Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Eti Panjuani kibyongo😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti Panjuani kibyongo[emoji23]
Idiot.Umeanza tena! Mwaka huu unalo. Suluhisho ni wewe kuanzisha timu yako wewe. Iwe yako, usajili kocha na wachezaji unaowataka ili uchukue ubingwa miaka yote ya uhai wa taifa letu. Vinginevyo utaokota mkopo.
Asante sana Shemeji yangu. Ina maana Umeniolea Dada yangu wa Kizanaki au una Mume wa Kizanaki?Genta kama genta salute Sana shemeji yangu... Umenena mkuu...huna unafiki kabisa..
Aanzishe yake😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂Mipang'ang'a fc panjuwani atuachie timu yetu
Nimeoa mzanaki mkuuAsante sana Shemeji yangu. Ina maana Umeniolea Dada yangu wa Kizanaki au una Mume wa Kizanaki?
Kama ni hivyo msiwe mnapiga mayowe mnapogongeshwa maana ndo uwezo mlionao uwanjani kulingana na aina ya wachezaji mlionao, Msitake matokeo msiyostahili wakati mna timu imejaza kina kibu denis wa kutosha alafu unataka ushindane na yanga iliyowekeza utakuwa na akili au matope kichwani, mkubaliane na matokeo mnayopata kama kanjibhai wenu aweki pesa za usajili na mnamteteaWewe kwenye ile 51% iliyobaki umeweka sh ngapi? Au umeweka maneno na kutegemea hayo maneno yamsajili Kylian Mbape?
Kama Mgunda ni mbovu ,mbona kaifikisha timu Makundi CL tena kwa cleansheet safi kabisa home na away akiruhusu kufungwa goli 1 tu?
Hata mimi siwezi kuwekeza pesa zangu afu mzitumie kujifurahisha huku siingizi chochote , unataka wasajiliwe wa bei kubwa mishahara yao utaiokota barabarani?
Wana Simba halisi hatumlaumu Mo , maana hatutoi hata mishahara ya wachezaji tu hatuijui.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app