Hii ofisi ndiyo huwafanya CCM kukosa usingizi mpaka kuwabambikia kesi kuwapiga risasi sasa jiulize chadema wangekuwa na mjengo mkubwa si mtawaangamiza kwa sumu ya nyukiliaHii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Hii siyo,pointi kada mwenzangu ,😁😁,mahtim ghandi alikuwa anashindia kavaa mashuka na chupi tu,lakini alileta mabadiluko makubwa kwa wananchi wa india,,nini jengo banah...?Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Bashiru abagombea jimbo gani?Mnyika amekimbia jimbo lake na sasa anashinda jukwaa la wachumia tumbo
Kitendo cha kutii hiki 'kifungo' haramu kinawapa picha kuwa hata matokeo watachakachua na hamna mtacho fanya.Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.
Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Hata kama watu wamenyamaza lakini Mimi nakuunga mkono.Hapana. Mimi nina hofu, tukiendelea na kampeni tume itatuongezea adhabu. Mpaka sasa tumeshawashika vibaya serekali (sio ccm maana sisi tunashindana na serekali sio ccm) . Kwa maoni yangu tukubaliane na msimamo wa tume. Tarehe 9 tuamshe tena popo. Mbona hawatoki! Hawa jamaa washakataliwa, wanaishi kwa huruma ya NEC na Polisi.
Tutawapiga. Sina shaka na hilo.
Hivi we una akili kweli kiongozi wenu anayewaza kuiongoza nchi unawaza maswala ya kuilitega jeshi la polisi na NEC niwaambieni tuhakuna aliye juu ya sheria hapa nchini.Safi sana hawa NEC, msajili na police tunawatega Sasa tuone
Hapo nimemuelewa sasa.Hajasema Tl ataendelea na kampeni.
Mabomu kwa kosa lipi?Lissu ni mjanja sana anataka leo wazanzibar wapigwe mabomu huko unguja akili ziwasogee ili tarehe 28 octoba kazi iwe rahisi
Wakaitaka maendeleo wafanye kwanza maendeleo ndani ya chama chao kwa maana huwezi kuongoza mtu kama wewe mwenyewe umeshimdwa kujiongozaHii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Maendeleo yapi yapo CCM? Miaka 59 hakuna maendeleo licha ya Nchi kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi DunianiWakaitaka maendeleo wafanye kwanza maendeleo ndani ya chama chao kwa maana huwezi kuongoza mtu kama wewe mwenyewe umeshimdwa kujiongoza
Ongea kwa sauti usikike kilabu kizima kwamba unapiga mbege na kongoro ya nguruwe!Wewe ni zezeta.
Nimeweka tu rekodi sawa ila hakuna mtu anayejitambua atakubaliana na adhabu ya tume.
WaTZ wanaona na bila kujua mtampa na kura za huruma hata kwa wasiopanga kumpigia.
Kibaya zaidi mkishinda kihalali no one ataamini sababu mlimzuia mpinzani asipige kampeni wiki nne kabla ya uchaguzi.
Mnazidi kujiharibia tu, Bashiru ana PhD lakini hata reasoning ya kawaida inamshinda.
Hii ofisi ndiyo huwafanya CCM kukosa usingizi mpaka kuwabambikia kesi kuwapiga risasi sasa jiulize chadema wangekuwa na mjengo mkubwa si mtawaangamiza kwa sumu ya nyukilia
Ukweli mchungu ni kwamba CCM tayari itashinda uchaguzi mkuu baada ya Chadema kufyata mkia kwny tukio hili la muhimu kabisa,huu ulikua ni muda wa kuwaonyesha CCM/Tume kwamba upuuzi wa namna yoyote ile hatutakubali na tuta-deal ipasavyo.Kitendo cha kutii hiki 'kifungo' haramu kinawapa picha kuwa hata matokeo watachakachua na hamna mtacho fanya.
Hivi mkiambiwa mnavunja sheria mtamlaumu nani labda??Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika amesema chama chake kitaendelea na kampeni za uchaguzi leo huko Unguja katika visiwa vya Zanzibar.
Wote mnakaribishwa.
Maendeleo hayana vyama!
Kamuulize Bashite na cyprian Musiba waliokwenda Dodoma kumpiga risasiWaliopanga njama za risasi .....
https://www.jamiiforums.com/attachments/1581526/
Ofisi inaendana na maisha halisi ya watanzania. Huwezi kujivunia ofisi nzuri wakati wananchi wako wanaishi kwenye mapagalaHii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
Nikutaarifu kuwa muda muafaka ukiwadia hamuachi mtu salama, hatakama ofisi ya CHADEMA ni chini ya mti, watu wameishakata shauri, wanataka utawala mpya kwa katiba mpya. Hata kama mgombea ni bubu watampigia kura za kimbunga.Hii ndiyo ofisi ya waleta mabadilikoView attachment 1589789
CHADEMA ikifa Vigagula ni sherehe, sasa inakuwaje wewe unaihurumia CHADEMA?Hata wewe umeanza kushtukia kwamba Tundu ni bogus na anaua chadema eeh, ...
Wanavunja sheria gani?Hivi mkiambiwa mnavunja sheria mtamlaumu nani labda??
Mbona mnataka kufanya mambo ambayo yanaaahiria uvunjifu wa amani nchini.
Fanyeni vitu kufuata sheria na watu watawaona mna maana,ila sio hizi akili mnawakosea wananchi wenu.