Mnyika kama hili ni kweli ama ujitokeze ueleze hadharani au jiuzulu

Mnyika kama hili ni kweli ama ujitokeze ueleze hadharani au jiuzulu

Lissu alisema Mnyika alipeleka suala la Mbowe (na mengine) TCD kwa ajili ya kuomba ushirikiano wao katika dai kuwa kesi hizo zinastahili kufutwa kwa sababu ni za kisiasa. Mangula alipinga hoja yao kwa kusema kuwa kesi ya Mbowe ni ya jinai na sio ya kisiasa. Ndipo Mnyika akawakabidhi hayo makabrasha ya Mahakama ( committals) kuwathibitishia kauli yake kuwa ni kesi ya kisiasa na sio ya jinai. Hayo makabrasha ni public information kwa hiyo kila mtu ana haki ya kuyasoma. Na inaelekea alifanya hivi kwa maagizo ya chama chake. Nadhani CDM inatofautiana na Zitto kwenye yeye kutumia lugha ya kubembeleza ( kuomba ) kwenye kitu ambacho wao wanaona ni stahili yao. Kwa maneno mengine, hawataki Mwenyekiti wao aachiwe kwa hisani bali aachiwe kwa sababu ni haki yake.

Amandla...
 
Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.

Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.

Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.

Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Huwezi kuacha kuongea wakati umeongelewa na haupo mahali hapo. Jinsi Zitto alivyowasilisha ni kama anakubali Mbowe ana hatia kwa hiyo amsamehe. CHADEMA hawakubaliani na tuhuma dhidi ya Mbowe kwa hiyo hawawezi kukubali mtu amhusishe Mbowe na Ugaidi halafu kinafiki umuombee msamaha. Alichotakiwa kusema Zitto maana ni haki yake kusema ni kumwambia Rais kutumia madaraka yake "kumwachia" Mbowe na siyo kutumia madaraka yake "kumsamehe" Mbowe.
 
Pole Zitto...acha kiherehere Chadema mambo yao wanayasimamia wenyewe, kwa kuweka misimamo kupitia vikao na yanawasilishwa na wahusika. Hua hawatumii consultant kama unavotaka kujifanya wewe kuwa msukuma agenda wa Chadema.
Jibu swali wewe
 
Lissu alisema Mnyika alipeleka suala la Mbowe (na mengine) TCD kwa ajili ya kuomba ushirikiano wao katika dai kuwa kesi hizo zinastahili kufutwa kwa sababu ni za kisiasa. Mangula alipinga hoja yao kwa kusema kuwa kesi ya Mbowe ni ya jinai na sio ya kisiasa. Ndipo Mnyika akawakabidhi hayo makabrasha ya Mahakama ( committals) kuwathibitishia kauli yake kuwa ni kesi ya kisiasa na sio ya jinai. Hayo makabrasha ni public information kwa hiyo kila mtu ana haki ya kuyasoma. Na inaelekea alifanya hivi kwa maagizo ya chama chake. Nadhani CDM inatofautiana na Zitto kwenye yeye kutumia lugha ya kubembeleza ( kuomba ) kwenye kitu ambacho wao wanaona ni stahili yao. Kwa maneno mengine, hawataki Mwenyekiti wao aachiwe kwa hisani bali aachiwe kwa sababu ni haki yake.

Amandla...
Na huu uliosema hapa ndo ukweli.
 
Mapendekezo yako ni sahihi lakini Serikali kama ingehitaji ku-balance basi wangekutana na chadema kama walivyoomba. Kuwaita kwenye mkumbo wao ndo wanakataa kwa sababu ni chama kikuu cha upinzani na serikali haitaki kutoa huo mwanya, inataka ione vyama vyote vya upinzani ni sawa.
Ni kweli kwamba kwa kugomea kikao cha jana chadema wamepandisha credit lakini serikali imepandisha hasira kwa sababu haikutegemea kwamba watu watakuja na tafsiri gani. Kumbuka kwamba kuna habari kwamba mashtaka ya Lisu yamefutwa lakini serikali yaweza kuyafufua. Hayo yote yanaonyesha kwamba kuna mchezo wa draft na atakayecheza vizuri anaingia king.
Chama kikuu cha upinzani ni ACT siyo Chadema . Hakuna credit yoyote iliyopata Chadema kwa kugonea kikao huku ikipeleka ajenda zake kimya kimya
 
Lissu alisema Mnyika alipeleka suala la Mbowe (na mengine) TCD kwa ajili ya kuomba ushirikiano wao katika dai kuwa kesi hizo zinastahili kufutwa kwa sababu ni za kisiasa. Mangula alipinga hoja yao kwa kusema kuwa kesi ya Mbowe ni ya jinai na sio ya kisiasa. Ndipo Mnyika akawakabidhi hayo makabrasha ya Mahakama ( committals) kuwathibitishia kauli yake kuwa ni kesi ya kisiasa na sio ya jinai. Hayo makabrasha ni public information kwa hiyo kila mtu ana haki ya kuyasoma. Na inaelekea alifanya hivi kwa maagizo ya chama chake. Nadhani CDM inatofautiana na Zitto kwenye yeye kutumia lugha ya kubembeleza ( kuomba ) kwenye kitu ambacho wao wanaona ni stahili yao. Kwa maneno mengine, hawataki Mwenyekiti wao aachiwe kwa hisani bali aachiwe kwa sababu ni haki yake.

Amandla...
 
Chama kikuu cha upinzani ni ACT siyo Chadema . Hakuna credit yoyote iliyopata Chadema kwa kugonea kikao huku ikipeleka ajenda zake kimya kimya
Mnateseka sana MaCCM.. mmekosa picha ya kuwaonyesha mabeberu😄
 
Kama jela ni kuzuri kwanini mtu alikimbilia Belgium na mwingine Canada? Hebu acheni Mwenyekiti aachiwe huru akajumuike na familia yake.
 
Pole Zitto...acha kiherehere Chadema mambo yao wanayasimamia wenyewe, kwa kuweka misimamo kupitia vikao na yanawasilishwa na wahusika. Hua hawatumii consultant kama unavotaka kujifanya wewe kuwa msukuma agenda wa Chadema.
Mwenzenu anozea jela nyie huku mnapiga porojo tu, mwacheni Zitto amsaidie Mbowe atoke jela maana cdm limewashinda, mnazani hashtag zinasaidia kitu!!!!
 
Kwani kosa la Mbowe hadi aombewe msamaha kwa mama ni lipi? Kwanini msiweke wazi?
Sasa hayo ni ya zitto na Samia maadam tulisusia kikao hatukupaswa kuongelea!! Tungeendelea na maisha tu ili hta akitolewa na DPP sisi hatuhusiki so serikali inalinda ego yake na CHADEMA inalinda ego yake!!

Kuendelea kupambana na wakati serikali ina nothing to lose ni heroics zisizo na end result!! Tuhifunze kwa Odinga when to play hardcore and when to compromise!!
 
Sasa hayo ni ya zitto na Samia maadam tulisusia kikao hatukupaswa kuongelea!! Tungeendelea na maisha tu ili hta akitolewa na DPP sisi hatuhusiki so serikali inalinda ego yake na CHADEMA inalinda ego yake!!

Kuendelea kupambana na wakati serikali ina nothing to lose ni heroics zisizo na end result!! Tuhifunze kwa Odinga when to play hardcore and when to compromise!!
Jibu swali. Maelezo mengine hayo nayajua, isipokuwa sijui kosa analoombewa msamaha Mbowe.
 
Sijakuelewa, kwangu iko hivi;

1. Chadema hawawezi kuacha kujadili content za kikao kama kikaoni alihusishwa mwenyekiti wao.

2. Zitto amalizane vipi na mama wenyewe kwa issue inayomuhusu mwenyekiti wa Chadema? kwani Chadema haina viongozi?

3. Unaendeleza tabia za kioga ambazo zimetufikisha hapa tulipo, unaendelea kuwafunga watu midomo hutaki uonevu ujadiliwe clubhouse na kwingineko, na mbaya zaidi unataka kuleta precedence ya kuwaogopa wavunjifu wa sheria.

Ni sawa na unapigia chapuo uvunjifu wa sheria unaofanywa wazi na Samia ukitaka aogopwe ili asije kukasirika kwa kusemwa kwa ubaya wake kisa atampa Mbowe adhabu kali.

Huu kwangu ni uoga usio na maana kabisa, lazima Samia asemwe kwa ubaya anaomfanyia Mbowe kinyume cha sheria na kama akinuna shauri zake, ikulu sio ofisi ya emotions ni ofisi ya uvumilivu, kama imemshinda awapishe wengine.
Mkuu umefunga kazi. Asante sana.
 
Sijakuelewa, kwangu iko hivi;

1. Chadema hawawezi kuacha kujadili content za kikao kama kikaoni alihusishwa mwenyekiti wao.

2. Zitto amalizane vipi na mama wenyewe kwa issue inayomuhusu mwenyekiti wa Chadema? kwani Chadema haina viongozi?

3. Unaendeleza tabia za kioga ambazo zimetufikisha hapa tulipo, unaendelea kuwafunga watu midomo hutaki uonevu ujadiliwe clubhouse na kwingineko, na mbaya zaidi unataka kuleta precedence ya kuwaogopa wavunjifu wa sheria.

Ni sawa na unapigia chapuo uvunjifu wa sheria unaofanywa wazi na Samia ukitaka aogopwe ili asije kukasirika kwa kusemwa kwa ubaya wake kisa atampa Mbowe adhabu kali.

Huu kwangu ni uoga usio na maana kabisa, lazima Samia asemwe kwa ubaya anaomfanyia Mbowe kinyume cha sheria na kama akinuna shauri zake, ikulu sio ofisi ya emotions ni ofisi ya uvumilivu, kama imemshinda awapishe wengine.
Hamtaki kuwa waoga lk hamuwezi kuwa wababe ninyi mko wap sasa
 
Zitto anataka kubadilisha upepo, atuambie ni nyaraka zipi za kesi Chadema ilimkabidhi mzee Mangula, na kama alikabidhiwa kwa sababu zipi? kama alikabidhiwa kuoneshwa vile haki ya watuhumiwa inavyokiukwa na jaji mahakamani kulikuwa na ubaya gani?
Zitto atatuchelewesha - aje Mnyika
 
Sioni cha maana alichoongea Zitto, jana kwenye Mariaspace Lema ndio aliesema CHADEMA walimkabizi Mangula hayo makaratasi ya kesi ya mchongo na sababu ya kumkabizi imetajwa.

Na kupewa ajenda zao ni kwa kua wewe Zitto ni mwenyekiti wa hiyo mkusanyiko wa vyama vya makaratasi na umeshindwa kuzifanyia kazi .
Zitto kavurugwa na njaa zake.
Kupuyanga kubaya sana, tulia Zitto.
Hv ananjaa gan wewe jmn mbona unakua kama mmekatwa vichwa ninyi watu kila kitu kushadadia tu
 
Back
Top Bottom