The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Au ndo ile kama mchungaji zingatia anachokisema sio anachokifanyaMbona yeye alijificha Kanisani Wiki nzima?! 😂😂
Msidanganyike ndrugu zango, ukipiga kura nenda nyumbani kusubiri matokeo, ukaidi au kudinda utapigwa virungu 🐒Akizungumza na wananchi wa Dumila jana Novemba 24, 2024 katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika aliwataka wafuasi wa chama hicho kutokuondoka kwenye vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura.
Soma pia: CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya
Kwanini waamue kushiriki kwenye uchaguzi uliokosa uhalali? Kwani kubaki vituoni kutusaidia Nini wakati uchaguzi ushaibwa??Akizungumza na wananchi wa Dumila jana Novemba 24, 2024 katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika aliwataka wafuasi wa chama hicho kutokuondoka kwenye vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura.
Soma pia: CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya
Siasa ya kiafrika vichekesho vitupu. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada hulishwa vizuri kwa muda mrefu.Akizungumza na wananchi wa Dumila jana Novemba 24, 2024 katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika aliwataka wafuasi wa chama hicho kutokuondoka kwenye vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura.
Soma pia: CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya
Yani niache kwenda kukaa na familia yangu eti nikae kituon kumpigani mgombea ambaye hana impact yoyote kwangu!!!😄😄Akizungumza na wananchi wa Dumila jana Novemba 24, 2024 katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika aliwataka wafuasi wa chama hicho kutokuondoka kwenye vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura.
Soma pia: CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya
Mnapenda kuombaombaSiasa ya kiafrika vichekesho vitupu. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada hulishwa vizuri kwa muda mrefu.
Samia anahangaika kutafuta pesa za kumalizia miradi na wanaoitumia hiyo miradi wanawashangaa hawa wanasiasa wetu kwa kutanguliza akili za kuibiwa kura.
JAMAA NI MUOGA HATA AKIMUONA PANYA ANAKIMBIA MBALI SANA HALAFU ANAWAAMBIA WATU WAKAE KULINDA KURA WAKATIHUO YEYE ATAKUWA KISHAPIGA KURA NA KURUDI NYUMBANI KWAKEAkizungumza na wananchi wa Dumila jana Novemba 24, 2024 katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika aliwataka wafuasi wa chama hicho kutokuondoka kwenye vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura.
Soma pia: CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya
Wa kutumia ubunifu wetu ni mimi na wewe, tuna mchango gani katika kutafuta pesa ya ziada itakayomnyima sababu za kupanda ndege kwenda kuomba huko ughaibuni?.Mnapenda kuombaomba
Kwa hiyo anavyozunguka
Kutembeza bakuli we hapo unaona ufahari
Ova
Tuende nyumbani muibe Kura? Subirini muone Moto wake, hakuna Polisi wa kuwabeba MaCCM mitaa/vijiji Tanzania nzimamsidanganyike ndrugu zango,
ukipiga kura nenda nyumbani kusubiri matokeo, ukaidi au kudinda utapigwa virungu 🐒
Kulinda kura ni muhimu.Akizungumza na wananchi wa Dumila jana Novemba 24, 2024 katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika aliwataka wafuasi wa chama hicho kutokuondoka kwenye vituo vya kupigia kura mara baada ya kupiga kura.
Soma pia: CHADEMA yajipanga kuzuia watoto kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wabaini madudu haya
Kuomba omba ndiyo hobby ya viongozi wetuWa kutumia ubunifu wetu ni mimi na wewe, tuna mchango gani katika kutafuta pesa ya ziada itakayomnyima sababu za kupanda ndege kwenda kuomba huko ughaibuni?.
Tukipewa madaraka tutakutana na majukumu makubwa sana na tutaiga tu utendaji kazi wa hawa tunaowakosoa kila siku.Kuomba omba ndiyo hobby ya viongozi wetu
Ova
Naona sasa unaingia rasmi kwenye ligi ya akina Tlaatlaah/Mwashamba. Kazi ni moja tu ya kumpamba mama! Hakuna kutumia akili tena kujenga hoja.Siasa ya kiafrika vichekesho vitupu. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada hulishwa vizuri kwa muda mrefu.
Samia anahangaika kutafuta pesa za kumalizia miradi na wanaoitumia hiyo miradi wanawashangaa hawa wanasiasa wetu kwa kutanguliza akili za kuibiwa kura.
Mama anatumia sana akili, tatizo wale wanaodhani kuna watu wanampamba sana SSH wanalo tatizo la kuidharau jinsia yake wanakariri maisha.Naona sasa unaingia rasmi kwenye ligi ya akina Tlaatlaah/Mwashamba. Kazi ni moja tu ya kumpamba mama! Hakuna kutumia akili tena kujenga hoja.