Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, TISS ya Diwani haikuwa na mawaa; ni moja kati ya waliopambana na timu ya jiwe iheshimu katiba. Kongole kwake!

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, TISS ya Diwani haikuwa na mawaa; ni moja kati ya waliopambana na timu ya jiwe iheshimu katiba. Kongole kwake!

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
TISS ya Diwani Athumani ndio walau ilitulia, kutekana kukaisha, mambo ya hovyo hovyo yakapungua, hata Jiwe naye akapunguza machachari.

Tofauti na Ile ya kipilimba na wenzake walioshughulika kwelikweli na akina Mdude na wengine.

Ni TISS ya Diwani Athumani, pamoja na taasisi nyingine, walifanikisha kulidhibiti kundi la Jiwe lisipandikize watu wake madhalimu na wenye roho mbaya na makatili waliotaka kupoka nafasi ya SSH.

Akina Bashiru waliwekwa stoo kwa muda, polepole alipigwa jicho moja Kali akaufyata. Ofisi zote za Jiwe zikawekwa chini ya Ulinzi, mamia ya mamilioni ya ya dola yakakusanywa katika mabegi na makabati ya ofisini za Jiwe na kurudishwa serikalini. Na mengine meengi, nadhani hata Ile listi ya wale watu waliotakiwa ikachanwa, Makonda akajificha uvunguni, Sabaya Yuko godown.

Ditto James alidhibitiwa asiibe mabilioni, Na yule bosi wa Tanroad aliyekuwa mweka hazina wa vicoba ya jiwe (Tanzania) baada ya jiwe kufa akakutwa na ngozi ya n'gombe ya thamani ya matrilioni, kule kwetu anayekutwa na ngozi ndiye mwizi, akaulizwa, trilioni kadhaa umetoa wapi, badala ajibu, akaamua kufa na yeye.

Hebu tumpongeze, hakuwa na matukio ya ajabu ajabu.
 
TISS ya Diwani Athumani ndio walau ilitulia, kutekana kukaisha, mambo ya hovyo hovyo yakapungua, hata Jiwe naye akapunguza machachari.

Tofauti na Ile ya kipilimba na wenzake walioshughulika kwelikweli na akina Mdude na wengine.

Ni TISS ya Diwani Athumani, pamoja na taasisi nyingine, walifanikisha kulidhibiti kundi la Jiwe lisipandikize watu wake madhalimu na wenye roho mbaya na makatili waliotaka kupoka nafasi ya SSH.

Akina Bashiru waliwekwa stoo kwa muda, polepole alipigwa jicho moja Kali akaufyata. Ofisi zote za Jiwe zikawekwa chini ya Ulinzi, mamia ya mamilioni ya ya dola yakakusanywa katika mabegi na makabati ya ofisini za Jiwe na kurudishwa serikalini. Na mengine meengi, nadhani hata Ile listi ya wale watu waliotakiwa ikachanwa, Makonda akajificha uvunguni, Sabaya Yuko godown.

Ditto James alidhibitiwa asiibe mabilioni, Na yule bosi wa Tanroad aliyekuwa mweka hazina wa vivo a ya jiwe, baada ya jiwe kufa akakutwa na ngozi ya n'gombe ya thamani ya matrilioni, kule kwetu anayekuta na ngozi ndiye mwizi, akaulizwa, trilioni kadhaa umetoa wapi, badala ajibu, akaamua kufa na yeye.

Hebu tumpongeze, hakuwa na matukio ya ajabu ajabu.
Rubbish of the year 2023
 
Hii nchi bhana! Kila mtu anaongea la kwake. Sijui ni kwa sababu tuna Katiba dhaifu isiyotupa mamlaka wananchi juu ya uteuzi/utenguaji wa mteule wa Rais!!
 
TISS ya Diwani Athumani ndio walau ilitulia, kutekana kukaisha, mambo ya hovyo hovyo yakapungua, hata Jiwe naye akapunguza machachari.

Tofauti na Ile ya kipilimba na wenzake walioshughulika kwelikweli na akina Mdude na wengine.

Ni TISS ya Diwani Athumani, pamoja na taasisi nyingine, walifanikisha kulidhibiti kundi la Jiwe lisipandikize watu wake madhalimu na wenye roho mbaya na makatili waliotaka kupoka nafasi ya SSH.

Akina Bashiru waliwekwa stoo kwa muda, polepole alipigwa jicho moja Kali akaufyata. Ofisi zote za Jiwe zikawekwa chini ya Ulinzi, mamia ya mamilioni ya ya dola yakakusanywa katika mabegi na makabati ya ofisini za Jiwe na kurudishwa serikalini. Na mengine meengi, nadhani hata Ile listi ya wale watu waliotakiwa ikachanwa, Makonda akajificha uvunguni, Sabaya Yuko godown.

Ditto James alidhibitiwa asiibe mabilioni, Na yule bosi wa Tanroad aliyekuwa mweka hazina wa vicoba ya jiwe (Tanzania) baada ya jiwe kufa akakutwa na ngozi ya n'gombe ya thamani ya matrilioni, kule kwetu anayekutwa na ngozi ndiye mwizi, akaulizwa, trilioni kadhaa umetoa wapi, badala ajibu, akaamua kufa na yeye.

Hebu tumpongeze, hakuwa na matukio ya ajabu ajabu.
Kumbe chanzo cha yote haya ni mtoto wa bimkubwa aitwaye Abdul mwenye tuhuma za ufisadi wa kutisha
 
TISS ya Diwani Athumani ndio walau ilitulia, kutekana kukaisha, mambo ya hovyo hovyo yakapungua, hata Jiwe naye akapunguza machachari.

Tofauti na Ile ya kipilimba na wenzake walioshughulika kwelikweli na akina Mdude na wengine.

Ni TISS ya Diwani Athumani, pamoja na taasisi nyingine, walifanikisha kulidhibiti kundi la Jiwe lisipandikize watu wake madhalimu na wenye roho mbaya na makatili waliotaka kupoka nafasi ya SSH.

Akina Bashiru waliwekwa stoo kwa muda, polepole alipigwa jicho moja Kali akaufyata. Ofisi zote za Jiwe zikawekwa chini ya Ulinzi, mamia ya mamilioni ya ya dola yakakusanywa katika mabegi na makabati ya ofisini za Jiwe na kurudishwa serikalini. Na mengine meengi, nadhani hata Ile listi ya wale watu waliotakiwa ikachanwa, Makonda akajificha uvunguni, Sabaya Yuko godown.

Ditto James alidhibitiwa asiibe mabilioni, Na yule bosi wa Tanroad aliyekuwa mweka hazina wa vicoba ya jiwe (Tanzania) baada ya jiwe kufa akakutwa na ngozi ya n'gombe ya thamani ya matrilioni, kule kwetu anayekutwa na ngozi ndiye mwizi, akaulizwa, trilioni kadhaa umetoa wapi, badala ajibu, akaamua kufa na yeye.

Hebu tumpongeze, hakuwa na matukio ya ajabu ajabu.

Diwani gani?. Huyu anayegoma kuonesha alipo Been Saanane?. Huyu aliyesimamia uharibifu wa uchaguzi wa 2020. Aende tu.
 
He
20230104_215134.jpg
 
Walioshiriki kuiba kura , kuteka wagombea wa upinzani na mawakala wao na kupitisha wabunge wa CCM zaidi ya 20 eti "bila kupingwa" walikuwa kina nani?
 
Huwezi kuwa na hela ukaitwa mnyonge

Diwani ana hela kwa hiyo sio mnyonge

Mnyonge ni maskini
 
Back
Top Bottom