Mnyonyaji 'Panjuani Kibyongo' anatudanganya kaweka 20B halafu tunasajili akina Kapama na Okwa na tunataka kushindana na watu makini kama Yanga SC?

Mnyonyaji 'Panjuani Kibyongo' anatudanganya kaweka 20B halafu tunasajili akina Kapama na Okwa na tunataka kushindana na watu makini kama Yanga SC?

Mimi simu yangu aioneshi picha vizuri ila najibu kulingana na komenti za watu mimi hapo nashauri uyo mtoto aliye fanyiwa icho kitendo akimbizwe hospitali na huyo mtuhumiwa akamatwe afungwe kifungo cha maisha mana ataendelea kuharibu watoto wengine kama watamuacha huru.
 
Ismail Aden Rage (boss wa zamani) Simba SC aliona mbali sana, na alipatia mno kutuita wana Simba SC (GENTAMYCINE) nikiwemo mimbumbumbu (mipan'gang'a), kwani tunastahili kuitwa hivyo.

Hivi kweli mtu aweke Msimbazi 20B ndiyo tusajili takataka na mizigo akina Kapama na Okwa? Yaani 20B iwekwe klabuni ( Simba SC ) na Panjuani halafu tushindwe kumpa Adebayor 850M, tushindwe kumpa Aziz K 500M na Manzoki 450M kweli?

Yaani kuwekwe kweli hiyo 20B Msimbazi tushindwe kuwa na benchi zuri la ufundi na tumpe deiwaka Kocha mhamasishaji na mjanjamjanja (muongo muongo) Juma Mgunda aiongoze klabu /timu?

Mzee Bakhressa (tajiri Tanzania nzima na ukinibishia hili kapimwe Ubongo) aliitaka Simba SC kwa 45 ila Panjuani Kibyongo akahonga waandishi wa habari za michezo ili wampambe, wamchafue Mzee Bakhressa huku akiwahonga pesa ndefu tu waliokuwa wajumbe wa mchakato akina Mulamu na chawa akina Said Tully.

Waanze kumsifia na kufanya propaganda za kila aina ili wana Simba SC wamkubali na wamuamini kwa 100% kama mwekezaji wetu.

Hakuna mtu ambaye kwa sasa yeye, familia yake na hawara yake mkubwa ambaye pia anashea na mabosi wa CAF na FIFA anafaidika pakubwa na Simba SC kama Panjuani Kibyongo, ila amefanikiwa kutunyamazisha mimbumbumbu (wana Simba SC wote) kwa nguvu ya pesa za ukoo wake.

GENTAMYCINE nasisitiza tena kwa kusema kuwa Yanga SC iliyojipanga vyema ndani na nje ya uwanja ndiyo mabingwa tena wa NBC Premier League.

Ukiona huu uzi unakukwaza na huupendi tafadhali tafuta upesi sumu ya panya, iweke katika kikombe chako cha chai kisha imeze yote ili utupunguzie idadi ya mambumbumbu (fools) walioko Simba SC.

'Panjuani Kibyongo' hajaweka 20B.
Ameweka 20B ila mbumbumbu a.k.a mchwa mmesosomola zote,naye kaamua kususa😄
 
MO kachukua steak ya asilimia 49%na nyie jichangeni vipesa vyenu vya ngama muweke pesa hio ya asilimia 51% ili mambo yawe sawa.
Sisi tulikuwa tunamiliki 100%
.Ponjoro amekuja anataka ubia achukue 51% sisi atuachie 49% .Tukasema hapa, itakuwa kinyume chake.
Ponjoro amekubali kutoa bilioni 20 ili kulipia 49%.
Sisi tuweke hela ya 51% kulipia nini wakati hizo share tunazimiliki sisi wenyewe?
Au sijaelewa, timu ilikuwa haina wenyewe, ili iwe na wamiliki inabidi muwekezaji aweke mpunga na wanachama waweke mpunga?
 
Sisi tulikuwa tunamiliki 100%
.Ponjoro amekuja anataka ubia achukue 51% sisi atuachie 49% .Tukasema hapa, itakuwa kinyume chake.
Ponjoro amekubali kutoa bilioni 20 ili kulipia 49%.
Sisi tuweke hela ya 51% kulipia nini wakati hizo share tunazimiliki sisi wenyewe?
Au sijaelewa, timu ilikuwa haina wenyewe, ili iwe na wamiliki inabidi muwekezaji aweke mpunga na wanachama waweke mpunga?
Ni sawa kabisa, hizo 51% ndio hiyo timu,
Ni sawa na mwekezaji akiingia ubia na mwenye nyumba, mbia atatoa hela ajenge na mwenye nyumba atatoa kiwanja
 
Sisi tulikuwa tunamiliki 100%
.Ponjoro amekuja anataka ubia achukue 51% sisi atuachie 49% .Tukasema hapa, itakuwa kinyume chake.
Ponjoro amekubali kutoa bilioni 20 ili kulipia 49%.
Sisi tuweke hela ya 51% kulipia nini wakati hizo share tunazimiliki sisi wenyewe?
Au sijaelewa, timu ilikuwa haina wenyewe, ili iwe na wamiliki inabidi muwekezaji aweke mpunga na wanachama waweke mpunga?
Mkuu kuna watu wanajifanya hamnazo! Yaani ulitaka Simba(wanachama) aweke pesa kwa ajili ya 51% ya hisa wakati yeye ndo kauza 49% ya hisa zake kwa Kanjibai? Wanaouliza kuhusu hizo billion 20 za ununuzi wa 49% ya hisa wako sahihi, aseme ziko wapi au yale madeni aliyokuwa anaisaidia Club kabla ya kuwa mwanahisa ndiyo kaamua kukata juu kwa juu? Ili nalo litazamwe maana Kama kulikuwa hakuna makubaliano hayo basi ni utapeli mtupu.
 
Ismail Aden Rage (boss wa zamani) Simba SC aliona mbali sana, na alipatia mno kutuita wana Simba SC (GENTAMYCINE) nikiwemo mimbumbumbu (mipan'gang'a), kwani tunastahili kuitwa hivyo.

Hivi kweli mtu aweke Msimbazi 20B ndiyo tusajili takataka na mizigo akina Kapama na Okwa? Yaani 20B iwekwe klabuni ( Simba SC ) na Panjuani halafu tushindwe kumpa Adebayor 850M, tushindwe kumpa Aziz K 500M na Manzoki 450M kweli?

Yaani kuwekwe kweli hiyo 20B Msimbazi tushindwe kuwa na benchi zuri la ufundi na tumpe deiwaka Kocha mhamasishaji na mjanjamjanja (muongo muongo) Juma Mgunda aiongoze klabu /timu?

Mzee Bakhressa (tajiri Tanzania nzima na ukinibishia hili kapimwe Ubongo) aliitaka Simba SC kwa 45 ila Panjuani Kibyongo akahonga waandishi wa habari za michezo ili wampambe, wamchafue Mzee Bakhressa huku akiwahonga pesa ndefu tu waliokuwa wajumbe wa mchakato akina Mulamu na chawa akina Said Tully.

Waanze kumsifia na kufanya propaganda za kila aina ili wana Simba SC wamkubali na wamuamini kwa 100% kama mwekezaji wetu.

Hakuna mtu ambaye kwa sasa yeye, familia yake na hawara yake mkubwa ambaye pia anashea na mabosi wa CAF na FIFA anafaidika pakubwa na Simba SC kama Panjuani Kibyongo, ila amefanikiwa kutunyamazisha mimbumbumbu (wana Simba SC wote) kwa nguvu ya pesa za ukoo wake.

GENTAMYCINE nasisitiza tena kwa kusema kuwa Yanga SC iliyojipanga vyema ndani na nje ya uwanja ndiyo mabingwa tena wa NBC Premier League.

Ukiona huu uzi unakukwaza na huupendi tafadhali tafuta upesi sumu ya panya, iweke katika kikombe chako cha chai kisha imeze yote ili utupunguzie idadi ya mambumbumbu (fools) walioko Simba SC.

'Panjuani Kibyongo' hajaweka 20B.
Genta kama genta salute Sana shemeji yangu... Umenena mkuu...huna unafiki kabisa..
 
Viongozi wa Simba mafala sana alafu wanakuja na vidrama vya kijinga oooh mara Simba queen imepata udhamini wa kiasi Fulani, mara vunja bei kaja sijui na nn. Hizo danganya toto haziwezi kuleta ubingwa. Wekeza pesa update pesa. Nje ya hapo n bahati ya mtende. Huyu Mo utadhani sio mwanauchumi the way anavyoiendesha timu
 
Mo nakumbuka alifanyaga propaganda Sana kuichukua Simba

Ila wahindi Ni MATAPELI Sana

Juzi Kati Timu ilipoingia makundi akajitokeza ,maana hizi 1.7B za makundi MO anazihitaji , unaweza kuziona ndogo ,kwa Utajiri wake, Lakini muhindi hata Shilingi Mia kwake Ni muhimu .
Pumba tupu. Unalipa mishahara wewe?
 
Viongozi wa Simba mafala sana alafu wanakuja na vidrama vya kijinga oooh mara Simba queen imepata udhamini wa kiasi Fulani, mara vunja bei kaja sijui na nn. Hizo danganya toto haziwezi kuleta ubingwa. Wekeza pesa update pesa. Nje ya hapo n bahati ya mtende. Huyu Mo utadhani sio mwanauchumi the way anavyoiendesha timu
Punguza jazba. Tatizo mmeanza ushabiki juzi. Kama umejaa upepo kiasi hiki, vipi wenye Manchester United yao, Barcelona au Chelsea wafanyeje? Aliyekuambia kuwa simba itakuwa kwny peak muda wote ni nani?
 
Ismail Aden Rage (boss wa zamani) Simba SC aliona mbali sana, na alipatia mno kutuita wana Simba SC (GENTAMYCINE) nikiwemo mimbumbumbu (mipan'gang'a), kwani tunastahili kuitwa hivyo.

Hivi kweli mtu aweke Msimbazi 20B ndiyo tusajili takataka na mizigo akina Kapama na Okwa? Yaani 20B iwekwe klabuni ( Simba SC ) na Panjuani halafu tushindwe kumpa Adebayor 850M, tushindwe kumpa Aziz K 500M na Manzoki 450M kweli?

Yaani kuwekwe kweli hiyo 20B Msimbazi tushindwe kuwa na benchi zuri la ufundi na tumpe deiwaka Kocha mhamasishaji na mjanjamjanja (muongo muongo) Juma Mgunda aiongoze klabu /timu?

Mzee Bakhressa (tajiri Tanzania nzima na ukinibishia hili kapimwe Ubongo) aliitaka Simba SC kwa 45 ila Panjuani Kibyongo akahonga waandishi wa habari za michezo ili wampambe, wamchafue Mzee Bakhressa huku akiwahonga pesa ndefu tu waliokuwa wajumbe wa mchakato akina Mulamu na chawa akina Said Tully.

Waanze kumsifia na kufanya propaganda za kila aina ili wana Simba SC wamkubali na wamuamini kwa 100% kama mwekezaji wetu.

Hakuna mtu ambaye kwa sasa yeye, familia yake na hawara yake mkubwa ambaye pia anashea na mabosi wa CAF na FIFA anafaidika pakubwa na Simba SC kama Panjuani Kibyongo, ila amefanikiwa kutunyamazisha mimbumbumbu (wana Simba SC wote) kwa nguvu ya pesa za ukoo wake.

GENTAMYCINE nasisitiza tena kwa kusema kuwa Yanga SC iliyojipanga vyema ndani na nje ya uwanja ndiyo mabingwa tena wa NBC Premier League.

Ukiona huu uzi unakukwaza na huupendi tafadhali tafuta upesi sumu ya panya, iweke katika kikombe chako cha chai kisha imeze yote ili utupunguzie idadi ya mambumbumbu (fools) walioko Simba SC.

'Panjuani Kibyongo' hajaweka 20B.
Umeanza tena! Mwaka huu unalo. Suluhisho ni wewe kuanzisha timu yako wewe. Iwe yako, usajili kocha na wachezaji unaowataka ili uchukue ubingwa miaka yote ya uhai wa taifa letu. Vinginevyo utaokota mkopo.
 
Wamatumbi katika ubora wetu!hamna mnachokijua kuhusu biashara wala uwekezaji! Nyie mnawaza kutafuniwa tu kama makinda,mkipata vipesa vya ugoko mnaenda riverside ubungo kununua malaya,halafu mnataka muhindi aweke pesa kijinga jinga tu kuwafurahisha wavivu!

MO kachukua steak ya asilimia 49%na nyie jichangeni vipesa vyenu vya ngama muweke pesa hio ya asilimia 51% ili mambo yawe sawa.

Kwa akili hizi za kumlalamikia muhindi awape furaha,ndio maana wahuni wa ccm wanawatawala zaidi ya miaka 60 uku mkinuka umaskini mpaka mmechacha,mnachojua ni kupiga makelele ya Simba na yanga tu.
Kitu ambacho haufahamu hio 51% ndio Simba yenyewe (brand) unataka waweke nini tena?
 
Mkuu kuna watu wanajifanya hamnazo! Yaani ulitaka Simba(wanachama) aweke pesa kwa ajili ya 51% ya hisa wakati yeye ndo kauza 49% ya hisa zake kwa Kanjibai? Wanaouliza kuhusu hizo billion 20 za ununuzi wa 49% ya hisa wako sahihi, aseme ziko wapi au yale madeni aliyokuwa anaisaidia Club kabla ya kuwa mwanahisa ndiyo kaamua kukata juu kwa juu? Ili nalo litazamwe maana Kama kulikuwa hakuna makubaliano hayo basi ni utapeli mtupu.
Simba ilikuwa inajiendesha kwa mfumo wa michango ya wanachama,wakabadili katiba na kuwa kampuni wakasajili Brela,wakauza steak ya asilimia 49%kwa muekezaji.

Wanachama wakabaki na 51% ambazo zitagawiwa kwa wanachama wote ambao walikuwa wanachama hai kabla ya mfumo kubadilika.

Baada ya hapo watabadilika automatic kutoka kuwa wanachama na kuwa wanahisa, hivyo watasajili kampuni yao na kujiunga kwenye soko la hisa na mitaji ili kukuza mtaji,hivyo hio steak yao ya 51% lazima iingie sokoni
 
Back
Top Bottom