Mnyoosho unaendelea: Diamond ashinda tuzo African Achivers Awards usiku huu


ahahahaa kufa hawafi ila chamoto wanakiona
 
Listen, jambo la kwanza msanii anatakiwa kuwa nalo ktk hili ni kukubalika na industry stakeholders. Ukishakubalika na wadai, mengine yote yanakuja yenyewe coz' huwezi never ever kualikuwa kwenye event wakati wadau hawajakukubali!

That's one, but second, show nyingi duniani zinatokana na events na sio private shows! Chukulia wanamuzki wa Nigeria kwa mfano... wote walikuja TZ for event... Fiesta! P-Square juzi tu hapa walikuwa Morocco, nako ilikuwa ni event (Music Festival)! Hata huyo Diamond hapa Tz siku hizi show zake nyingi zinatokana na events na si kwamba kuna mtu kaiandaa hiyo show! But WHY EVENTS? Wanamuziki walio class ya Diamond ni very expensive kuwalipa na kutokana na hilo ndo utakuta shows zao nyingi ni events ambazo kwa kawaida zinakuwaga na sponsors ambao sometime ndio huwalipa wasanii. Leo Diamond akikuambia umlipe ONLY 20m, show yako kama kiingilio ni sh.10,000 basi watu 2000 wote ni wake! Lakini mbaya zaidi, huwezi kufanya show ya m2 kama Diamond mahali kama Maisha Club or Billicanas... lazima ule short unless kama una sponsors! Na ukimwambia show itakuwa Uwanja wa Taifa, piga ua 20 million hachukui coz' anafahamu ana uwezo wa kujaza zaidi ya watu elfu 50 kwahiyo hawezi kukubali upatie utajiri kupitia mgongo wake na ndio maana, kwa wanamuziki aina ya Diamond inapokuja private shows za aina hiyo, kwanza unampa cha juu kisha mnakuja kupatana mapato yake kwa kila tiketi itakayouzwa mlangoni! Hivyo basi, Diamond ku-perform kwenye events kunaonesha kukubalika kwake kwa wadau wa tasnia! Hizo private shows unazosema wewe zinategemea factors nyingi na ndio maana huwezi kusikia Maisha Club kuna show anakuja Davido au P Square... suala la Davido kwenda Togo sio issue coz' ni sawa na Diamond anavyoenda Kenya, Rwanda and the like... West Africa VS East Africa!
 

duu huyu jamaa siku akinunua helicopter inabidi wengine tuhame nchi #
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…