Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rais Samia ni msikivu, apewe maua yake. Vipi Serikali yake, Bunge na mahakama ni wasikivu? Kama sio inamanisha

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, zenye swali, hoja na majibu utaweka mwenyewe. Hoja ya leo ni kuhusu usikivu wa Rais Samia, hakuna ubishi ni msikivu, vipi serikali yake, ni serikali sikivu? Bunge lake ni Bunge sikivu, na Mahakama yake ni Mahakama Sikivu? Kama Rais ni msikivu, halafu serikali yake sio sikivu, Bunge lake sio sikivu na Mahakama zake sio sikivu, what does this mean, yaani inamaanisha nini?

Angalizo za Sifa za Kweli na Sifa za Kichawa Chawa. Siku hizi kila ukimsifu Rais Samia kwa mazuri yake yoyote, unanyooshwe kidole cha uchawa kuwa unasifu kutafuta shavu, hivyo ni sifa za kichawa, naendelea kusisitiza humu mimi sio chawa wala sitafuti shavu, nikisifu ni sifa za Kweli na hili sio tuu nimelisema humu, hadi nimeliandikia makala. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Screen Shot 2022-08-07 at 4.58.55 AM (4).png


Usikivu wa Rais Samia
Sote ni mashahidi wa utendakazi wa mtangulizi wake hali ilikuwaje kwenye baadhi ya maeneo, Rais Samia alipoingia aliangushiwa vilio kila sehemu, karibu kila kilio japo huwa hajibu kuwa nimesikia, utashuhudia tuu vitendo vya kuwaita wahusika kusemezana na mara mambo kutekelezwa.

Amefanya mengi nikianza kuyataja hapa moja moja, tutakesha, ila naomba nikutajie vilio vichache na matokeo yake.

Rais Samia alipoingia, niliandika makala mfululizo za kilio cha haki Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
Haki Sio Hisani-Nipashe 06_06_21 (2).png

Baada tuu ya Makala hii, DPP mpya akaingia kazini na kuanza kufanya mambo, Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…

Kwa vile ofisi ya DPP kwa mujibu wa Katiba yetu ni an independent office, wale mnaoamini ni DPP, endeleeni kuamini, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!.

Ukaja mtanziko wa kisiasa, kiongozi mkuu wa chama pendwa akaburuzwa kwa Piloto, watu tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
Mama Samia -Samehe tuu (1).png

mara paap!, DPP kafuta kesi kwa nolle, kiongozi kaachiwa!, wale mnao ni DPP ndiye aliyeifuta ile kesi kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu ni DPP pekee ndie mwenye mamlaka ya nolle, endeleeni kuamini ni DPP, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!

Naendelea na mada hii ya usikivu wa Rais Samia kwenye hoja mbalimbali. Leo naomba kuzungumzia usikivu wa Rais Samia kwenye issues za TRA.

Alipoingia ilikuta TRA na wafanyabiashara ni paka na panya. TRA wanaingia kwenye account za wafanyabiashara na kuchota fedha zote wanazozikuta kwenye account as if ni account yao na fedha ni zao. Wengi walifunga biashara, na wale wenye uwezo mkubwa, walihama nchi.

Mama akawaambia TRA tabia hiyo, wasamehe madeni ya nyuma, "wapeni raha wafanyabiashara wafanye biashara zao!, wasiingilie account za watu, na wakae chini wasemezane na wafanyabiashara na sio kukomoana.
View: https://youtu.be/QRZFo7dDEgM?si=Kv5qfBdcnyUM0HXa

Kwa vile mimi sidaiwi kodi, sijui kama kweli kuna wafanyabiashara waliosamehewa madeni yao ya nyuma.

Sasa TRA, wameanza tena ile tabia mbaya ya ule mtindo wa kuingilia account za watu, kuzifunga, kukomba every cent wanayoikuta as if hiyo account ni yao!.

Tena na hizi Benki zetu... we acha tuu!.

Vita kati ya TRA na wafanyabiashara biashara kuhusu kodi mbalimbali imekuwa ikiendelea, mwisho wa siku ni wafanyabiashara kutumia silaha yao ya mwisho, kufanya migomo ya kufungua maduka. Huu mgomo wa mwisho, umemng'oa CG wa TRA, Kidata!.

Rais Samia alivyo msikivu, sasa ameunda Tume ya kuangalia issues za kodi na sisi wa kupongeza tumeisha mpongeza. Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Inaendelea
Paskali
 

Attachments

  • Kwa Maslahi ya Taifa, Hongera DPP Mpya.jpg
    Kwa Maslahi ya Taifa, Hongera DPP Mpya.jpg
    174 KB · Views: 5
  • Screen Shot 2023-01-08 at 8.01.34 AM.png
    Screen Shot 2023-01-08 at 8.01.34 AM.png
    138.9 KB · Views: 4
  • Screen Shot 2022-03-07 at 6.27.26 AM.png
    Screen Shot 2022-03-07 at 6.27.26 AM.png
    148.4 KB · Views: 5
Kaka mkubwa mi huwa sikuelewagi kabisa naweza kusema wewe ni vuguvugu siyo moto Wala siyo baridi nawazaga sana ile kauli ya JPM na ndiyo maana teuzi zinakupita.
 
Nianze na Spana Kidogo.
Kweli Magufuli hakukosea kusema Mayala kwao maana yake ni njaa.

Back to Point sasa.

1.Nionyeshe usikivu wa Samia kwenye mikataba na wawekezaji nami nitakuonyesha kutosikia kwake

2.Nionyeshe Usikivu wa Samia kwenywe matumizi mabaya na yasiyo na lazima kwenye manumuzi ya serikali yake,safari za nje na waandamizi wake na wasanii nami nikuonyeshe kutosikia kwake.

3.Nionyeshe Usikivu wa Sami kwenye Potea potea na Kutekwa kwawana harakati nami nikupe majibu yake kuwa kupotea na kutekwa ni drama tu za watu.Akaumbuka na statement ya RPC wa Tanga baada ya kukaa na mtu kwa siku 29 polisi na ndugu zake wakimuulizia hapo hapo polisi.

4.Niomyeshe usikuvu wa Samia kuhusu Mgogoro wa ngorongoro na wa masai na kuchimba madini mbugani kisa anataka pesa nami nikuonyeshe alivyo

Yako mengi mazito na yakitia Aibu kwa Taifa hili.

Sikutegemea wewe Paskali kuja na andiko la kumshukuru Mama kuruhusu mikutano ya kisiasa wakati wajua ni haki ya kikatiba.Hatukupaswa kushukuru wal kuomba japo tuliahindwa kudai wakati wa mwenda zake.

Angekua msikivu angeanza na kuruhusu mchakato wa katiba mpya ule wa JK umaliziwe maana rasimu ilishapatikana.Lakini licha ya makelele yote kutoka kwa wananchi anajibu kuwa katiba ni karatasi tu.

je huo ndio usikivu unaouzungumzia bwana paskali au kuna Usikivu wa kutumia milango mingine ya fahamu?

Uko wapi usikivu wa Bunge kuruhusu wabunge waluofukuzwa na chama chao kisha bunge likaruhusu waendelee kukaa ndani na kula posho wasizostahili?

Hebu nipe majibu ya haya kwanza kisha tutaendelea .
 
Mkuu punguza pambio.

Tuendelee kuwapa changamoto viongozi wetu kuijenga nchi.

Hii nchi tumechelewa na tupo nyuma.
 
Wanabodi

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, zenye swali, hoja na majibu utaweka mwenyewe. Hoja ya leo ni kuhusu usikivu wa Rais Samia, hakuna ubishi ni msikivu, vipi serikali yake, ni serikali sikivu?, Bunge lake ni Bunge sikivu, na Mahakama yake ni Mahakama Sikivu?. Kama Rais ni msikivu, halafu serikali yake sio sikivu, Bunge lake sio sikivu na Mahakama zake sio sikivu, what does this mean, yaani inamaanisha nini?.

Angalizo za Sifa za Kweli na Sifa za Kichawa Chawa.
Siku hizi kila ukimsifu Rais Samia kwa mazuri yake yoyote, unanyooshwe kidole cha uchawa kuwa unasifu kutafuta shavu, hivyo ni sifa za kichawa, naendelea kusisitiza humu mimi sio chawa wala sitafuti shavu, nikisifu ni sifa za Kweli na hili sio tuu nimelisema humu, hadi nimeliandikia makala. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!View attachment 3059129

Usikivu wa Rais Samia
Sote ni mashahidi wa utendakazi wa mtangulizi wake hali ilikuwaje kwenye baadhi ya maeneo, Rais Samia alipoingia aliangushiwa vilio kila sehemu, karibu kila kilio japo huwa hajibu kuwa nimesikia, utashuhudia tuu vitendo vya kuwaita wahusika kusemezana na mara mambo kutekelezwa.

Amefanya mengi nikianza kuyataja hapa moja moja, tutakesha, ila naomba nikutajie vilio vichache na matokeo yake.

Rais Samia alipoingia, niliandika makala mfululizo za kilio cha haki Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki

Baada tuu ya Makala hii, DPP mpya akaingia kazini na kuanza kufanya mambo, Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee… View attachment 3059132
Kwa vile ofisi ya DPP kwa mujibu wa Katiba yetu ni an independent office, wale mnaoamini ni DPP, endeleeni kuamini, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!.

Ukaja mtanziko wa kisiasa, kiongozi mkuu wa chama pendwa akaburuzwa kwa Piloto, watu tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? View attachment 3059147
mara paap!, DPP kafuta kesi kwa nolle, kiongozi kaachiwa!, wale mnao ni DPP ndiye aliyeifuta ile kesi kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu ni DPP pekee ndie mwenye mamlaka ya nolle, endeleeni kuamini ni DPP, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!
Inaendelea
Paskali
USIKIVU GANI? USIKIVU MKUBWA NI kATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI. SIKIVU WA KUANDA SGR?
 
Wanabodi

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, zenye swali, hoja na majibu utaweka mwenyewe. Hoja ya leo ni kuhusu usikivu wa Rais Samia, hakuna ubishi ni msikivu, vipi serikali yake, ni serikali sikivu?, Bunge lake ni Bunge sikivu, na Mahakama yake ni Mahakama Sikivu?. Kama Rais ni msikivu, halafu serikali yake sio sikivu, Bunge lake sio sikivu na Mahakama zake sio sikivu, what does this mean, yaani inamaanisha nini?.

Angalizo za Sifa za Kweli na Sifa za Kichawa Chawa.
Siku hizi kila ukimsifu Rais Samia kwa mazuri yake yoyote, unanyooshwe kidole cha uchawa kuwa unasifu kutafuta shavu, hivyo ni sifa za kichawa, naendelea kusisitiza humu mimi sio chawa wala sitafuti shavu, nikisifu ni sifa za Kweli na hili sio tuu nimelisema humu, hadi nimeliandikia makala. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!View attachment 3059129

Usikivu wa Rais Samia
Sote ni mashahidi wa utendakazi wa mtangulizi wake hali ilikuwaje kwenye baadhi ya maeneo, Rais Samia alipoingia aliangushiwa vilio kila sehemu, karibu kila kilio japo huwa hajibu kuwa nimesikia, utashuhudia tuu vitendo vya kuwaita wahusika kusemezana na mara mambo kutekelezwa.

Amefanya mengi nikianza kuyataja hapa moja moja, tutakesha, ila naomba nikutajie vilio vichache na matokeo yake.

Rais Samia alipoingia, niliandika makala mfululizo za kilio cha haki Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki

Baada tuu ya Makala hii, DPP mpya akaingia kazini na kuanza kufanya mambo, Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee… View attachment 3059132
Kwa vile ofisi ya DPP kwa mujibu wa Katiba yetu ni an independent office, wale mnaoamini ni DPP, endeleeni kuamini, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!.

Ukaja mtanziko wa kisiasa, kiongozi mkuu wa chama pendwa akaburuzwa kwa Piloto, watu tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? View attachment 3059147
mara paap!, DPP kafuta kesi kwa nolle, kiongozi kaachiwa!, wale mnao ni DPP ndiye aliyeifuta ile kesi kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu ni DPP pekee ndie mwenye mamlaka ya nolle, endeleeni kuamini ni DPP, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!
Inaendelea
Paskali

UNAJIPENDEKEZA VIBAYA . YEYE KASHASEMA HUWA ANAJIFANYA CHURA KIZIWI HASIKILIZI. WEWE MAAMUMA UNAKUJA SEMA NI MSIKIVU. MAYALA NI MBAYA
 
Nianze na Spana Kidogo.
Kweli Magufuli hakukosea kusema Mayala kwao maana yake ni njaa.

Back to Point sasa.

1.Nionyeshe usikivu wa Samia kwenye mikataba na wawekezaji nami nitakuonyesha kutosikia kwake

2.Nionyeshe Usikivu wa Samia kwenywe matumizi mabaya na yasiyo na lazima kwenye manumuzi ya serikali yake,safari za nje na waandamizi wake na wasanii nami nikuonyeshe kutosikia kwake.

3.Nionyeshe Usikivu wa Sami kwenye Potea potea na Kutekwa kwawana harakati nami nikupe majibu yake kuwa kupotea na kutekwa ni drama tu za watu.Akaumbuka na statement ya RPC wa Tanga baada ya kukaa na mtu kwa siku 29 polisi na ndugu zake wakimuulizia hapo hapo polisi.

4.Niomyeshe usikuvu wa Samia kuhusu Mgogoro wa ngorongoro na wa masai na kuchimba madini mbugani kisa anataka pesa nami nikuonyeshe alivyo

Yako mengi mazito na yakitia Aibu kwa Taifa hili.

Sikutegemea wewe Paskali kuja na andiko la kumshukuru Mama kuruhusu mikutano ya kisiasa wakati wajua ni haki ya kikatiba.Hatukupaswa kushukuru wal kuomba japo tuliahindwa kudai wakati wa mwenda zake.

Angekua msikivu angeanza na kuruhusu mchakato wa katiba mpya ule wa JK umaliziwe maana rasimu ilishapatikana.Lakini licha ya makelele yote kutoka kwa wananchi anajibu kuwa katiba ni karatasi tu.

je huo ndio usikivu unaouzungumzia bwana paskali au kuna Usikivu wa kutumia milango mingine ya fahamu?

Uko wapi usikivu wa Bunge kuruhusu wabunge waluofukuzwa na chama chao kisha bunge likaruhusu waendelee kukaa ndani na kula posho wasizostahili?

Hebu nipe majibu ya haya kwanza kisha tutaendelea .
Paskali nasubiri majibu
 
Wanabodi

Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa, zenye swali, hoja na majibu utaweka mwenyewe. Hoja ya leo ni kuhusu usikivu wa Rais Samia, hakuna ubishi ni msikivu, vipi serikali yake, ni serikali sikivu?, Bunge lake ni Bunge sikivu, na Mahakama yake ni Mahakama Sikivu?. Kama Rais ni msikivu, halafu serikali yake sio sikivu, Bunge lake sio sikivu na Mahakama zake sio sikivu, what does this mean, yaani inamaanisha nini?.

Angalizo za Sifa za Kweli na Sifa za Kichawa Chawa.
Siku hizi kila ukimsifu Rais Samia kwa mazuri yake yoyote, unanyooshwe kidole cha uchawa kuwa unasifu kutafuta shavu, hivyo ni sifa za kichawa, naendelea kusisitiza humu mimi sio chawa wala sitafuti shavu, nikisifu ni sifa za Kweli na hili sio tuu nimelisema humu, hadi nimeliandikia makala. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!View attachment 3059129

Usikivu wa Rais Samia
Sote ni mashahidi wa utendakazi wa mtangulizi wake hali ilikuwaje kwenye baadhi ya maeneo, Rais Samia alipoingia aliangushiwa vilio kila sehemu, karibu kila kilio japo huwa hajibu kuwa nimesikia, utashuhudia tuu vitendo vya kuwaita wahusika kusemezana na mara mambo kutekelezwa.

Amefanya mengi nikianza kuyataja hapa moja moja, tutakesha, ila naomba nikutajie vilio vichache na matokeo yake.

Rais Samia alipoingia, niliandika makala mfululizo za kilio cha haki Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki

Baada tuu ya Makala hii, DPP mpya akaingia kazini na kuanza kufanya mambo, Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee… View attachment 3059132
Kwa vile ofisi ya DPP kwa mujibu wa Katiba yetu ni an independent office, wale mnaoamini ni DPP, endeleeni kuamini, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!.

Ukaja mtanziko wa kisiasa, kiongozi mkuu wa chama pendwa akaburuzwa kwa Piloto, watu tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? View attachment 3059147
mara paap!, DPP kafuta kesi kwa nolle, kiongozi kaachiwa!, wale mnao ni DPP ndiye aliyeifuta ile kesi kwasababu kwa mujibu wa Katiba yetu ni DPP pekee ndie mwenye mamlaka ya nolle, endeleeni kuamini ni DPP, sisi wa jicho la tatu tunamjua ni nani!, apewe tuu maua yake!
Inaendelea
Paskali
Umesema kweli KABISA! Usipomshukuru unayemwona huwezi kumshukuru MUNGU asiyeonekana.NAMI NAUNGANA FIKA NA WEWE KWENYE HILI.
 
Naendelea na mada hii ya usikivu wa Rais Samia kwenye hoja mbalimbali. Leo naomba kuzungumzia usikivu wa Rais Samia kwenye issues za TRA.

Alipoingia ilikuta TRA na wafanyabiashara ni paka na panya. TRA wanaingia kwenye account za wafanyabiashara na kuchota fedha zote wanazozikuta kwenye account as if ni account yao na fedha ni zao. Wengi walifunga biashara, na wale wenye uwezo mkubwa, walihama nchi.

Mama akawaambia TRA tabia hiyo, wasamehe madeni ya nyuma, "wapeni raha wafanyabiashara wafanye biashara zao!, wasiingilie account za watu, na wakae chini wasemezane na wafanyabiashara na sio kukomoana.
View: https://youtu.be/QRZFo7dDEgM?si=Kv5qfBdcnyUM0HXa

Kwa vile mimi sidaiwi kodi, sijui kama kweli kuna wafanyabiashara waliosamehewa madeni yao ya nyuma.

Sasa TRA, wameanza tena ile tabia mbaya ya ule mtindo wa kuingilia account za watu, kuzifunga, kukomba every cent wanayoikuta as if hiyo account ni yao!.

Tena na hizi Benki zetu... we acha tuu!.

Vita kati ya TRA na wafanyabiashara biashara kuhusu kodi mbalimbali imekuwa ikiendelea, mwisho wa siku ni wafanyabiashara kutumia silaha yao ya mwisho, kufanya migomo ya kufungua maduka. Huu mgomo wa mwisho, umemng'oa CG wa TRA, Kidata!.

Rais Samia alivyo msikivu, sasa ameunda Tume ya kuangalia issues za kodi na sisi wa kupongeza tumeisha mpongeza. Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.
P
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom