Wanaodai Kuna ubovu wa mfumo ni wale waliokataliwa na Wananchi kwenye kura Sasa wanatafuta kuingilia mlango wa nyuma au dirishani π€£π€£Mnyika Yuko sahihi, hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki hizi chaguzi za kitoto. Ns sababu haswa ya watu kutokujitokeza kwenye uchaguzi, ni kwa sababu hizo chaguzi zimekuwa za kiyawani. Inshort hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Wanaojivunia chaguzi hizi, ni wanaofaidika na ubovu wa mfumo wenyewe. Machafuko, au mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Ni mtu mjinga tu, ataendelea kushiriki kwenye uchaguzi ambazo matokeo hayaendani na ukweli wa kwenye box la kura.
Lucas mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable KARLO MWILAPWA
Zile chaguzi za kihayawani wananchi wanatokea wapi? Ama mnadhani sisi ni vipofu hatuoni kinachofanyika kwenye chaguzi zetu? Ama mnadhani hizo mbinu mlizokuwa mnatumia kuhadaa umma miaka yote Bado zifanya kazi hata Sasa?Wanaodai Kuna ubovu wa mfumo ni wale waliokataliwa na Wananchi kwenye kura Sasa wanatafuta kuingilia mlango wa nyuma au dirishani π€£π€£
Just imagine wewe na mnyika mkipatanachotafuta Mimi na familia yangu mtaniongezea ugali mezani? Acheni ujinga basi
Nyie ni vipofu ndio,zingekuwa za kihayawani si Wananchi wangeandamana ? ππZile chaguzi za kihayawani wananchi wanatokea wapi? Ama mnadhani sisi ni vipofu hatuoni kinachofanyika kwenye chaguzi zetu? Ama mnadhani hizo mbinu mlizokuwa mnatumia kuhadaa umma miaka yote Bado zifanya kazi hata Sasa?
Mbona umeme ni janga hawaandamani, nauli zinapanda Kila siku hawaandamani? Au kutokuandamana ndio dalili kuwa kinachifanyika ni kitu sahihi?Nyie ni vipofu ndio,zingekuwa za kihayawani si Wananchi wangeandamana ? ππ
Unalijua Janga?Mbona umeme ni janga hawaandamani, nauli zinapanda Kila siku hawaandamani? Au kutokuandamana ndio dalili kuwa kinachifanyika ni kitu sahihi?
Unauliza au unapigia jibu mstari?Unalijua Janga?
Unalijua Janga?Unauliza au unapigia jibu mstari?