Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

Msajili anapaswa kumuhoji Samia kwa nini anavunja katiba kuzuia mikutano ya kisiasa na kuita ni fujo za kisiasa?
 
Wewe Kama nani?.!!You are concentrating your mind in a limited area
 
Huyu mvuta bangi wa kihaya anajidhalilisha sana
 
Watamtetea CCM si walimuona bora kupitisha awe kiongozi.
 
Tunaendelea kupaaza sauti, Mama Samia ni muongo na haijui Tanganyika ndo maana anaishia kusema NADHANI, hana anachokijua
 
Wewe umeshiba katiba iliyopo na kwa kuwa..umeshiba huoni wenye njaa. Katiba mpya ni mstakabali wa nchi si kikundi cha watu. Ninyi msiotaka ainisheni ubaya w katiba mpya nini ili mueleweke!!
 
Msajili atajifanya hakusikia Mtungi mshenzi sana inawezekana katia tungi ndiyo anaandika barua!
Mnyika mpelekee flash inayoonyesha majibu yake yote kuhusu tozo,demokrasia,vipengele vya Katiba kuhusu vyama.
 
Namwelewa sana Prof. Assad, asilimia zaidi ya 70 ya viongozi wetu hawana uwezo wako chiiini ya kiwango...msajili nimmojawapo!!
 
... kwa Msajili kinyume cha maadili (although unjustifiable kwa suala la Mnyika) ina uzito vibaya sana kuliko kinyume cha Katiba! Watu wanavunja Katiba wazi wazi hilo halimhusu Msajili! Ajabu sana.
Yule mzeee atakufa kumfuata nyang'ao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…