Mnyika: Tulipeleka barua za kufukuzwa uanachama Wabunge mara mbili

Kwani si walikata rufaa baraza kuu?!!! Je baraza kuu limekaa lini kuridhia kufukuzwa kwao? Tafadhalini JM zingatieni taratibu.

Ili ifahamike kama unajua unaloliongea na sio kudandia mambo, ni wangapi wamekata rufaa na wangapi hawajakata?
 
Kuna kamchezo hebu mnyika aweke hadharani barua alizoandikia bunge. Kama bunge walipata hizo barua kwa nini naibu spika kwa mara ya kwanza ndio amekanusha kupokea barua yoyote toka chadema?
 
Hivi humu JF chooni ni wapi? Kuna mijitu inakomenti kwa kudemka mpaka tumbo linavuruga. Mataga bwana.
 
Chadema hawaukubali uchaguzi wa 2020, sasa huyo spika waliomuandikia ni spika wa kenwood au panasonic. Maana spika kapatikana kwa uchaguzi wanaoukataa
 
Hivi mtu akishitakiwa kwa wizi rufaa yake inasikilizwa akiwa huru au akiwa Lumande ?Kisheria Covid-19 hawakutakiwa kuwepo mbungeni mpaka rufaa yao isikilizwe.Je ikitokea wameshindwa pesa walizochukua watazirudisha? Ndugai katumia ubabe wa kijinga na bahati mbaya aliyekuwa anamuagiza kufanya huo upuuzi hayupo tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…