Mnyika: Tulipeleka barua za kufukuzwa uanachama Wabunge mara mbili

Mnyika: Tulipeleka barua za kufukuzwa uanachama Wabunge mara mbili

Mkubwa umekwoti au kurejea kifungu au ibara gani ya katiba ya CHADEMA..?

Au umeandika tu kwa kufuata hisia za kichwa chako..?

A simple logic ya kisheria iko hivi...

Hukumu ya awali ya mahakama hutenguliwa na hukumu inayofuata. Na kwa sababu hii mfungwa hawi huru nje ya gereza unless ameshinda rufaa yake...!

Kwa kesi wa wabunge hawa 19 wa CHADEMA, hukumu yao ktk chama chao iko na inakubalika kisheria. Itafutwa na ushindi wa rufaa yao..

Concern yako nadhani ni watasikilizwa lini, au siyo?

Hiyo it's none of our business. Ni mambo yao. Sisi tutazame sheria na katiba yetu tu. Hao wabunge kama wanaona wanachelewa kusikilizwa ili kujua wanachokiita "hatima ya ubunge wao", wanayo fursa pia ya kisheria kuomba uharaka wa kusikilizwa na chama chao..!

Spika na Naibu wa Spika know this truth exactly. Kinachofanyika ni ubabe tu usio na tija wa uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi kwa makusudi...

Na sisi kama nchi inayoongozwa na katiba na sheria na kukatokea kundi fulani la viongozi kama hawa kina Hayati Magufuli, Ndugai nk kupuuza utaratibu wa kisheria, ujue tunakwenda kuwa nchi ya vurugu tu...!
Ukiona mpinzani anatetewa na Ma CCM know obviously there is something fishy.
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Umemsikia Naibu Spika vizuri? Umesoma hoja ya Mnyika? Huo ndo unapaswa kuwa mjadala, kuwa barua ilimfikia Spika? Fulstop
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Hapo kuna ujanja unafanywa na uongozi wa CHADEMA ili kuwazuga wanachama wao. hivi wewe hujiulizi kama kweli wana nia ya kuwafukuza mbona hawasikilizi hizo rufaa zao? Hao wanawake 19 wamewekwa kwenye suspense makusudi ili waendelee kuwa wabunge. Rufaa itasikilizwa baadae sana siyo hivi karibuni.
 
Umekaririshwa ujinga.
Ngoja nikupe elimu.

Kazi ya ofisi ya bunge ni kupokea taarifa ya Chama na kuifanyia kazi na sio kujipa mamlaka ya kutafsiri katiba za vyama husika.

Mara baada ya hao Covid 19 kuvuliwa uanachama na ofisi ya bunge kutaarifiwa, mara moja ofisi ya bunge ilipaswa kusimamisha ubunge wao until further notice kutoka chama husika au vyombo vingine vya kisheria kama mahakama.
Hivyo Covid 19 wangepaswa kutulia kwanza bila ubunge, warejee kwenye chama chao kugania rufaa zao ili kurejeshewa ubunge wao.

Mantiki ni moja tu, kama hatua za kuvuliwa uanachama wao zilikuwa hazijakamilika ndani ya chama chao, chama chao kisingepaswa kuitaarifu ofisi ya spika wa bunge.

Pili, huwezi kukata rufaa kuvuliwa uanachama wako ikiwa kwanza hujakiri kuupoteza uanachama wako kwa kuhukumiwa. Rufaa ni njia ya kupambana kurejeshewa kile ulichopoteza.

Njia pekee kwa akina mdee na genge lake kuendelea kukaa bungeni huku wakiwa wamevuliwa uanachama wao ingetokana na zuio la kimahakama, na sio takwa la mtu mwingine yoyote.

Hilo nililoliandika ndio limekuwa likifanyika miaka yote toka bunge letu liwepo kabla ya bunge la Ndugai.

Mantiki ni moja tu. Kukata rufaa ni hiari ya muhusika (huwezi kujua ataka rufaa ama la, na pia huwezi kumlazimisha), ni mchakato na halifanani baina ya chama kimoja na kingine. Hivyo bunge halipaswi kufanya kazi kwa kubahatisha na kusubiri hiari ya mhusika.
Ninyi ndio watu ambao mimi husoma post zao nimetulia zina logic na weledi kufanya mtu elewe. Congole hapo
Sasa nieleweshe hivi . Je Mnyika akitumia cheo chake kama Katibu akaandika barua na kutia mhuri kuwa mwanachama fulania amefukuzwa na kupoteza uanachama , aidha ndiye hata mwenyekiti wa chama barua yake itatambuliwa kisheria na kumtaka aliyefukuzwa asitende kama mwanachama hadi atakapopambana kuurejesha?
 
Mkubwa umekwoti au kurejea kifungu au ibara gani ya katiba ya CHADEMA..?

Au umeandika tu kwa kufuata hisia za kichwa chako..?

A simple logic ya kisheria iko hivi...

Hukumu ya awali ya mahakama hutenguliwa na hukumu inayofuata. Na kwa sababu hii mfungwa hawi huru nje ya gereza unless ameshinda rufaa yake...!

Kwa kesi wa wabunge hawa 19 wa CHADEMA, hukumu yao ktk chama chao iko na inakubalika kisheria. Itafutwa na ushindi wa rufaa yao..

Concern yako nadhani ni watasikilizwa lini, au siyo?

Hiyo it's none of our business. Ni mambo yao. Sisi tutazame sheria na katiba yetu tu. Hao wabunge kama wanaona wanachelewa kusikilizwa ili kujua wanachokiita "hatima ya ubunge wao", wanayo fursa pia ya kisheria kuomba uharaka wa kusikilizwa na chama chao..!

Spika na Naibu wa Spika know this truth exactly. Kinachofanyika ni ubabe tu usio na tija wa uvunjivu wa sheria na katiba ya nchi kwa makusudi...

Na sisi kama nchi inayoongozwa na katiba na sheria na kukatokea kundi fulani la viongozi kama hawa kina Hayati Magufuli, Ndugai nk kupuuza utaratibu wa kisheria, ujue tunakwenda kuwa nchi ya vurugu tu...!
Kumbe nyie kwenye chama chenu hamuongozw na Katiba ndiomana mna mfalme billionea
 
Labda walipo ziona walifikiri mna omba kazi za usafi ofisi za bunge.
Ila kna shida kubwa sana bunge la mgogo.
Yaani Kishoa ana kiri kabisa amefukuzwa chama. Betina hataki, anasema yuko bungeni kwa vile ana wakilisha chama.
Hapo hapo spika huwa hawaiti kwa chama chao. Ndugai Mungu ana kuona wewe na Betina wako.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema walieleka barua rasmi kulitaarifu bunge kuhusu kufukuzwa uanachama kwa wabunge 19 walioteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum katika bunge la 12

Mnyika ametoa ushahidi huo leo, baada ya Naibu Spika wa bunge kusema kuwa hawana taarifa ya wabunge kufukuzwa uanachama alipokuwa akisikiliza hoja za mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa

Barua ya kulitaarifu bunge kukoma kwa uanachama wa wabunge wa viti maalumu zilitumwa mara mbili tofauti ikiwa ni Desemba 1, 2020 na Desemba 19, 2020

View attachment 1761800
Walikosea sana ilitakiwa wakati wa kuipeleka hiyo barua wangekodisha live coveragea TV hahaaa au ndio zama za Jiwe!!
 
Sasa itakuwaje.

Hizo posho waziondoe tu kwenye akaunti zao kabla hazijarudi knyume nyume
 
Hapo kuna ujanja unafanywa na uongozi wa CHADEMA ili kuwazuga wanachama wao. hivi wewe hujiulizi kama kweli wana nia ya kuwafukuza mbona hawasikilizi hizo rufaa zao? Hao wanawake 19 wamewekwa kwenye suspense makusudi ili waendelee kuwa wabunge. Rufaa itasikilizwa baadae sana siyo hivi karibuni.
Hujui unachokisema wewe, ulichoandika hapo ni uharo tupu, hao covid 19 mpaka dakika hii si wanachama wa chadema hilo unapaswa uelewe hivyo, kitendo cha wao kukata rufaa si kwamba kimerejesha uanachama wao Sawa. Uanachama utarejeshwa siku rufaa yao ikisikilizwa na wakashinda. Pia kumbuka rufaa yao inaweza kusikilizwa na wasishinde, so nahitimisha kwa kujulisha kuwa hao covid19 wanaendelea kuwa wabunge si kwa ujanja wa mbowe kuchelewa kusikiliza rufaa yao, Bali wanaendelea kuwa wabunge kwa Sababu marehemu dikiteta magufuli na job ndugai walilewa madaraka kupindukia mpaka wakawa wanaendesha nchi bila kufuata katiba na sheria, nazani utakuwa umeelewa.
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Jibu hoja, kwann Naibu spika aseme uongo kwamba hawajapokea barua ya chadema ila hali waliipokea?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Sheria ya vyama siasa muliyoitunga wenyewe na kuifanyia mabadiliko mwaka 2019 inasema,

Ukomo wa mwanachama utakoma kama katiba ya chama husika itazingatiwa

Sasa Mnyika katika Katiba yenu kuna kufukuza wanachama ndiyo lakini hiyo katiba yenu imetoa mwanya kama mwanachama asipokubaliana na maamuzi kukata rufaa ngazi ya juu, na ngazi ya juu ikiridhia uanachama wake utakoma rasmi.

Tusizinguke sana, fanyeni kikao chenu kusikiliza rufaa zao then muitimishe mambo..!! Mbona mnatufanyabkama sie watoto?
Hoja ya Mnyika haipo huko unakokimbilia! Amsema walisha litaarifu Bunge kwa barua kwamba, wabunge 19 wamevuliwa uanachama! Mnyika ametoa kauli hiyo kwa sababu speaker amesema, bunge halina taarifa ya hao wabunge kuvuliwa uanachama! Speaker hajasema kwamba katiba haijazingatiwa, katika kuwavua uanachama!! Kwa hiyo la katiba kufuatwa au kuvunjwa ni hoja tofauti na mada iliyopo hapa!
 
Hujui unachokisema wewe, ulichoandika hapo ni uharo tupu, hao covid 19 mpaka dakika hii si wanachama wa chadema hilo unapaswa uelewe hivyo, kitendo cha wao kukata rufaa si kwamba kimerejesha uanachama wao Sawa. Uanachama utarejeshwa siku rufaa yao ikisikilizwa na wakashinda. Pia kumbuka rufaa yao inaweza kusikilizwa na wasishinde, so nahitimisha kwa kujulisha kuwa hao covid19 wanaendelea kuwa wabunge si kwa ujanja wa mbowe kuchelewa kusikiliza rufaa yao, Bali wanaendelea kuwa wabunge kwa Sababu marehemu dikiteta magufuli na job ndugai walilewa madaraka kupindukia mpaka wakawa wanaendesha nchi bila kufuata katiba na sheria, nazani utakuwa umeelewa.
Pia kuna suala la CUF ambapo wabunge walivuliwa ubunge, pamoja na kukata rufaa kwenye chama na mahakamani, speaker aliwatimua akaapisha wapya fasta fasta!
 
Vita ya shetani na malaika, shetani ni mwongo sana na laghai ila Malaika watashinda dhidi ya shetani
 
Hapo kuna ujanja unafanywa na uongozi wa CHADEMA ili kuwazuga wanachama wao. hivi wewe hujiulizi kama kweli wana nia ya kuwafukuza mbona hawasikilizi hizo rufaa zao? Hao wanawake 19 wamewekwa kwenye suspense makusudi ili waendelee kuwa wabunge. Rufaa itasikilizwa baadae sana siyo hivi karibuni.
Hujui unachokisema wewe, ulichoandika hapo ni uharo tupu, hao covid 19 mpaka dakika hii si wanachama wa chadema hilo unapaswa uelewe hivyo, kitendo cha wao kukata rufaa si kwamba kimerejesha uanachama wao Sawa. Uanachama utarejeshwa siku rufaa yao ikisikilizwa na wakashinda. Pia kumbuka rufaa yao inaweza kusikilizwa na wasishinde, so nahitimisha kwa kujulisha kuwa hao covid19 wanaendelea kuwa wabunge si kwa ujanja wa mbowe kuchelewa kusikiliza rufaa yao, Bali wanaendelea kuwa wabunge kwa Sababu marehemu dikiteta magufuli na job ndugai walilewa madaraka kupindukia mpaka wakawa wanaendesha nchi bila kufuata katiba na sheria, nazani utakuwa umeelewa.
Pia kuna suala la CUF ambapo wabunge walivuliwa ubunge, pamoja na kukata rufaa kwenye chama na mahakamani, speaker aliwatimua akaapisha wapya fasta fasta!
Hiyo ilifanyika sababu bunge lilikuwa mfukoni mwa marehemu dikiteta magufuli yaani mambo ya katiba yaliwekwa kando ikawa bunge linaendeshwa kwa mujibu wa dikiteta na sio sheria tena, mtu si mwenyekiti kavamia chama kafukuza wanachama na spika akapokea barua ya mwenyekiti feki na akaifanyia kazi, lkn barua za uongozi halali anazipokea na hazifanyii kazi na akana kuwa hajazipokea yaani hii nchi ilikuwa inaendeshwa kihuni kabisa bila aibu
 
Kabla kuzungumzia hawa kufukuzwa ubunge (uanachama), hebu tuone uteuzi wao... waliteuliwa na CHADEMA?
 
John Mnyika alipaswa kupeleka barua yeye mwenyewe akiambatana na mpiga picha wa video mpaka getini bungeni.
 
Back
Top Bottom