Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

chadema kuendekeza ushirikina ndio maana walishindwa uchaguzi 2015
View attachment 1306494
1577942761610.png
 
Pole sana kwa kulazimisha maji yapande mlima
wasukuma hawanywei pombe kwenye kibuyu, hiyo ni mila ya kiha na kihaya, wasukuma hunywea kwenye chubhu au chanji na sio kisabo kama mnyika alivyofanya hayo ni mambo ya kishirikina tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru unatakiwa uanzie ndani ya chama... viongozi wa ngazi za juu wa chama waache kuhodhi mamlaka na demokrasia ya wanachama wake kufanya lililosahihi bila kuathiri katiba ya nchi, sheria na kanuni zilizopo.

Mfano wa kwanza, kitendo cha viongozi wa chama kuwanyima haki wanachama kugombea nafasi za uenyekiti serikali za mitaa kwa uchaguzi uliopita kwa sababu walizozisababisha wao (viongozi wa juu wa chama) kwa kushindwa kuwandaa wanachama vyema namna ya ujazaji fomu za kugombea, ni kitendo cha kupoka uhuru. Ili kuonyesha dhamira halali na sahihi ni lazima chama ki- tembelee yale kinayozungumza (Walk the Talk).

Mfano wa pili, kitendo cha kuwanyima haki wagombea nafasi ya uenyekiti wa chama kujieleza kwa muda sawa na wengine huku akipendelewa mgombea mmoja kujieleza kikampeni mara nyingi zaidi ya wenzake kwa visingizio mbalimbali...ni ukosefu wa uhuru ndani ya chama. Chama kiWalk the Talk.

Katibu Mkuu wa chama arekebishe hayo kwanza kwenye chama chake ndiyo aje kwenye jukumu hili lake analojipa la kufikirika.
Kwa ujumbe huu uliiuandika hapa, unainyesha ni jinsi gani ulivyo mjinga au mpumbavu.
Unanifanya kipofu huini na hutambui ni nani wa kulaumiwa kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hivi ninani aliwazuia upinzani kugombea? Siyo seriki iliyoondoa majina yao? Upumbavu wire wa wakurugezi na watendaji wa kata hukuuona?
Acheni uzwazwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wanajua marekebisho ya katiba ndio kaburi lao.Hawawezi kukubali hata kwa mtutu wa bunduki!
 
Kwa ujumbe huu uliiuandika hapa, unainyesha ni jinsi gani ulivyo mjinga au mpumbavu.
Unanifanya kipofu huini na hutambui ni nani wa kulaumiwa kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hivi ninani aliwazuia upinzani kugombea? Siyo seriki iliyoondoa majina yao? Upumbavu wire wa wakurugezi na watendaji wa kata hukuuona?
Acheni uzwazwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndiyo utajua kuwa vijana wa lumumba wao kazi yao ni kubwabwaja tu bila kujiuliza kwanza chanzo cha tatizo maana hayo matatizo yoote wao ndiyo chanzo.

Kimsingi wana sahau haraka kama kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom