MO acha kujifanya mjuaji. Kisasi kwa ujuaji wako kinaiimarisha Yanga, Azam kakukomoa kwa kuwapa Yanga bilioni 41, SportPesa kamwaga 12

MO acha kujifanya mjuaji. Kisasi kwa ujuaji wako kinaiimarisha Yanga, Azam kakukomoa kwa kuwapa Yanga bilioni 41, SportPesa kamwaga 12

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Yote haya tunayoyaona ni kisasi tu, hapa bongo ukijifanya mjuaji kwenye hizi club za kariakoo basi wanamnenepesha mtani mwenzio ili akuchape gepu.

Mo nahisi ana tamaa sana ya kutaka malipo ya juu sana na pale anapokataliwa huwa anawafungia vioo hao aliowakatalia akidhani kwamba ataitwa wakae mezani upya kama ilivyo kwa machinga unavyotaka akubali bei yako unatishia kuondoka kwa matumaini kwamba akuite akubali ofa yako.

Kina bakhresa na sport pesa hawanaga hizo, ukikataa ujibebe tu, hata ukitishia kwenda kuanzisha kampuni pinzani au kwenda kwa wapinzani wao wala hawana shida, dili la kwanza la kuwapa azam haki za maudhui Mo akaanza mambo yake kwamba wafike dau refu na kwamba hata yeye anaweza kuwa na channel tv kama za azam, kusikia haya azam wakaona huyu bado mchanga sana haya mambo wacha tumfundishe adabu kibongo bongo, kilichofafa ni vitendo kwa kuwapa yanga mkataba wa bilioni 41 kwa miaka 10 (takribani bilioni 3.36 kwa mwaka baada ya kodi), pesa hizi zimeweza kuisaidia yanga kwa kiasi kikubwa kwenye kutwaa ubingwa wa makombe matatu. Mo naona kashupaza shingo kawafata kwenye mambo ya ubondia (boxing) wacha wampe mpe tena.

Leo hii Sport pesa wameweka mzigo wa 12 bilioni kwa miaka mitatu (nayo ni takribani nilioni 3.36 kwa mwaka baada ya kodi) , hiki nacho ni kisasi baada ya Mo kuibandua nembo ya sport pesa kwenye jezi,

yaani kwa sasa Yanga imeongezeka maradufu katika pessa za wadhamini bilioni 3.36 ya azam + bilioni 3.36 ya sport pesa hii ni bilioni 6.72... na hapo bado GSM hajatia mzigo wake aisee
 
Me naona ni vzr Kama yanga wamepewa hicho kiasi ,maana yake Simba ndio club inayoendelea kupandisha thaman ya ligi yetu .

Tusiangalie ya Leo tu Kuna kesho pia,kwa lugha nyepesi wadhamini watajikuta wanatoa mzigo wa kutosha kwa timu zingine lengo kuikomoa Simba lakin kinyume chake thamani ya ligi ndio inakua kwa style hiyo.
 
Yote haya tunayoyaona ni kisasi tu, hapa bongo ukijifanya mjuaji kwenye hizi club za kariakoo basi wanamnenepesha mtani mwenzio ili akuchape gepu
Izungumzie Yanga ifahamike. Wewe kila mada unayofungua mi Simba tuu!! Sasa tatizo lako ni nini? Wacha basi Yanga yako waneemeke. Hata michango yako juu ya Simba ni ya kuizodoa tu!

Heri nyie wenye kufanya mema wakati wote.
 
Me naona ni vzr Kama yanga wamepewa hicho kiasi ,maana yake Simba ndio club inayoendelea kupandisha thaman ya ligi yetu .
Tusiangalie ya Leo tu Kuna kesho pia,kwa lugha nyepesi wadhamini watajikuta wanatoa mzigo wa kutosha kwa timu zingine lengo kuikomoa Simba lakin kinyume chake thamani ya ligi ndio inakua kwa style hiyo.
Yaani hayo uliyozungumza mkuu ni mlima mkubwa kwa Utopolo. Hawawazi nje ya box. Wao hawaoni fursa hizo, wanachojua kuwa Simba kapoteza bila kujua kunufaika kwa wengine.
 
Yaani hayo uliyozungumza mkuu ni mlima mkubwa kwa Utopolo. Hawawazi nje ya box. Wao hawaoni fursa hizo, wanachojua kuwa Simba kapoteza bila kujua kunufaika kwa wengine.
Shida ya hawa ndugu zetu kila kitu wanaweka ushabiki na mambo ya kujilinganisha na Simba.

Na Mara nyingi Simba ndie anawatoa tongo tongo kwa mengi .

Mfano mkataba wa gsm sidhani km Kuna club itakujarudia kukurupuka kuvaa nembo ya mdhamini yeyote bila maslahi kuwekwa mezan Tena yenye tija sio unapewa m3 kwa mwez nazo ni hewa.

Kuna vitu Simba inafanya na wengine wananufaika Ila hawaoni mchango wa Simba .

Kitendo cha Simba kumkazia sportpesa kutoa pesa kiduchu ndio faida kwa yanga ambapo sportpesa imelazimika kutoa pesa kama kumkomoa Simba lakin nje ya box Ina faida kubwa Sana hapo baadae kwa vilabu vyote.
 
Manyonyo tunawaonea huruma, Msipojiangalia haya makombe Yanga tutakuwa tunapokezana na Azam miaka 10 mfululizo.

Halafu hio tarehe 13 vp, mmeshanyoa au, msije kuanza kulalamika hamkujiandaa
Tulia acha shobo..yani sijui akili zenu mnaweka wapi kwahyo hela hyo tayari makombe yameshaingia. Simba Kukataa kwake hyo hela ndo kumewapa yanga kupewa juu ila akili kama mazwazwa kutwa kutaka kushindana na Simba.

Yaani sijui hata kama mnafuraha maskini maana mlishinda kombe ila thread za masikitikoo na malalamiko kwa simba daily haya mmepqta hizo hela badala muangalie mtazitumiaje na hilo li club lenu ila mnataka kuringishia kama watoto. Subirini Simba hawajatangaza bado dau lao mbona kama chup zinawawasha?.
 
Manyonyo tunawaonea huruma, Msipojiangalia haya makombe Yanga tutakuwa tunapokezana na Azam miaka 10 mfululizo.

Halafu hio tarehe 13 vp, mmeshanyoa au, msije kuanza kulalamika hamkujiandaa
Azam hii nausa ile kitu toto napenda kulamba
 
Yote haya tunayoyaona ni kisasi tu, hapa bongo ukijifanya mjuaji kwenye hizi club za kariakoo basi wanamnenepesha mtani mwenzio ili akuchape gepu...
Sasa hilo gepu liko wapi? Yanga na Simba zote zipo level moja tu, waambie Yanga wajenge uwanja basi ili iipige gepu simba
 
Mm ntakuwa wa mwisho kuamin kwamba hawa wa chezesha kamari walikuwa tayar kuwapa Simba sc B4 ...

Iyo B4 per year Utopolo wamepewa sababu tayar mmoja alishakataa so kama kampuni ikaona bora ika sign na kuwapa utopo fungu lote yaan ya mabingwa Simba na utopolo ...

Alafu hata ukisikiliza I'll le press ya leo yaan Abbasi aliongea kishabiki sanaa na tabasamu mnoo...kila mtu anajua yakuwa yule ni shabiki wa utopoloo
 
Washabiki wa Yanga kwanini kila siku mnatoa kauli za kumkashifu MO ?

Mbina simba hawatoi kauli za kumkashifu GSM ?

Yaani kila siku lazima MO akashfiwe.
Mnaonekana mmekaa kishari shari tu au mna wivu mkubwa na mafanikio ya Simba.

Kama mtapata pesa nyingi ya udhamini na ni jambo zuri, na Simba wataiga kutoka kwenu.

Wanayanga kila siku mnakesha kumkashifu MO shida yenu ninini hasa ?

Kama kufaniniwa basi fanikiweni nyinyi tuwaone.
Miaka nenda rudi timiu yenu haina mafanikio yoyote ya mpira lakini hamuishiwi kutoa kauli za kajeri kila siku.

MO naye ni Binadamu anahitaji staha kama nyinyi.

Kama mmepata idhamini mkubwa shukuruni kwa hilo kwani sio lazima Simba wawe juu yenu.

Kila siku ni MO MO MO hadi makoo yanawakauka hamna jema lolote kwa MO.

Ndio maana Manara alisema hamna akili na Kocha Aime akamalizia kabisa kuwa mna akili za Kinyaninyani.

Jifunzeni kuheshi watu kama anavyoheshimiwa mdhamini wenu GSM
 
Yote haya tunayoyaona ni kisasi tu, hapa bongo ukijifanya mjuaji kwenye hizi club za kariakoo basi wanamnenepesha mtani mwenzio ili akuchape gepu...

Oscar Oscar anasema ni hela nyingi lakini hakuna tafiti za kina wala Takwim za uhakika kuthibitisha hela hizo, na kwa vilabu hivi kwa kupenda sifa za kijinga,unaweza kukuta data za kupikwa tu.

Bahati nzuri ukiwa na fedha mambo hayajifichi. Itaonekana tu. Na je ni kweli Simba haina fedha kama mleta mada anavyotaka kuaminisha?
 
Back
Top Bottom