Mnyoosho unaendelea: Diamond ashinda tuzo African Achivers Awards usiku huu

Mnyoosho unaendelea: Diamond ashinda tuzo African Achivers Awards usiku huu

Duuuuh mondi kila akigusa tuzo kweli zari kaja na manyota yke toka ug.....viti maalum alikua hana nyota gundu tupu alikua anamtia chibu,mara n nyota kali cjui bila mimi chibu c lolote.nimeamini madam hana nyota bali ana kimondo
 
Duuuuh mondi kila akigusa tuzo kweli zari kaja na manyota yke toka ug.....viti maalum alikua hana nyota gundu tupu alikua anamtia chibu,mara n nyota kali cjui bila mimi chibu c lolote.nimeamini madam hana nyota bali ana kimondo

Haha eti kimondo.... Mbona msanii wake mirror hahit
 
Halaf linakuja chizi fulani linakuja kumlinganisha mond na mtu ambaye hana award yyte kimataifa... Za ndani zenyw sijui saba

Nyie ndo mambo yenu hayo
Yani huyo mtu fulani anawahenyesha kinoma.
Si unaona, hata wewe hapa umeshaanza kuhenyeka.
 
Halaf linakuja chizi fulani linakuja kumlinganisha mond na mtu ambaye hana award yyte kimataifa... Za ndani zenyw sijui saba

Hizi ni special kwa WASWAHILI wenye heshima zaooooo!!
 

Attachments

  • 1437860578207.jpg
    1437860578207.jpg
    61.8 KB · Views: 446
Duuuuh mondi kila akigusa tuzo kweli zari kaja na manyota yke toka ug.....viti maalum alikua hana nyota gundu tupu alikua anamtia chibu,mara n nyota kali cjui bila mimi chibu c lolote.nimeamini madam hana nyota bali ana kimondo

Huyu mwari ni special kwa waheshimiwa tuuuuuuuu!!!
 

Attachments

  • 1437860752900.jpg
    1437860752900.jpg
    48 KB · Views: 387
Back
Top Bottom