Mnyika kama hili ni kweli ama ujitokeze ueleze hadharani au jiuzulu

Mnyika kama hili ni kweli ama ujitokeze ueleze hadharani au jiuzulu

Zitto hanaga ujumuishi wa kweli katika fikra, utetezi, na ushirika nje ya waislam na uislam wenyewe kwake ukristo na wakristo ni dekio atalishabikia iwapo lina utopolo na linampa riziki za kutumika. He is against secular state model ya nchi hii.
VIPI CHADEMA NA UKRISTO?????
 
Kwanini huo ushahidi upelekwe kwa Mangula na sio kwa DPP

Kwanini hiyo ilifanywa siri hadi zitto alipotoa huo mchongo

Kwanini Zitto alipoenda kumjulisha Mbowe azimio la kumuomba Rais amsamehe/amuachie kwanini Mbowe hakupinga?

Chadema wanaokataa Mama 'asimsamehe' Mbowe angekuwa ndani Mkewe au Mumewe au Mtoto wake angekubali aendelee kuteseka kwa sababu ya maneno msamehe badala ya mfutie kesi?

Pengine kuna watu pale Chadema wanafaidika sana kwa Mbowe kuwa ndani kupitia ule mradi wa European Union ndio sababu kila siku wanafungua kesi ndogo ndan ya kesi kubwa kuchelewesha muendelezo wa kesi na pia wanajaribu ku frustrate Judges ili tu 'mambo' yao yawaendee


Lissu alisema Mnyika alipeleka suala la Mbowe (na mengine) TCD kwa ajili ya kuomba ushirikiano wao katika dai kuwa kesi hizo zinastahili kufutwa kwa sababu ni za kisiasa. Mangula alipinga hoja yao kwa kusema kuwa kesi ya Mbowe ni ya jinai na sio ya kisiasa. Ndipo Mnyika akawakabidhi hayo makabrasha ya Mahakama ( committals) kuwathibitishia kauli yake kuwa ni kesi ya kisiasa na sio ya jinai. Hayo makabrasha ni public information kwa hiyo kila mtu ana haki ya kuyasoma. Na inaelekea alifanya hivi kwa maagizo ya chama chake. Nadhani CDM inatofautiana na Zitto kwenye yeye kutumia lugha ya kubembeleza ( kuomba ) kwenye kitu ambacho wao wanaona ni stahili yao. Kwa maneno mengine, hawataki Mwenyekiti wao aachiwe kwa hisani bali aachiwe kwa sababu ni haki yake.

Amandla...
 
Hv ananjaa gan wewe jmn mbona unakua kama mmekatwa vichwa ninyi watu kila kitu kushadadia tu
Akili yako haina akili. Mnafiki ana njaa ya kuwa kiongozi wa upizani bungeni. Na kurudishwa kwenye kamati za PAC apige hela.
Na unalijua hilo sana tu. Umeamua kutia ulimi puani. Na kama hujuhi ndio ujue sasa.
 
Kwanini huo ushahidi upelekwe kwa Mangula na sio kwa DPP

Kwanini hiyo ilifanywa siri hadi zitto alipotoa huo mchongo

Kwanini Zitto alipoenda kumjulisha Mbowe azimio la kumuomba Rais amsamehe/amuachie kwanini Mbowe hakupinga?

Chadema wanaokataa Mama 'asimsamehe' Mbowe angekuwa ndani Mkewe au Mumewe au Mtoto wake angekubali aendelee kuteseka kwa sababu ya maneno msamehe badala ya mfutie kesi?

Pengine kuna watu pale Chadema wanafaidika sana kwa Mbowe kuwa ndani kupitia ule mradi wa European Union ndio sababu kila siku wanafungua kesi ndogo ndan ya kesi kubwa kuchelewesha muendelezo wa kesi na pia wanajaribu ku frustrate Judges ili tu 'mambo' yao yawaendee
Unapuyanga sana, nini shida. Mlimteka mzee Mbowe Mwanza akifanya kazi zasiasa kwa majibu wa katiba na sheria za nchi.
Mwachieni huru.habari za msamaha kafanyeni vikao CCM msamehe viroboto, Chawa na wahuni.
Msituchukulie Poa kihivyo na kibibi cha kiarabu chenu. Bladifeken .
 
Na kuna "wanaharakati"..watakupinga
Nimemsikiliza Benson Kigaiya leo star tv, Chadema ijiepushe na misimamo radical kama ya huyu Kigaiya, anayeumia ni Mbowe.

Kama walikubali kauli ya Mbowe kwamba politics ni very dianamic na kumpokea Lowasa, basi kwa hili waondoe misimamo mikali hailipi.

Kuna wakati unareatreat bila kusurrender. Wanaotowa misimamo mikali wote wapo huru na wengine wapo ulaya na Canada.

Nadhani Chadema inapaswa kuitisha kamati kuu ya dharura ya kuteuwa timu ya kuonana na muhimili w executive.

Issue ni Mbowe awe huru haijarishi anasemehewa au vipi huo ni ujinga mtupu kukomalia kauli badala ya kujali uhuru wa mtu.

Walioingia mkataba wa plea bargain si kwamba wote walikuwa na hatia bali waliona thamani ya kuwa huru kuliko pesa.

Chadema waache hii misimamo radical wanamuumiza Mbowe wakati wao wapo uraiani wanakula maisha tu.
 
Kwani lina shida GANI, kwani nikikupa nyaraka Basi nimeomba uniombee msamaha, naweza kukupa nyaraka kutaka ushinikize kufuta kesi ,Sio kuniombea msamaha, Kama alichofanya zitto,

Msitusumbue Na zitto wenu ,kwamba zitto anafikili ,Mnyika anaweza FANYA Jambo ambalo Chama au Lissu hawajui,

Mtu mzima lazima kujiuliza ,kwamba Sio zitto tu amesemea Jambo la Mbowe, wapo wengi mfano Wakina Mbatia why kauli zake zitto za jana Watu wamezishukia Kama mwewe, ? Maana yake ni kauli ambazo nyuma nyake Kuna nia ambayo lengo Sio kumsaidia Mbowe bali lifanyike Jambo KWa manufaa flani ya upande flani katika mazingira ya kuonesha Mbowe ana makosa kitu ambacho Sio,

Sasa unaleta Iyo tweeter alafu eti Mnyika atoke kujibu ,ajibu nini ujinga mtupu,
 
Siku hizi zile Kauli za kusema 'Wamkamate Mbowe waone nchi itavyowaka moto' zimeishia wapi?

Hata yale Mabango nayo yameyeyuka
Unapuyanga sana, nini shida. Mlimteka mzee Mbowe Mwanza akifanya kazi zasiasa kwa majibu wa katiba na sheria za nchi.
Mwachieni huru.habari za msamaha kafanyeni vikao CCM msamehe viroboto, Chawa na wahuni.
Msituchukulie Poa kihivyo na kibibi cha kiarabu chenu. Bladifeken .
 
Wangekuwa na akili wangejifunza ANC ilivyo compomise mengi ili wafanikiwe…wangejifunza Seif Sharif ame compromise managapi hadi wakafanikiwa waliyofanikiwa
Nimemsikiliza Benson Kigaiya leo star tv, Chadema ijiepushe na misimamo radical kama ya huyu Kigaiya, anayeumia ni Mbowe.

Kama walikubali kauli ya Mbowe kwamba politics ni very dianamic na kumpokea Lowasa, basi kwa hili waondoe misimamo mikali hailipi.

Kuna wakati unareatreat bila kusurrender. Wanaotowa misimamo mikali wote wapo huru na wengine wapo ulaya na Canada.

Nadhani Chadema inapaswa kuitisha kamati kuu ya dharura ya kuteuwa timu ya kuonana na muhimili w executive.

Issue ni Mbowe awe huru haijarishi anasemehewa au vipi huo ni ujinga mtupu kukomalia kauli badala ya kujali uhuru wa mtu.

Walioingia mkataba wa plea bargain si kwamba wote walikuwa na hatia bali waliona thamani ya kuwa huru kuliko pesa.

Chadema waache hii misimamo radical wanamuumiza Mbowe wakati wao wapo uraiani wanakula maisha tu.
 
Unakuaje Mwanasiasa halafu usiwe Mnafiki Bongo?

Kwny sherehe za uhuru 2019 Mbowe alikaribishwa Jukwaani na JPM hakuzungumza ya Katiba mpya wala ya kuibiwa kura
Akili yako haina akili, uwezi kumuelewa MWAMBA.
Umoja na Mariziano aliomtaka Magufuli ungeleta haya kwenye majadiliano.
 
Siku hizi zile Kauli za kusema 'Wamkamate Mbowe waone nchi itavyowaka moto' zimeishia wapi?

Hata yale Mabango nayo yameyeyuka
Mkamteka Mbowe na kumpa kesi kukata magogo, na ugaidi mkitegemea mtapata ushahidi kwa wanachedema kuandamana.😀
Chama maiti mmevurugwa na Mwamba 😄😀
 
Wangekuwa na akili wangejifunza ANC ilivyo compomise mengi ili wafanikiwe…wangejifunza Seif Sharif ame compromise managapi hadi wakafanikiwa waliyofanikiwa
Mandela alifanya vikao vingi sana vya siri na Frederick De Cleck, helicopter ilikuwa inakwenda kumchukuwa jela Pose Moore kwa siri kabla hajahamishiwa Roben island na kumpeleka ikulu walipokuwa wanafanya vikao vya siri kati ya Mandela na De Cleck.

Chadema ni lazima ijipambanunuwe kama chama cha siasa na siyo genge la wanaharakati.

Misimamo hii radical ndio imesababisha tutakosabkatiba mpya kwa hoja ambayo UKAWA wangekuwa na chembe ya uchaguzi wangesubili kwanza tupitishe katiba mpya yenye mapungufu machache baadaye ndio wangelianzisha yale machache yafanyiwe kazi, lakini kwa misimamo mikali tumekosa vyote matokeo yake leo ndio haya Mbowe yupo ndani kwa kudai katiba mpya.

Wanasiasa waache ubinafsi, kuna wakati unapaswa kukubali mazingira yanakulazimisha uwe na msimamo wa wastani.
 
Kwanini huo ushahidi upelekwe kwa Mangula na sio kwa DPP

Kwanini hiyo ilifanywa siri hadi zitto alipotoa huo mchongo

Kwanini Zitto alipoenda kumjulisha Mbowe azimio la kumuomba Rais amsamehe/amuachie kwanini Mbowe hakupinga?

Chadema wanaokataa Mama 'asimsamehe' Mbowe angekuwa ndani Mkewe au Mumewe au Mtoto wake angekubali aendelee kuteseka kwa sababu ya maneno msamehe badala ya mfutie kesi?

Pengine kuna watu pale Chadema wanafaidika sana kwa Mbowe kuwa ndani kupitia ule mradi wa European Union ndio sababu kila siku wanafungua kesi ndogo ndan ya kesi kubwa kuchelewesha muendelezo wa kesi na pia wanajaribu ku frustrate Judges ili tu 'mambo' yao yawaendee
DPP anazo kwa sababu yeye ndie aliyeleta mashtaka. Committals ni makrabasha ambayo DPP anampa mtuhumiwa kumuelezea makosa anayoshitakiwa, kwa nini anashtakiwa na ushahidi uliomfanya DPP amfungulie mashtaka. Sasa ulitaka apelekewe kabrasha ambalo ameliandika mwenyewe. Mangula na wenzake walipewa kwa sababu alihoji wao kusema kuwa kesi ya Mbowe ni ya jinai.

Hawakufanya siri. Hizi ni public records na sio confidential records. Yaliyomo kwenye hizo committals ndio tunayasikia siku zote wakati wa uendeshaji wa kesi.

Ulikuwepo kwenye kikao cha Mbowe na Zitto? Lugha ya kusema hakupinga ni ya kisanii. Kwa nini hakusema alimuunga mkono na kumuomba aendelee na huo mpango? Mbowe anataka aachiwe na asiombewe msamaha. Kama Zitto alisema atasaidia ili aachiwe, kwa nini amzuie? Ingekuwa vinginevyo, Zitto angesema Mbowe alimuomba akamuombee msamaha kwa Mheshimiwa Rais.

Ndio. Wengi wao waliisha kaa ndani na hawakuwahi kuomba msamaha. Mahakama ndio zilikuja baadae kutupitilia mbali kesi zao kwa kuona hazikuwa na mashiko. Ilikuwa hivyo kwa Sugu. Ilikuwa hivyo kwa Lema. Ilikuwa hivyo kwa wakina Mbowe, Heche, Msigwa, Halima, na Esther ( kumbuka Mbowe alikuwa wa mwisho kutoka gerezani) . Ilikuwa hivyo kwa Mdude. Ilikuwa hivyo kwa Twaha. Na wengine wengi tu Hawa wote wana msimamo ndio maana mpaka leo wanawapigania watu wao walio ndani na wanadai haki itendeke kwa wale walioumizwa au hata kuuawa kwa sababu za kisiasa. Wakina Zitto walisema watu wao waliumizwa na wengine kuuawa lakini hamna kilichofanyika hadi leo kuwapatia haki zao.

Mradi gani wa European Union? Ni wajibu wa wakili kuonyesha dosari zote zinazojitokeza katika kesi ya mteja wao. Wao hawako pale kutaka fadhila za Jaji. Wanapigania haki za wateja wao hata kama wanahisi kuwa Jaji ameelemea upande mwingine. Na kumbuka yote haya yatahojiwa tena kama watakata rufaa. Hawawezi kukumbushia wakati wa rufaa kama hawakuhoji wakati wa kesi ya msingi. Mbowe ana familia. Ni matusi kusema kuwa familia yake inafaidika kwa yeye kuwa ndani.

Amandla...
 
Mandela alifanya vikao vingi sana vya siri na Frederick De Cleck, helicopter ilikuwa inakwenda kumchukuwa jela Pose Moore kwa siri kabla hajahamishiwa Roben island na kumpeleka ikulu walipokuwa wanafanya vikao vya siri kati ya Mandela na De Cleck.

Chadema ni lazima ijipambanunuwe kama chama cha siasa na siyo genge la wanaharakati.

Misimamo hii radical ndio imesababisha tutakosabkatiba mpya kwa hoja ambayo UKAWA wangekuwa na chembe ya uchaguzi wangesubili kwanza tupitishe katiba mpya yenye mapungufu machache baadaye ndio wangelianzisha yale machache yafanyiwe kazi, lakini kwa misimamo mikali tumekosa vyote matokeo yake leo ndio haya Mbowe yupo ndani kwa kudai katiba mpya.

Wanasiasa waache ubinafsi, kuna wakati unapaswa kukubali mazingira yanakulazimisha uwe na msimamo wa wastani.
Umeandika maneno machache sana lakin ni Conclusive

Tatizo la wanasiasa wengi bongo wapo kwny Siasa kama kazi sio Wito ndio sababu hawana weledi wala maarifa ya kisiasa…
 
Hili limefafanuliwa vizuri sana kule Twitter, hakuna aliyetumwa na Mbowe wala CDM kuomba msamaha - kama msamaha uliombwa basi ni kwa utashi wake yeye mwenyewe binafsi alivyoona inafaa.
 
Zitto ni mtu wa controversy, aliwahi tangaza JPM amefariki 2019, alidai Mbowe alihusika na ugaidi, well alidai Lissu anatumika na mabeberu kunyima Tz misaada ila hizo statements zote alikuja kuzi refute baadae!!

So hii tweet yake ichukuliwe with precautions maana anapenda attention zisizo za msingi.
Unamjibia Tundu Lissu ?!!!

Unatujibia kana kwamba wewe ni Mnyika?!!!

Haitosho tu kuyakataa maneno ya Zitto Kabwe.....

Mnyika ajitokeze ATUNG'AZIE.......
 
Hili limefafanuliwa vizuri sana kule Twitter, hakuna aliyetumwa na Mbowe wala CDM kuomba msamaha - kama msamaha uliombwa basi ni kwa utashi wake yeye mwenyewe binafsi alivyoona inafaa.
Wamefafanua wasiohusika.....

Afafanue Mnyika TUELEWE.....
 
Back
Top Bottom