Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwani si walikata rufaa baraza kuu?!!! Je baraza kuu limekaa lini kuridhia kufukuzwa kwao? Tafadhalini JM zingatieni taratibu.
Ili ifahamike kama unajua unaloliongea na sio kudandia mambo, ni wangapi wamekata rufaa na wangapi hawajakata?