Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni: Katika Mgomo wa wafanyabiashara, kosa la Mwigulu Nchemba ni lipi?

point namba 2, nakubaliana nayo 100% kuhusu viwango ilo wataalamu wakae waone wanafanyaje , ila kusema iende kwenye diesel si sawa maana kuna watu wanatumia diesel na si walengwa wa hiyo kodi
 
Kuna sababu nyingi sana za kulaumiwa Mwigulu.

Wafanya biadhara mbona walisema moja wspo na ya msingi pale pale mkutanoni. Hujaisikia?

Nionavyo mimi ibinafsi, Mwigulu ana kiburi sana, amelewa madaraka.
 

Sio kweli acha uongo Hakuna jipya lililoletwa na Mwigulu sheria za kodi zinatungwa na kupitishwa na bunge
 
Akome kujidai anatumia maneno ya shombo.

Binafsi bila nimefurahi sana walivyomchamba.
Jamaa walikuwa hawapepesi maneno,,wanalemgesha mule mule[emoji1787][emoji1787]
Eti dokta wa wapi wewe Mwigulu [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mfanyabiashara gani anaakili kama lile limama akili zimejaa mavi tu
 
Nimesikiliza hoja za wafanyabiashara akiwemo huyo Fredy vunja bei,kwa kweli hoja zao hazina mashiko hata kidogo labda ile ya kutaka kila mfanyabishara kufanya clearance ya mzigo bandarini.

Hoja zingine zote hazina kichwa wala miguu,ni kutaka kuhalalisha faida kubwa tu.

Bila aibu hivi mfanyabishara gani awe na mtaji chini ya 5M halafu umiliki frame Kariakoo,huku sote tunajua frame ndogo tu Karikaoo kodi kwa mwezi sio chini ya 800K.
Wafanyabiashara wengi ni makanjanja wasio lipa kodi stahiki za Serikali wakishirikiana na wezi wa TRA.
 
Kama kawaida habibu mchange ushaanza uchawa wako wa siku zote
 
Madilu na PhD yake wafanyabiashara wamemwacha mbali kiufikiri, I think hizi wizara sijui uchumi, au biashara wawe wanateuliwa watu walio wazoefu na hizo biashara kuliko kuteua watu walio cremisha madesa na hawajui Hali halisi

Kweli akili yako ndogo watu wanapiga magoti awasaidie unasema amewaacha mbali yaani sheria zilipita bungeni ambako kuna wafanyabiashara na walizipitisha utasemaje wamemzidi akili
 
mi nachoelewa waziri yupo chini ya Raisi, nani wa kumshambulia raisi kama alivoshambuliwa mwigulu hilo ni jambo jingine.. mfano waziri mkuu kapata sifa kemkem kwa baadhi ya watu ila si ndo huyu mzee wa kuunda kamati na mwishoe kamati imeundwa
 
Ns majibu yake anayowaambia watu hamia Burundi

Leo Cha moto amekiona[emoji1787]
Nimefurahi hadi nikapiga makofi.

Ungekua na akili ungesikitika kwa sababu walikua wanachamba hawaelezi wanataka nini kifanyike akili zenu Sawa tu wakinga wengi hamna akili shule kichwani tee
 
Unaweza kuthibitisha haya madai Yako?

Hayo unayiyasema TRA wameanza kuyafanya Waziri akiwa Mwigulu?

Lini hao Wafanyabiashara wamesema waliomba kikao na Waziri akafanga dharau? Au wewe Kwa shida zako binafsi ndio unasema hayo?

Muongo Muongo hana hoja
 
Hauijui historia kijana, ngoja nikuache ukiendelea kukaza fuvu.
Huyu Ramadhan Ntuzwe issue yake ilitokea around six years back kabla haujajiunga Jf

Sasa six years back Waziri wa fedha alikua Mwigulu Nchemba utawala wa nani huo kama sio ndugu yenu mfilisi watu
 
Ila nimependa wamemnanga sana kwa maneno ya kejeli maana yeye huwa anajidai bingwa wa maneno ya kukararisha.

Kuna mwamba anasema,unajitia Dokta,Dokta wa wapi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wafanya Biashara yule kweli mwamba.
 
Sheria alizozikuta ambazo ni kero anaziacha ziendelee kuumiza ili nani aje kuziondoa.

Safari inaishia njiani anashuka kituo kinachofuata.

Mwigulu amesababisha mgomo wa kwanza wa wafanyabiashara nchini.
 
Uliza hilo swali tukujibu.

Mkuu it is a time Mwigulu kushuka kituo kinachofuata.

Dereva anamuona ni asset lakini ndiye mchomoa nati kwenye tairi za gari
 
Hakuna mfanya biashara anayeweza kuandika upuuzi ulioandika! Mtetee Bwana'ko ila usijivike ufanyabiashara.
Wewe unafanya biashara gani na ipo maeneo gani mkuu.
Embu eleza kosa la huyo Bwana ndugu mtaalamu.
 
Sheria alizozikuta ambazo ni kero anaziacha ziendelee kuumiza ili nani aje kuziondoa.

Safari inaishia njiani anashuka kituo kinachofuata.

Mwigulu amesababisha mgomo wa kwanza wa wafanyabiashara nchini.
Mkuu heshima kwako.

Kwahiyo tunakubaliana tatizo halikuanzia kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…