boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Amesemaje kuhusu tamko la Marekani?
😃😃😃😃....yaani anashindwa kufuatilia mambo yanayo lihusu taifa ..anafuatilia ndoa za wateuzi wakeDuu kwa una maana ndio kazi ya Rais hiyo
Sent from my iPhone using Tapatalk
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]....yaani anashindwa kufuatilia mambo yanayo lihusu taifa ..anafuatilia ndoa za wateuzi wake
Kuna mtu fulani anaweza akawa mzuri sana katika eneo fulani na akafanya vizuri kweli lakini ukimtoa ukampeleka sehemu nyingine ukitarajia atakuwa bora zaidi kama ulikomtoa akashindwa na akakuangusha, ndio iko hivyo katika maisha hasa ya utumishi.Rais mwenye data za namna hii huwezi kumdanganya kitu! Swali linakuja kama rais yuko well Informed kiasi hiki na kuna viongozi anawafahamu vizuri hivi na ana data hivi kuhusu wateule wake, sasa inakuaje katika baadhi ya maeneo kunatokea pangua pangua za muda mfupi is as if sometimes huwa anafanya kama guess work mfano CG wa TRA?
Au inakuwaje kwa hawa watendaji wake ambao wanafanya madudu hadi sasa Wamarekani ndio wanakuja kusaidia kuonyeshea madudu ya baadhi wateule wake? Au wateule hao hizo tuhuma walituhumiwa nazo walitumwa hivyo walikuwa wanatimiza wajibu kwa kupokea amri halali na kuzitekeleza?
[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]MSINGI WA MADA
Jr[emoji769]
Usijali mkuu ..so long as kile kiti cha msemaji wa serikali bado hakijajazwa na si vyema kwa PM pia kuwa msemaji wa serikali....basi you are still the best candidate for that post hata zaidi ya aliyekuwa amekikalia...Bwana Akujalie kiti hicho kisikupite.Wanabodi,
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka na data za mmoja mmoja kwa kutaja sifa zake huku akishusha hadi taarifa za majungu wanazopigwa baadhi ya watendaji wake wazuri, na kwa upande wa watendaji wanawake, rais Magufuli ana data hadi za majungu ya kutaka kuwahatarishia ndoa zao.
Anajua umri wao, anajua elimu zao hadi za watoto wao; hadi anawajua waume zao na kuwapongeza kuwa wake zao ni wachapa kazi waadilifu hivyo wanapigwa vita na majungu, na majungu mengine ni majungu hatarishi kwa ndoa zaa, hivyo amewapongeza hadi waume zao kwa kuwa ni watu wenye misimamo wasiosikiliza majungu hivyo ndoa hizo zimesimama.
Rais mwenye data za namna hii huwezi kumdanganya kitu. Swali linakuja: Kama rais yuko well-informed kiasi hiki na kuna viongozi anawafahamu vizuri hivi na ana data hivi kuhusu wateule wake, sasa inakuwaje katika baadhi ya maeneo kunatokea pangua pangua za muda mfupi as if sometimes huwa anafanya kama guess work mfano CG wa TRA?
Au inakuwaje kwa hawa baadhi ya watendaji wake ambao wanafanya madudu ya ajabu ajabu, lakini rais hapelekewi data hadi sasa Wamarekani ndiyo wanakuja kusaidia kuoneshea madudu ya baadhi wateule wake?!. Au wateule hao hizo tuhuma walituhumiwa na hao Wamarekani ni tuhuma za uongo tuu ndio maana tumezipuuza au kama tuhuma hizo ni kweli, ili serikali kuonyeshea is not part of it, ilibidi by now, iwe tayari imeisha ji distance nazo, inawezekana ukimya huu ni uthibitisho kuwa mtuhumiwa alitumwa hivyo alikuwa anatimiza wajibu wake baada ya kupokea amri halali na yeye kuzitekeleza?!.
By the way, pia naomba kutoa kero za kukatizwa kwa matangazo ya maana mhimili mmoja wa Bunge na kuletewa live za Ikulu kuingilia matangazo ya mihimili mingine!.
Nimefanya kazi RTD na TBC, hivyo nafahamu umuhimu wa kukatisha matangazo yoyote ya kawaida ili kuleta matangazo yoyote ya live ya tukio muhimu zaidi. Hivyo, TBC ipo huru kukatisha matangazo yake ya kawaida wakati wowote na kutuletea matangazo ya live za Ikulu ila katika kufanya hivyo, it's not fair kukatisha live muhimu za Bunge ambazo ni scheduled program ya kipindi cha Maswali na Majibu, ndiocho kipindi pekee, wabunge wetu ambao ni wawakilishi wetu sisi wananchi, wanauliza maswali tuliowatuma, halafu kutupeleka Ikulu kutuosha tukio ambalo sio la dharura na less significant la kuapishwa kwa viongozi wapya.
Usawa wa mihimili Uko Wapi?, au Kila Event ya Mhimili uliojichimbia chini zaidi ni Muhimu Kuliko Events za Mihimili Migine?.
Mihimili mitatu ya Dola, Serikali, Bunge na Mahakama, in principle inapaswa kuwa sawa, iheshimiane na kustahimiliana. Sasa kunapotokea mihimili yote hii mitatu inaendesha matukio yanayostahili kutangazwa live na TBC, ratiba za matukio hayo zipangwe ili hii mihimili iheshimiane. Kitendo cha kukatishwa kwa matangazo ya mhimili mmoja wa Bunge live, kwa ajili ya kuletewa matangazo ya live ya Mhimili mwingine wa serikali pale Ikulu si sawa na si haki hata kama muhimili mmoja umejichimbia zaidi lakini heshima ya mihimili ibaki pale pale!.
Nini muhimu kati ya live ya Bunge na live ya Ikulu?
Umuhimu wa tukio lolote unapimwa kwa significance, ukubwa na udharura.
Kila mtu anajua kuwa wakati wa kipindi cha vikao vya Bunge, TBC inafanya live ya dakika 60 ya kipindi cha maswali na majibu. Kwa vile Bunge ni Mhimili, wapanga ratiba wa shughuli za rais, wanapaswa kuliheshimu Bunge, hivyo kukitokea shughuli za rais zinazohitaji kutangazwa live kipindi cha Bunge, then Bunge lingepaswa kuheshimiwa, shughuli za rais zipangwe kuanza saa 4:00 asubuhi ili tusi disrupt matangazo ya Bunge live.
Japo Rais ndie mtu mkubwa kuliko wote, tukio la kuapisha viongozi wapi siyo tukio muhimu kivile ku-justify kukatika Bunge live ambalo ni la wananchi, kutuletea matangazo ya Ikulu ya mtu mmoja na wateule wake!
It is as if live za Bunge ambazo ziko scheduled zinatangazwa kwa hisani tu; likitokea lolote Ikulu, no matter tukio la Ikulu ni insignificant kiasi gani, matangazo ya Bunge yanakatishwa tunapelekwa Ikulu. Kama wapanga ratiba wa Ikulu wangepanga live ya Ikulu ianze saa 4:00 baada ya live ya Bunge, what does Ikulu stand to lose kwa kuanza saa 4:00?, unless watu kuapishwa nayo ni dharura!.
Najua ni kweli Ikulu ni muhimu, ila kiukweli kilichokuwa kinachofanyika ikulu ukilinganisha na kilichokuwa kinafanyika Bungeni, kile cha bungeni ni muhimu zaidi. Ikulu pia inawajibu wa kuliheshimu Bunge.
Hata hivyo hongera TBC kutuletea matangazo ya live ya ajali ya Walokole Moshi ambayo hii sasa ni live ya dharura kweli.
Nawatakia Jumatatu Njema.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wana maneno
Sent from my iPhone using Tapatalk
Are sure? Au unamtania !Mleta mada haelewi maana ya "vetting".
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Lakini hawajamfuatilia raisi wa Tanzania na hakuna maali alipomtaja Raisi.Si tu deal with RC .Pascal with all due respect,hii slogan ya mnyonge mnyongeni,ila haki yake mpeni,hai-apply kwa Magufuli na haimfai,because he is an extremely tough and good president.Pascal ukiona Rais ameingia kwenye msuguano na Wamarekani ujue he is a good president and is for his people.Wamarekani wakikupenda ujue wanakuibia na wewe ni poyoyo.
Wanabodi,
Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni, Rais Magufuli, kwanza yuko well informed kwa upande wa data za utendaji wa wateule wake wote! kichwani yuko fiti sana katika utunzaji wa kumbukumbu kutoka kichwani, leo katika kuwaapisha viongozi wapya aliowateua hivi karibuni, alikuwa anatiririka na data za mmoja mmoja kwa kutaja sifa zake huku akishusha hadi taarifa za majungu wanazopigwa baadhi ya watendaji wake wazuri, na kwa upande wa watendaji wanawake, rais Magufuli ana data hadi za majungu ya kutaka kuwahatarishia ndoa zao.
Anajua umri wao, anajua elimu zao hadi za watoto wao; hadi anawajua waume zao na kuwapongeza kuwa wake zao ni wachapa kazi waadilifu hivyo wanapigwa vita na majungu, na majungu mengine ni majungu hatarishi kwa ndoa zaa, hivyo amewapongeza hadi waume zao kwa kuwa ni watu wenye misimamo wasiosikiliza majungu hivyo ndoa hizo zimesimama.
Rais mwenye data za namna hii huwezi kumdanganya kitu. Swali linakuja: Kama rais yuko well-informed kiasi hiki na kuna viongozi anawafahamu vizuri hivi na ana data hivi kuhusu wateule wake, sasa inakuwaje katika baadhi ya maeneo kunatokea pangua pangua za muda mfupi as if sometimes huwa anafanya kama guess work mfano CG wa TRA?
Au inakuwaje kwa hawa baadhi ya watendaji wake ambao wanafanya madudu ya ajabu ajabu, lakini rais hapelekewi data hadi sasa Wamarekani ndiyo wanakuja kusaidia kuoneshea madudu ya baadhi wateule wake?!. Au wateule hao hizo tuhuma walituhumiwa na hao Wamarekani ni tuhuma za uongo tuu ndio maana tumezipuuza au kama tuhuma hizo ni kweli, ili serikali kuonyeshea is not part of it, ilibidi by now, iwe tayari imeisha ji distance nazo, inawezekana ukimya huu ni uthibitisho kuwa mtuhumiwa alitumwa hivyo alikuwa anatimiza wajibu wake baada ya kupokea amri halali na yeye kuzitekeleza?!.
By the way, pia naomba kutoa kero za kukatizwa kwa matangazo ya maana mhimili mmoja wa Bunge na kuletewa live za Ikulu kuingilia matangazo ya mihimili mingine!.
Nimefanya kazi RTD na TBC, hivyo nafahamu umuhimu wa kukatisha matangazo yoyote ya kawaida ili kuleta matangazo yoyote ya live ya tukio muhimu zaidi. Hivyo, TBC ipo huru kukatisha matangazo yake ya kawaida wakati wowote na kutuletea matangazo ya live za Ikulu ila katika kufanya hivyo, it's not fair kukatisha live muhimu za Bunge ambazo ni scheduled program ya kipindi cha Maswali na Majibu, ndiocho kipindi pekee, wabunge wetu ambao ni wawakilishi wetu sisi wananchi, wanauliza maswali tuliowatuma, halafu kutupeleka Ikulu kutuosha tukio ambalo sio la dharura na less significant la kuapishwa kwa viongozi wapya.
Usawa wa mihimili Uko Wapi?, au Kila Event ya Mhimili uliojichimbia chini zaidi ni Muhimu Kuliko Events za Mihimili Migine?.
Mihimili mitatu ya Dola, Serikali, Bunge na Mahakama, in principle inapaswa kuwa sawa, iheshimiane na kustahimiliana. Sasa kunapotokea mihimili yote hii mitatu inaendesha matukio yanayostahili kutangazwa live na TBC, ratiba za matukio hayo zipangwe ili hii mihimili iheshimiane. Kitendo cha kukatishwa kwa matangazo ya mhimili mmoja wa Bunge live, kwa ajili ya kuletewa matangazo ya live ya Mhimili mwingine wa serikali pale Ikulu si sawa na si haki hata kama muhimili mmoja umejichimbia zaidi lakini heshima ya mihimili ibaki pale pale!.
Nini muhimu kati ya live ya Bunge na live ya Ikulu?
Umuhimu wa tukio lolote unapimwa kwa significance, ukubwa na udharura.
Kila mtu anajua kuwa wakati wa kipindi cha vikao vya Bunge, TBC inafanya live ya dakika 60 ya kipindi cha maswali na majibu. Kwa vile Bunge ni Mhimili, wapanga ratiba wa shughuli za rais, wanapaswa kuliheshimu Bunge, hivyo kukitokea shughuli za rais zinazohitaji kutangazwa live kipindi cha Bunge, then Bunge lingepaswa kuheshimiwa, shughuli za rais zipangwe kuanza saa 4:00 asubuhi ili tusi disrupt matangazo ya Bunge live.
Japo Rais ndie mtu mkubwa kuliko wote, tukio la kuapisha viongozi wapi siyo tukio muhimu kivile ku-justify kukatika Bunge live ambalo ni la wananchi, kutuletea matangazo ya Ikulu ya mtu mmoja na wateule wake!
It is as if live za Bunge ambazo ziko scheduled zinatangazwa kwa hisani tu; likitokea lolote Ikulu, no matter tukio la Ikulu ni insignificant kiasi gani, matangazo ya Bunge yanakatishwa tunapelekwa Ikulu. Kama wapanga ratiba wa Ikulu wangepanga live ya Ikulu ianze saa 4:00 baada ya live ya Bunge, what does Ikulu stand to lose kwa kuanza saa 4:00?, unless watu kuapishwa nayo ni dharura!.
Najua ni kweli Ikulu ni muhimu, ila kiukweli kilichokuwa kinachofanyika ikulu ukilinganisha na kilichokuwa kinafanyika Bungeni, kile cha bungeni ni muhimu zaidi. Ikulu pia inawajibu wa kuliheshimu Bunge.
Hata hivyo hongera TBC kutuletea matangazo ya live ya ajali ya Walokole Moshi ambayo hii sasa ni live ya dharura kweli.
Nawatakia Jumatatu Njema.
P
[emoji2][emoji2][emoji2]ogopa sana ...wapaka mafuta kwa mgongo wa chupa