Mnyika kama hili ni kweli ama ujitokeze ueleze hadharani au jiuzulu

Mnyika kama hili ni kweli ama ujitokeze ueleze hadharani au jiuzulu

Kwani lina shida GANI, kwani nikikupa nyaraka Basi nimeomba uniombee msamaha, naweza kukupa nyaraka kutaka ushinikize kufuta kesi ,Sio kuniombea msamaha, Kama alichofanya zitto,

Msitusumbue Na zitto wenu ,kwamba zitto anafikili ,Mnyika anaweza FANYA Jambo ambalo Chama au Lissu hawajui,

Mtu mzima lazima kujiuliza ,kwamba Sio zitto tu amesemea Jambo la Mbowe, wapo wengi mfano Wakina Mbatia why kauli zake zitto za jana Watu wamezishukia Kama mwewe, ? Maana yake ni kauli ambazo nyuma nyake Kuna nia ambayo lengo Sio kumsaidia Mbowe bali lifanyike Jambo KWa manufaa flani ya upande flani katika mazingira ya kuonesha Mbowe ana makosa kitu ambacho Sio,

Sasa unaleta Iyo tweeter alafu eti Mnyika atoke kujibu ,ajibu nini ujinga mtupu,
HAHAHAHAHAHAHHHHH- IMEKULA KWENU
 
Japo mimi si shabiki wa Zitto ila la udini unamsingizia na
ni kile wazungu wanaita figment of your imagination unasumbuliwa na Accute Gwajima Admiration Syndrome AGAS
Mkewe mkristo na kama Majaliwa hakumsilimisha
Zitto ni mdini na udini ulimsaidia kuishi ktk siasa. Washirika wake ni akina Dau, Kikwete na sasa Samia na wote huwamwagia sifa. Hana rafiki mkristu mkongoman huyu.
 
Wangekuwa na akili wangejifunza ANC ilivyo compomise mengi ili wafanikiwe…wangejifunza Seif Sharif ame compromise managapi hadi wakafanikiwa waliyofanikiwa
Siasa ni upepo....

Chadema wamejaza watu wasio na vision ya UHALISIA wa taifa letu lilivyo......

Chambilecho mh.Rais SSH "amani kupitia ncha ya ulimi" wao CDM wamekumbatia "mapanga".... kalaghabaho!
 
unaona eeh, hilo jilissu limekaa huko nje ya nchi kazi yake kubwa ni kuomba pesa ili akale, ndio maana limenenepeana kama pimbi, jitu zima ovyooooooo
Vip mbona unawashwa hivyo?.au kakana mimba aliyokupachika.
 
Zitto ni mdini na udini ulimsaidia kuishi ktk siasa. Washirika wake ni akina Dau, Kikwete na sasa Samia na wote huwamwagia sifa. Hana rafiki mkristu mkongoman huyu.

Nikimuona mwafrika anasimamia HOJA kupitia visingizio vya ulevi wa UDINI najua hamna AKILI HAPO....HAMNA SHULE HAPO hata kama ni profesa wa KUKARIRI.......


#Siempre JMT
 
unaona eeh, hilo jilissu limekaa huko nje ya nchi kazi yake kubwa ni kuomba pesa ili akale, ndio maana limenenepeana kama pimbi, jitu zima ovyooooooo
Dada polepole anakusubiria getoni kwake,kasema nenda na kilainishi
 
Mapendekezo yako ni sahihi lakini Serikali kama ingehitaji ku-balance basi wangekutana na chadema kama walivyoomba. Kuwaita kwenye mkumbo wao ndo wanakataa kwa sababu ni chama kikuu cha upinzani na serikali haitaki kutoa huo mwanya, inataka ione vyama vyote vya upinzani ni sawa.
Ni kweli kwamba kwa kugomea kikao cha jana chadema wamepandisha credit lakini serikali imepandisha hasira kwa sababu haikutegemea kwamba watu watakuja na tafsiri gani. Kumbuka kwamba kuna habari kwamba mashtaka ya Lisu yamefutwa lakini serikali yaweza kuyafufua. Hayo yote yanaonyesha kwamba kuna mchezo wa draft na atakayecheza vizuri anaingia king.

Chama kikuu cha upinzani ni ACT wacha kuchanganya mambo

Chama kikuu cha upinzani nj cheo cha mpito anaweza yyte kua chama kikuu cha upinzani ACT ,Chadema ,CCM na ata Cuf sasa acha kukalili na jifunze kuelewa nn maana ya chama kikuu cha upinzani
 
Nimemsikiliza Benson Kigaiya leo star tv, Chadema ijiepushe na misimamo radical kama ya huyu Kigaiya, anayeumia ni Mbowe.

Kama walikubali kauli ya Mbowe kwamba politics ni very dianamic na kumpokea Lowasa, basi kwa hili waondoe misimamo mikali hailipi.

Kuna wakati unareatreat bila kusurrender. Wanaotowa misimamo mikali wote wapo huru na wengine wapo ulaya na Canada.

Nadhani Chadema inapaswa kuitisha kamati kuu ya dharura ya kuteuwa timu ya kuonana na muhimili w executive.

Issue ni Mbowe awe huru haijarishi anasemehewa au vipi huo ni ujinga mtupu kukomalia kauli badala ya kujali uhuru wa mtu.

Walioingia mkataba wa plea bargain si kwamba wote walikuwa na hatia bali waliona thamani ya kuwa huru kuliko pesa.

Chadema waache hii misimamo radical wanamuumiza Mbowe wakati wao wapo uraiani wanakula maisha tu.
Kesi sio ya chadema ni ya mbowe.mbowe ndiye aliyeshtakiwa,kwahiyo kama mbowe mwenyewe ataona anateseka anao uwezo wakufanya hayo unayosema ili awe huru.
 
Zitto anataka kubadilisha upepo, atuambie ni nyaraka zipi za kesi Chadema ilimkabidhi mzee Mangula, na kama alikabidhiwa kwa sababu zipi? kama alikabidhiwa kuoneshwa vile haki ya watuhumiwa inavyokiukwa na jaji mahakamani kulikuwa na ubaya gani?
Walimkabidhi mangula Kama nani?
 
Nimemsikiliza Benson Kigaiya leo star tv, Chadema ijiepushe na misimamo radical kama ya huyu Kigaiya, anayeumia ni Mbowe.

Kama walikubali kauli ya Mbowe kwamba politics ni very dianamic na kumpokea Lowasa, basi kwa hili waondoe misimamo mikali hailipi.

Kuna wakati unareatreat bila kusurrender. Wanaotowa misimamo mikali wote wapo huru na wengine wapo ulaya na Canada.

Nadhani Chadema inapaswa kuitisha kamati kuu ya dharura ya kuteuwa timu ya kuonana na muhimili w executive.

Issue ni Mbowe awe huru haijarishi anasemehewa au vipi huo ni ujinga mtupu kukomalia kauli badala ya kujali uhuru wa mtu.

Walioingia mkataba wa plea bargain si kwamba wote walikuwa na hatia bali waliona thamani ya kuwa huru kuliko pesa.

Chadema waache hii misimamo radical wanamuumiza Mbowe wakati wao wapo uraiani wanakula maisha tu.
Haya mapenzi kwa Mbowe yameanza lini?
Kuna kitu kinaitwa principles. Lugemarila alikataa mambo ya plea bargaining na leo yuko nje na heshima yake ikiwa intact. Nape aliomba msamaha na mpaka leo picha ya akijifuta jasho akielekea kwa Mheshimiwa Rais inafanya watu wengi wamuone opportunist. Ikiwa leo tunaona kudai haki yako na kukataa kuonewa ni msimamo radical basi waliotutangulia watakuwa wanageuka kwenye makaburi yao. Kuomba msamaha kwa kitu ambacho unajua kabisa haukufanya ni ku surrender maana kwa kufanya hivyo umejionyesha unanunulika.

Amandla...
 
Zito ni Mercenary politician maana yake " mwanasiasa mwenye tabia za kimalayamalaya"
 
Kwa maoni binafsi maadam CHADEMA walisusia kikao ni vizuri wangepuuza content za kikao. Hili la kuanza kujadili kauli za mama + plus request ya Zitto ni sawa tu na wamehudhuria kikao.

Maadam aliyeomba clemency ni zitto wangeacha amalizane na Mama mwenyewe wao wasitoe comment ili kuiweka serikali kwenye dilemma.

Having said that, msemaji wa CHADEMA kwenye hii kesi awe mmoja tu. Sipendi huu utaratibu wa Lema kutoa comment mara Bavicha nao wanachambua kesi clubhouse, zote hizi zinaprovoke tu serikali.

Kuiprovoke serikali kutafanya hata wamnyonge Mbowe thou hana hatia ili tu kuprove a point, sasa kwanini tufike huko wakati diplomasia inaweza solve mambo?
Chadema ni wajuaji balaa sijapata kuona .zotto naye anakieherehere cha kujipendekeza ili hali wachagaa kama akina lema huwa hawampendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto anataka kubadilisha upepo, atuambie ni nyaraka zipi za kesi Chadema ilimkabidhi mzee Mangula, na kama alikabidhiwa kwa sababu zipi? kama alikabidhiwa kuoneshwa vile haki ya watuhumiwa inavyokiukwa na jaji mahakamani kulikuwa na ubaya gani?
Si umuombe mnyika aliyetoa sasa wew unawezaji kumuomba zito .unafiko na chuki mtaacha lini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom