angekuwa hamkubali asingejitaja kuwa yeye ni Msukuma.

..Pitia video clip Mnyika anasema babu yake ni Mikael Masalu, na baba yake mzazi ni John Michael Dalali na amelelewa ktk himaya ya Mtemi Kafipa.

 
Kwanini hatumii jina la ukoo wake sasa la Masalu au Dalali lakini anatumia jina la Kipare la Mnyika?
 
Kwanini hatumii jina la ukoo wake sasa la Masalu au Dalali lakini anatumia jina la Kipare la Mnyika?

..inawezekana ni hasira za mama yake baada ya mzazi mwenzake kumkimbia.

..huwezi kumlaumu John kwa makosa ya wazazi wake.

..at least amewatendea haki kwa kuwakiri wote wawili hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…