mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Zitto juniorZitto ni mtu wa controversy, aliwahi tangaza JPM amefariki 2019, alidai Mbowe alihusika na ugaidi, well alidai Lissu anatumika na mabeberu kunyima Tz misaada ila hizo statements zote alikuja kuzi refute baadae!!
So hii tweet yake ichukuliwe with precautions maana anapenda attention zisizo za msingi.
Haa lema ni mjuaji balaaWanachokera wote makambare wanasharubu hawana mpangilio wa nani azungumze hili na lipo azungumze huye wote sauti ya habari
Umeamua tu kujitoa ufahamu au au masikio yako yana matundu lema yeye yuko Canada zito na myika ndo wamekutaana na ndo alichoeleza zitoSioni cha maana alichoongea Zitto, jana kwenye Mariaspace Lema ndio aliesema CHADEMA walimkabizi Mangula hayo makaratasi ya kesi ya mchongo na sababu ya kumkabizi imetajwa.
Na kupewa ajenda zao ni kwa kua wewe Zitto ni mwenyekiti wa hiyo mkusanyiko wa vyama vya makaratasi na umeshindwa kuzifanyia kazi .
Zitto kavurugwa na njaa zake.
Kupuyanga kubaya sana, tulia Zitto.
Zitto kasema wakati anaonhea na Mbowe alikuwa na James Mbowe kama Zitto anaongopa ni rahisi tu James aseme Zitto aliongea nini na Baba yakeDPP anazo kwa sababu yeye ndie aliyeleta mashtaka. Committals ni makrabasha ambayo DPP anampa mtuhumiwa kumuelezea makosa anayoshitakiwa, kwa nini anashtakiwa na ushahidi uliomfanya DPP amfungulie mashtaka. Sasa ulitaka apelekewe kabrasha ambalo ameliandika mwenyewe. Mangula na wenzake walipewa kwa sababu alihoji wao kusema kuwa kesi ya Mbowe ni ya jinai.
Hawakufanya siri. Hizi ni public records na sio confidential records. Yaliyomo kwenye hizo committals ndio tunayasikia siku zote wakati wa uendeshaji wa kesi.
Ulikuwepo kwenye kikao cha Mbowe na Zitto? Lugha ya kusema hakupinga ni ya kisanii. Kwa nini hakusema alimuunga mkono na kumuomba aendelee na huo mpango? Mbowe anataka aachiwe na asiombewe msamaha. Kama Zitto alisema atasaidia ili aachiwe, kwa nini amzuie? Ingekuwa vinginevyo, Zitto angesema Mbowe alimuomba akamuombee msamaha kwa Mheshimiwa Rais.
Ndio. Wengi wao waliisha kaa ndani na hawakuwahi kuomba msamaha. Mahakama ndio zilikuja baadae kutupitilia mbali kesi zao kwa kuona hazikuwa na mashiko. Ilikuwa hivyo kwa Sugu. Ilikuwa hivyo kwa Lema. Ilikuwa hivyo kwa wakina Mbowe, Heche, Msigwa, Halima, na Esther ( kumbuka Mbowe alikuwa wa mwisho kutoka gerezani) . Ilikuwa hivyo kwa Mdude. Ilikuwa hivyo kwa Twaha. Na wengine wengi tu Hawa wote wana msimamo ndio maana mpaka leo wanawapigania watu wao walio ndani na wanadai haki itendeke kwa wale walioumizwa au hata kuuawa kwa sababu za kisiasa. Wakina Zitto walisema watu wao waliumizwa na wengine kuuawa lakini hamna kilichofanyika hadi leo kuwapatia haki zao.
Mradi gani wa European Union? Ni wajibu wa wakili kuonyesha dosari zote zinazojitokeza katika kesi ya mteja wao. Wao hawako pale kutaka fadhila za Jaji. Wanapigania haki za wateja wao hata kama wanahisi kuwa Jaji ameelemea upande mwingine. Na kumbuka yote haya yatahojiwa tena kama watakata rufaa. Hawawezi kukumbushia wakati wa rufaa kama hawakuhoji wakati wa kesi ya msingi. Mbowe ana familia. Ni matusi kusema kuwa familia yake inafaidika kwa yeye kuwa ndani.
Amandla...
Zitto kasema wakati anaonhea na Mbowe alikuwa na James Mbowe kama Zitto anaongopa ni rahisi tu James aseme Zitto aliongea nini na Baba yake
Nafikiri ndo maana Zitto wakati anaongea nae alikuwa na James Mbowe maana familia inataka atoke vyovyote vile ila wanufaika wa chama wanataka wapate milage kwa yeye kukaa ndani tuwe wakweli hakuna anaependa kukaa kuleKesi sio ya chadema ni ya mbowe.mbowe ndiye aliyeshtakiwa,kwahiyo kama mbowe mwenyewe ataona anateseka anao uwezo wakufanya hayo unayosema ili awe huru.
Wewe na baadhi ya wenzio wamemshutumu Zitto kaongea uongo na kumsingizia mwenyekiti ila wakati Zitto anaongea na Mbowe James Mbowe alikuwepo kwani hapo si rahisi tu kuthibitisha kwa James kusema Zitto muongo basi asiposema tutajua familia na Mbowe wameridhiaNa unataka Chadema wamuambie James Mbowe aongee? Aongee kuwa baba yake hakumkatalia Zitto kufanya juhudi ili aachiwe? Au kuwa baba yake alimtuma Zitto akamuombee msamaha kwa Mheshimiwa Rais?
Amandla...
Hata kama hatuna silaha walizonazo polisiccm, isiwe sababu ya kuchezewa haki zetu, tuheshimiane kwa kufuata sheria.Hamtaki kuwa waoga lk hamuwezi kuwa wababe ninyi mko wap sasa
Shida nini, mbona unahaha na mambo ya CHADEMA, kwani yakuhusu au ndio kuwashwa washwa.Umeamua tu kujitoa ufahamu au au masikio yako yana matundu lema yeye yuko Canada zito na myika ndo wamekutaana na ndo alichoeleza zito
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna vitu viwili tofauti mna vichanganya. Watu wanapinga yeye kusema kuwa alitumwa kuomba msamaha. Hiyo ni tofauti na kumkubalia aende akadai aachiwe.Wewe na baadhi ya wenzio wamemshutumu Zitto kaongea uongo na kumsingizia mwenyekiti ila wakati Zitto anaongea na Mbowe James Mbowe alikuwepo kwani hapo si rahisi tu kuthibitisha kwa James kusema Zitto muongo basi asiposema tutajua familia na Mbowe wameridhia
Wanaudhi sana hawa wahuni viroboto na Chawa wa rangi ya zambarau na kijani.Kuna vitu viwili tofauti mna vichanganya. Watu wanapinga yeye kusema kuwa alitumwa kuomba msamaha. Hiyo ni tofauti na kumkubalia aende akadai aachiwe.
Lugha aliyotumia Zitto ndio imezidi kuwafanya watu wakose imani nae. Kusema " mwenzetu" badala ya " Mwenyekiti wa Chadema au Freeman Mbowe", kusema ana matatizo ya kisheria badala ya matatizo ya kisiasa. Maneno hayo ndio yalichangia Mbowe kushutumiwa kuwa ni serial mvunjaji wa sheria. Hamna namna Chadema wangekubali hili.
Amandla...