LGE2024 Mnyika: Mkipiga kura hakikisheni hamuondoki kwenye vituo

LGE2024 Mnyika: Mkipiga kura hakikisheni hamuondoki kwenye vituo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mama anatumia sana akili, tatizo wale wanaodhani kuna watu wanampamba sana SSH wanalo tatizo la kuidharau jinsia yake wanakariri maisha.

Namtazama Samia na utendaji wake kama rais kwanza na sio kama mwanamama fulani. Aliachiwa ilani na hayati JPM na anaitekeleza kipengele baada ya kipengele sasa kuuona ukweli na kuusema jinsi ulivyo ni haki yangu nikiwa Mtanzania ninayejielewa vyema.
Sasa ukienda upande huo huna budi uwe mkamilifu katika maelezo yako na kuacha kujificha ficha chini ya sababu za kijinsia ambazo hakuna mtu aliye zizungumzia popote.

Samia hana uwezo wa uongozi siyo kwa sababu ya jinsia yake.
 
Sasa ukienda upande huo huna budi uwe mkamilifu katika maelezo yako na kuacha kujificha ficha chini ya sababu za kijinsia ambazo hakuna mtu aliye zizungumzia popote.

Samia hana uwezo wa uongozi siyo kwa sababu ya jinsia yake.
Miradi yote aliyoaiacha hayati JPM inamalizika mmoja baada ya mwingine. Nyinyi endeleeni tu kupiga makelele ya wivu.
 
Msidanganyike ndrugu zango, ukipiga kura nenda nyumbani kusubiri matokeo, ukaidi au kudinda utapigwa virungu 🐒
Wewe nakuambiaga kila siku una shida kichwani. Wapigwe virungu kwa kosa gani? Nch hii ina polosi wangapi hata wafike kila kijiji na kitongoji???
Jifunze kusoma UCHAWA HAUTAKUSAIDIA
 
Wewe nakuambiaga kila siku una shida kichwani. Wapigwe virungu kwa kosa gani? Nch hii ina polosi wangapi hata wafike kila kijiji na kitongoji???
Jifunze kusoma UCHAWA HAUTAKUSAIDIA
gentleman,
mimi nimetoa mawaidha ya jumla kwa wadau wote wa demokrasia humu jukwaani,

wewe shupaza shingo na uongeze bidii ya ujuaji kwenye mambo rahisi kabisa,

sasa Nov.27, jipendekeze na utapata zawadi ya ujuaji wako bila kucheleweshewa hata sende moja. :BASED:
 
Miradi yote aliyoaiacha hayati JPM inamalizika mmoja baada ya mwingine. Nyinyi endeleeni tu kupiga makelele ya wivu.
Na unajuwa bila ya kuwepo Samia miradi hiyo isinge malizika. Hiyo ndiyo akili uliyo baki nayo!

Mradi unapo anzishwa maana yake ni kwamba mipangilio yote ya kuutekeleza tayari umekwisha fanyika; ikiwa ni pamoja na gharama ya mradi wenyewe na mahali pa pesa itakapo patikana.
Lakini kwa kuwa Samia yupo akilini mwako, hata akijamba utasema ni harufu ya marashi aliyo jipulizia.

Akili za ajabu sana hizi.
 
Wee ykiwa kwenye ac
Unatuchora tunavyomwagiwa majimtambukoo eeh

Naijjuaahiooo
 
kama mmeamua kukatwa makende nenden. Hawa viongozi wanasiasa msiwaamini kabisa kabisaaaaaaa kama ukomaaa
 
Na unajuwa bila ya kuwepo Samia miradi hiyo isinge malizika. Hiyo ndiyo akili uliyo baki nayo!

Mradi unapo anzishwa maana yake ni kwamba mipangilio yote ya kuutekeleza tayari umekwisha fanyika; ikiwa ni pamoja na gharama ya mradi wenyewe na mahali pa pesa itakapo patikana.
Lakini kwa kuwa Samia yupo akilini mwako, hata akijamba utasema ni harufu ya marashi aliyo jipulizia.

Akili za ajabu sana hizi.
Akili za ajabu mnazo nyinyi mnaojawa na chuki zisizo na sababu. Kumalizia miradi ndio kutekeleza ilani aliyokabidhiwa mwaka 2020 yeye na hayati JPM, ndio urais wenyewe huo.

Masuala ya 'uchawa' hiyo ni imani potofu, tulimuunga mkono hayati JPM kwa nguvu zote, ina maana tulikuwa chawa wake?.

SSH anawajibu kwa vitendo wote wenye dhana potofu kuhusu urais wake.
 
Akili za ajabu mnazo nyinyi mnaojawa na chuki zisizo na sababu. Kumalizia miradi ndio kutekeleza ilani aliyokabidhiwa mwaka 2020 yeye na hayati JPM, ndio urais wenyewe huo.

Masuala ya 'uchawa' hiyo ni imani potofu, tulimuunga mkono hayati JPM kwa nguvu zote, ina maana tulikuwa chawa wake?.

SSH anawajibu kwa vitendo wote wenye dhana potofu kuhusu urais wake.
Aisee! Wewe umewekeza sana kwa huyu mtu. Ni kama lolote likitokea leo, ndiyo basi mipango yote inaharibika!
Malizieni huo mwaka, msije mkapata viharusi bila mategemeo.

Mimi nilisha kueleza; kama Samia anafanya mambo ya kuchukiza dhidi ya Tanzania na wananchi wake, nikweli nitamchukia yeye na serikali yake na chama chake, hili lipo wazi kabisa. Kwa hiyo usijisumbue kuendelea kuzungumzia"chuki" kana kwamba nitajutia!

Urais wa kunyang'ang'anya kwa nguvu; kama majambazi, nao ni wa kuonea faraja? Samia kajibandikiza pale kwa Magufuli kwa unafiki mkubwa. Leo hii Magufuli angerudi Samia atakuwa jela au hata kuuawa kabisa! Halafu haya nayo unayafanya yaonekane kama mambo ya heshima?
 
Aisee! Wewe umewekeza sana kwa huyu mtu. Ni kama lolote likitokea leo, ndiyo basi mipango yote inaharibika!
Malizieni huo mwaka, msije mkapata viharusi bila mategemeo.

Mimi nilisha kueleza; kama Samia anafanya mambo ya kuchukiza dhidi ya Tanzania na wananchi wake, nikweli nitamchukia yeye na serikali yake na chama chake, hili lipo wazi kabisa. Kwa hiyo usijisumbue kuendelea kuzungumzia"chuki" kana kwamba nitajutia!

Urais wa kunyang'ang'anya kwa nguvu; kama majambazi, nao ni wa kuonea faraja? Samia kajibandikiza pale kwa Magufuli kwa unafiki mkubwa. Leo hii Magufuli angerudi Samia atakuwa jela au hata kuuawa kabisa! Halafu haya nayo unayafanya yaonekane kama mambo ya heshima?
Wewe unapiga haya makelele baada ya kusikiliza simulizi za Bar zunguka Tanzania huko mikoani uone mabadiliko yanayofanyika kwa kasi.

Nasema umejaa chuki kwa sababu nina uhakika chanzo chako cha habari ni kidogo, Samia anagusa watu wengi wa kila kona ya Tanzania.
 
Wewe unapiga haya makelele baada ya kusikiliza simulizi za Bar zunguka Tanzania huko mikoani uone mabadiliko yanayofanyika kwa kasi.

Nasema umejaa chuki kwa sababu nina uhakika chanzo chako cha habari ni kidogo, Samia anagusa watu wengi wa kila kona ya Tanzania.
Hata unajuwaje kwamba maisha yangu ni kwenye bar kama siyo upumbavu tu!

Eti chanzo changu cha habari ni kidogo! Chako kikubwa kiko wapi. Siku zote nakuona humu unarudia rudia tu yale yale yasiyo kuwa na maana yoyote.

Hilo la "Samia kugusa watu wengi" nalo unataka tulipotezee muda humu? Anagusa watu wengi kwa kuwafanya kuwa watwana ndani ya nchi yao. Hili nalo unataka niwe narudia rudia kila mara. Akili yako wewe umeilaza wapi?
 
Hata unajuwaje kwamba maisha yangu ni kwenye bar kama siyo upumbavu tu!

Eti chanzo changu cha habari ni kidogo! Chako kikubwa kiko wapi. Siku zote nakuona humu unarudia rudia tu yale yale yasiyo kuwa na maana yoyote.

Hilo la "Samia kugusa watu wengi" nalo unataka tulipotezee muda humu? Anagusa watu wengi kwa kuwafanya kuwa watwana ndani ya nchi yao. Hili nalo unataka niwe narudia rudia kila mara. Akili yako wewe umeilaza wapi?
Tanzania ya viwanda ni lazima iwe na wahanga wake, hakuna rais mwenye kuweza kumfurahisha kila mtanzania, hayupo na hatakuwepo.

Maendeleo yana gharama zake popote pale duniani. Samia anaifungua nchi sasa ikiwa watoto au jamaa zako hawawezi kuajiriwa kwa sababu hawana elimu hiyo ni shauri yako.
 
iwapo una haja ya kuwepo eneo.sheria ni .ukae mita 200 kutoka eneo la upigaji kura.
 
Tanzania ya viwanda ni lazima iwe na wahanga wake, hakuna rais mwenye kuweza kumfurahisha kila mtanzania, hayupo na hatakuwepo.

Maendeleo yana gharama zake popote pale duniani. Samia anaifungua nchi sasa ikiwa watoto au jamaa zako hawawezi kuajiriwa kwa sababu hawana elimu hiyo ni shauri yako.
Miradi kukamilika hyo sahau

Ova
 
Tanzania ya viwanda ni lazima iwe na wahanga wake, hakuna rais mwenye kuweza kumfurahisha kila mtanzania, hayupo na hatakuwepo.

Maendeleo yana gharama zake popote pale duniani. Samia anaifungua nchi sasa ikiwa watoto au jamaa zako hawawezi kuajiriwa kwa sababu hawana elimu hiyo ni shauri yako.
Wimbo ni ule ule, kama zile santuri za zamamani inapo kwama na kurudia rudia sehemu moja. Hii ni kwa sababu huna uwezo wa kueleza jambo ukaeleweka; kama alivyo Samia mwenyewe. Sijui mmefunzwa shule zipi nyinyi!

Tazama kwa mfano huo mstari wa kwanza. WaTanzania mnawafanya "wahanga" ndani ya nchi yao? Nyinyi mnaweza kuwa na kiburi hicho kweli; kwamba waTanzania wakubali kuwa wahanga wa uchafu wenu? Sasa uhuru tuliutafuta wa kazi gani? Nyinyi na hao wajomba zenu mnadhani mtaturudisha tena kwenye hali ya ukoloni mkitegemea tutakubali tu kama ilivyo kuwa enzi zile?
 
Nayeye asiende kulala kanisani akisema amefunga novena wengine hakuna connection ya kalala kanisani
 
Wimbo ni ule ule, kama zile santuri za zamamani inapo kwama na kurudia rudia sehemu moja. Hii ni kwa sababu huna uwezo wa kueleza jambo ukaeleweka; kama alivyo Samia mwenyewe. Sijui mmefunzwa shule zipi nyinyi!

Tazama kwa mfano huo mstari wa kwanza. WaTanzania mnawafanya "wahanga" ndani ya nchi yao? Nyinyi mnaweza kuwa na kiburi hicho kweli; kwamba waTanzania wakubali kuwa wahanga wa uchafu wenu? Sasa uhuru tuliutafuta wa kazi gani? Nyinyi na hao wajomba zenu mnadhani mtaturudisha tena kwenye hali ya ukoloni mkitegemea tutakubali tu kama ilivyo kuwa enzi zile?
Kuelezea kuna maana gani ikiwa Samia anaweza kutenda na anachokifanya kikaonekana?

Mnalia nyinyi humu jamvini wakati wananchi wanaguswa maisha yao ya kila siku.

Ongezeko la kodi nadhani unalifahamu kwa maana ya faida zake kwa miradi mingi inayoendeshwa na serikali.

Ujenzi wa viwanda vingi katika awamu ya tano na ya sita unagusa ajira za vijana wengi wenye vyeti mbalimbali waliotapakaa nchi nzima.
 
Kuelezea kuna maana gani ikiwa Samia anaweza kutenda na anachokifanya kikaonekana?
Anacho kifanya Samia toka alipoingia kuchukua nafasi ya kurithi kinajulikana na kila mtu. Kuwapeleka waTanzania kwenye utwana. Hii kazi kapania sana kuikamilisha haraka iwezekanavyo kama atafanikiwa kulazimisha kubaki madarakani.
Hofu yangu kubwa ni kama ataachwa aendeleze ujinga huo.

Na kama bado hujui anako tupeleka Samia, baada ya kuona hali ya uchafu unaofanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kama kielelezo kidogo tu cha awali, wewe utakuwa umewekeza pakubwa sana na huyu mwanamke.

Samia atatuweka kwenye matatizo makubwa.
 
Anacho kifanya Samia toka alipoingia kuchukua nafasi ya kurithi kinajulikana na kila mtu. Kuwapeleka waTanzania kwenye utwana. Hii kazi kapania sana kuikamilisha haraka iwezekanavyo kama atafanikiwa kulazimisha kubaki madarakani.
Hofu yangu kubwa ni kama ataachwa aendeleze ujinga huo.

Na kama bado hujui anako tupeleka Samia, baada ya kuona hali ya uchafu unaofanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, kama kielelezo kidogo tu cha awali, wewe utakuwa umewekeza pakubwa sana na huyu mwanamke.

Samia atatuweka kwenye matatizo makubwa.
Matatizo yapo kwenye hisia zako zaidi hayapo kwenye uhalisia wa wapi Tanzania ilipo na inapokwenda.
 
Back
Top Bottom