Aiseee!Matatizo yapo kwenye hisia zako zaidi hayapo kwenye uhalisia wa wapi Tanzania ilipo na inapokwenda.
Basi sawa. Hakuna matatizo.
Huna tofauti yoyote na Tlaatlaah, na wengineo. Sasa nawe nakuchukulia kama "mfu/marehemu"; kwani hakuna kinacho wastua tena katika yanayo tokea ndani ya nchi yetu
Lakini najuwa sababu inayo wafanya muwe wafu kiasi hiki.
Ngoja tuone itakuwaje!