Pre GE2025 Mnyika: Tumealikwa Kwenye Kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa lakini hatujapewa Rasimu, Wanachama tunaomba Ushauri wenu!

Pre GE2025 Mnyika: Tumealikwa Kwenye Kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa lakini hatujapewa Rasimu, Wanachama tunaomba Ushauri wenu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni watu wengi sana wanasema wasishiriki uchaguzi lakini kutoshiriki watakuwa wanampa CCM advantage kubwa sana na unaweza kuwa ndiyo mwisho wa CHADEMA. CCM anasurubiri kwa hamu mno wasusie ili aweke vyama bandia bungeni. Najua ni kweli kuwa kwa katiba hii CCM itapora tena ushindi lakini huwezi kujua... wananchi wanaweza kusema liwalo na liwe.
Bahati nzuri nimebahatika kuwa karibu na very reliable sources of information kutoka kwa power corridors.... Samia na watu wake walikua na matumaini kwamba CHADEMA haitashiriki uchaguzi bila katiba mpya so wakawa wanaandaa mkakati wa kuwakabili wakikinukisha baada ya kususia chaguzi na hizi porojo za msishiriki uchaguzi haziji kwa bahati mbaya...

Nimearifiwa Samia amechangnyikiwa sana na comeback ya Lissu juu ya kuhamasisha watu kujiandaa na uchaguzi na hali ilivyo mtaani inajulikana ndani na nje ya CCM huyu mama ana kibarua kizito mnooo....

Kauli za chadema za kujiandaa na chaguzi zumepeleka sleepless nights huko kizimkazi kuliko watu wanavyodhani.
 
Mtaikuta hukohuko gb18 haiwezi tumwa kwa email, mwende na flash baada ya pesentation mnyonye
 
Bahati nzuri nimebahatika kuwa karibu na very reliable sources of information kutoka kwa power corridors.... Samia na watu wake walikua na matumaini kwamba CHADEMA haitashiriki uchaguzi bila katiba mpya so wakawa wanaandaa mkakati wa kuwakabili wakikinukisha baada ya kususia chaguzi na hizi porojo za msishiriki uchaguzi haziji kwa bahati mbaya...

Nimearifiwa Samia amechangnyikiwa sana na comeback ya Lissu juu ya kuhamasisha watu kujiandaa na uchaguzi na hali ilivyo mtaani inajulikana ndani na nje ya CCM huyu mama ana kibarua kizito mnooo....

Kauli za chadema za kujiandaa na chaguzi zumepeleka sleepless nights huko kizimkazi kuliko watu wanavyodhani.
Relux mbowe atatangaza hamna kushiriki na ukisaliti chama nje
 
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15

Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?

Ayo tv
Unapoona hivyo unajuwa wazi kwamba CCM wanaendelea na mipango ya kuvuruga hizo chaguzi.

Hakuna la ziada bali kuanza kuwakabili kungali mapema.

Ushauri wangu ni huu:
CHADEMA nendeni kwenye kikao hicho. Tazameni mipango inayotengenezwa kuharibu uchaguzi. Kuweni makini sana kuelewa kinachotengenezwa na vikao hivyo.
Mkisha elewa, nendeni kwa wananchi, waelezeni kila kitu; na muwasihi wananchi wasikubali kuvurugiwa kura zao.

Wananchi pekee ndio wenye uwezo wa kuwapa adabu hawa washenzi CCM. Wakielewa vyema mipango inayofanywa kuharibu chaguzi, wananchi wenyewe watahakikisha haakuna anayevuruga chaguzi hizo..

Lakini ni lazima wananchi wawe na ufahamu mzuri. Elimu hiyo, ni jukumu lenu CHADEMA, kuwafikishia wananchi.
 
Ndoto ya mchana 🐼😄
Nacheka usoni, huku moyoni nikilia.

Hata mimi siyapendi hayo, lakini ikilazimu, yatakuja tu yenyewe. Sasa tufanyeje na hawa akina Omar Bongo wetu hapa!

Hizi haziwezi kuwa ndoto tena. Tutayakaribisha kwa nderemo, ikilazimu.
 
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15

Viongozi wanaomba ushauri wa wanachama katika Mazingira hayo wafanye nini?

Ayo tv
Wawapishe viongozi wengine wanaoweza kufikiri na kuamua Kwa niaba yetu.

Mbona kwenye matumizi ya Ruzuku huwa hawatuombi ushauri?
 
Huo umwagaji wa damu kwa wapinzani uko chaguzi nyingi, ila kwakuwa ww unafaidika na huo uhayawani huwa unaona sawa tu.
Nafaidika na nini ?
Wapi nimefaidika ?
Wapi uliona nafaidika na umwagaji damu ?

Kwahiyo mnataka kumwaga damu ili mfaidike?
 
Back
Top Bottom