Ccm inakubalika na wajinga kuliko na wenye akili zao.Asimame nani au nani kwa sasa hivi chadema ni takataka tu,kimabaki chama cha mitandaoni tu hasa hapa JF huko uraiani ni Magufuli kwa kwenda mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm inakubalika na wajinga kuliko na wenye akili zao.Asimame nani au nani kwa sasa hivi chadema ni takataka tu,kimabaki chama cha mitandaoni tu hasa hapa JF huko uraiani ni Magufuli kwa kwenda mbele
Usifananishe unabii na takatakaMtu huyo ni yule NABII na mzalendo wa kweli TUNDU ANTIPAS LISSU
Hivi huwa kuna maombi ya kumuombea mtu akafa?
Ukweli mtupu !Kwa Tundu Lissu ccm lazima wakae. Miaka 5 mliyotumia kufanya kampeni inafutwa ndani ya siku 7 tu.
Machine inarudi, siasa halisi zinaanza muda sio mrefu
mkuu habari za GeitaAsimame nani au nani kwa sasa hivi chadema ni takataka tu,kimabaki chama cha mitandaoni tu hasa hapa JF huko uraiani ni Magufuli kwa kwenda mbele
Acha utani na MUNGU,aibariki kwalipi kwa mfano?[emoji23]Mungu ibariki Chadema
Mnyika ni kidagaa tu hapo chadema! Wenye chama chao wanamuangalia na kucheka bora angekaa kimya tu.
Yani hajifunzi hata kwa yaliyopita.
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Umemsahau membe,amwshawapa sharti la kuungana ili wampitishe kuwa mgombea
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Maumivu ya kichwa huanza taratiiiiibu kisha akili inaruka!Asimame nani au nani kwa sasa hivi chadema ni takataka tu,kimabaki chama cha mitandaoni tu hasa hapa JF huko uraiani ni Magufuli kwa kwenda mbele
MBOWE anagombea uraisi na ubunge at the same time?Watatumia kigezo gani kumpata anayekubalika ( LISSU VS MBOWE )?