Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni: Rais Magufuli yupo well-informed na fiti sana kichwani kwa kumbukumbu. Ana data hadi za majungu hatarishi ya ndoa!

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni: Rais Magufuli yupo well-informed na fiti sana kichwani kwa kumbukumbu. Ana data hadi za majungu hatarishi ya ndoa!

Pascal Mayalla,
Siyo kwamba Magufuli yuko fit kichwani ila mimi namuona ni wa kawaida tu. Alichonacho ni hobby ya kukariri vitu visivyo na msingi kama yule mwanchi wa mkoa a Njombe anayejua idadi ya punje za mahindi kwenye debe.

Nimemsikia mara nyingi kuanzia akiwa Waziri aktamka takwimu za barabara zilizokamilika au idadi ya samaki kwenye ziwa. Hizo data whether you know or you dont know they dont add value at the end of the day. After all hamna mtu atakayekwenda kuthibitisha wher kweli ziwani kuna samaki wangapi. Kuna mambo ya msingi ambayo Rais yalipaswa kuwa kwenye finger tip lakini bahati mbaya hajayapa kipaumbele.

Alipaswa ajue athari za mabadiliko ya tabia nchi yanavyo athiri supply ya umeme wa hydro . Angejuwa hili asingetupelekesha kukata pori la Selous ili kupisha ujenzi wa umeme wa Stigler's Gorge. Tayari maji yapatayo 36% yaliyokuwapo wakati feasibility study ya umeme wa stiglers Gorge iliyofanywa mwaka 1978-80 hayapo kwa sasa. Alipaswa kujua mzigo wa Rwanda kuwa hauzidi Tani 800,000 kwa mwaka hivyo kuelekeza SGR kule hakuna tija kiuchumi.

Angekuwa anajua takwimu hizo ningemuona wa maana, lakini yeye amekariri za kwenye vijarida vya akina Shigongo au za kwenye kurasa za Instagram za wasanii.
 
Pascal Mayalla,
Shikamoo Kaka. Ukiamuaga kufunguka huwa unafunguka kwelikweli. Kwanini usirejee kwenye ile misingi yako? Rejea kipindi chako pendwa cha KITIMOTO haijawahi kwa maoni yangu kuwepo nakipindi kizuri kama hiki cha mahojiano kwenye Luninga. We need you brother. Tuachane na Mayala kwetu sisi ni Njaaa.
 
Brother, rejea jibu ulilopewa kipindi unauliza Ikulu wakati ule.

Kwa kifupi Serikali ndio mhimili mkuu maana Rais anaingia pande zote bunge na mahakama ndio mwenyeuwezo wa kuingilia shughuli za mihimili hiyo mingine licha ya watu kutokujua.

Wacha Serikali ijipe raha.

Karibu.
 
Tangia awamu ya nne imeingia,hakuna kitu kinaitwq utaratibu.Kila mwenye mamlaka anafanya yale yanayompendeza yeye ambayo hayataathiri Jiwe la magogoni.

Ni makosa makubwa kuvunja kipindi kisha kwenda kwenye kitu kingine hata kama ni ikulu live kwa sababu ratiba ya siku inapaswa iwe imepangwa mapema.Haya mambo ya kushtukiza ndio maana kunakuwa na underperformance, wangekuwa wanaiga SABC hawa kwa Africa wana ubora mkubwa katika vipindi vyao. Sisi tunaiga mambo ya kijinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magu ni awamu ya 5!
Labda kama ulikusudia awamu ya JK!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom