Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemdharau sana Msukuma, huyo mhutu saizi yake ni Dr. Shika.Kwa Sasa Bashiru hana tofauti na Msukuma
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Umma uko tayari kabisa ila cdm wanaogopaChadema wakaze buti kuuandaa umma!
Hahaha Nguvu ya Umma gani Mnyika watanzania wakiona tu askari wanapiga mazoezi na push up wanajifungia ndani
Mnao kuliko wale wa Saddam ? Au wale wa gadaffyHahaha Nguvu ya Umma gani Mnyika watanzania wakiona tu askari wanapiga mazoezi na push up wanajifungia ndani
Saddam hakutolewa na wananchi bali majeshi ya Marekani same applied to Gadaffi na hila za wafaransa na wamarekani
Bashiru ule weledi wake aliuacha pale UD, kaenda Lumumba kawa wa lumumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote! Nguvu ya uma itumike kumuweka mbowe na genge lake kula rudhuku!
Shetani hajawahi kumshinda MunguHuna lolote! Nguvu ya uma itumike kumuweka mbowe na genge lake kula rudhuku!
Subirini kibano cha mvua j4! Jela inawahusu! Siasa zenu za machafuko hixo hatuzitaki.
Huo ushind mnao jinad mtaupata mnautolea wapi chadema nyie kwel majasir dah hamuon upepo unapo elekea
Sent using Jamii Forums mobile app
Bas chadema wote ni wasalit hamna hata mmoja alie safWasaliti hawakuanza jana