Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ni mtu wa controversy, aliwahi tangaza JPM amefariki 2019, alidai Mbowe alihusika na ugaidi, well alidai Lissu anatumika na mabeberu kunyima Tz misaada ila hizo statements zote alikuja kuzi refute baadae!!
Hawezikukuelewa kibaraka yule.Pole Zitto...acha kiherehere Chadema mambo yao wanayasimamia wenyewe, kwa kuweka misimamo kupitia vikao na yanawasilishwa na wahusika. Hua hawatumii consultant kama unavotaka kujifanya wewe kuwa msukuma agenda wa Chadema.
Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.
Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.
Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.
Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Zitto hanaga ujumuishi wa kweli katika fikra, utetezi, na ushirika nje ya waislam na uislam wenyewe kwake ukristo na wakristo ni dekio atalishabikia iwapo lina utopolo na linampa riziki za kutumika. He is against secular state model ya nchi hii.
Mapendekezo yako ni sahihi lakini Serikali kama ingehitaji ku-balance basi wangekutana na chadema kama walivyoomba. Kuwaita kwenye mkumbo wao ndo wanakataa kwa sababu ni chama kikuu cha upinzani na serikali haitaki kutoa huo mwanya, inataka ione vyama vyote vya upinzani ni sawa.Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.
Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.
Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.
Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Sijakuelewa, kwangu iko hivi;Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.
Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.
Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.
Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Umemsahau na Mdude! Naye huwa anatoa matamko ya kunyoa watu na viwembe!Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.
Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.
Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.
Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Ni akili timamu kweli kuzungumzia kunyongwa mtu saa hizi!? Hivi vijana nyie uhai wa mtu umeshachuja (devalued) akilini kwenu. Hata nyati humtetea nyati mwenzao anapotishiwa uhai!Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.
Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.
Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.
Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Japo mimi si shabiki wa Zitto ila la udini unamsingizia naZitto hanaga ujumuishi wa kweli katika fikra, utetezi, na ushirika nje ya waislam na uislam wenyewe kwake ukristo na wakristo ni dekio atalishabikia iwapo lina utopolo na linampa riziki za kutumika. He is against secular state model ya nchi hii.
Why hawakwenda na wakawa talk of the topicNa kuna "wanaharakati"..watakupinga
Matusi ya Nini Tena. Vyama vya siasa visikujengee chuki kwa binadamu mwenzako ambaye hajawahi hata kukukanyaga kwa bahati mbaya.unaona eeh, hilo jilissu limekaa huko nje ya nchi kazi yake kubwa ni kuomba pesa ili akale, ndio maana limenenepeana kama pimbi, jitu zima ovyooooooo
HII NDIYO CHADEMA, Sio Mnyika tu Mbowe pia alitoa baraka na Lissu alijua kuwaPole Zitto...acha kiherehere Chadema mambo yao wanayasimamia wenyewe, kwa kuweka misimamo kupitia vikao na yanawasilishwa na wahusika. Hua hawatumii consultant kama unavotaka kujifanya wewe kuwa msukuma agenda wa Chadema.