Mo apata changamoto, Bakhresa atoa dau bilioni 25 kuinunua Simba SC

Status
Not open for further replies.
Simba ina thamani ya bilion 100?
Acha ujinga ww
 
Kwahiyo JKT Duvu akipanda itabifdi abinafsishwe maana kuna Ruvu Shooting ?
 
Usijilazimishe kuonekana mpuuzi na matusi kibao. Kambi hazina miliki ya kitu chochote cha kijeshi, timu inamilikiwa na jeshi. Unajua nani anawalipa mshahara hao wachezaji? Uliwahi kujiuliza wanaishije ? Usilazimishe kuonekana unajua jambo usilojua.

Wachezaji wa timu za jeshi ni watumishi kama watumishi wengine jeshini. Hawamilikiwi na kambi kwa kuwa hakuna kambi inayoombewa budget wala kupewa pesa na serikali isipokuwa jeshi kama jeshi.

Hivyo hivyo kwa timu za Polisi. Jiulize kwa nini Sport Pesa wamepeleka pesa za udhamini wa Polisi Dodoma kwa IGP na sio RPC?

Mambo usiyoyajua uwe unaaacha yapite. Hakuna ujuacho kwenye mifumo ya utawala wa majeshi.
 
Haya jery muro mdogo ake haji manara.... siwezi kupigia mbuzi zilipendwa pambana na akili yako ya njiwa
 
Kwaio atakuwa na umiliki wa timu mbili ambazo zote zipo premier league? Sheria zinasemaje? vipi umiliki timu 2 katika ligi moja? au Tz ilimradi tu boli lipigwe bila kujali kama kutatokea match fixing apo?

Ndo mana naangalia mpira wa ulaya mana huu wa tz ni "ilimradi tunacheza mpira" tu
 
Tunataka bosi awe simba sio wa kwenye kadi aonekane simba kwelikweli,huyu azam hamjui hata Kichuya
Tunataka ufanisi na matokeo mazuri sio ushabiki au mapenzi. Mo ni tapeli miaka kibao yupo Simba kiujanja ujanja na hana jipya. Simba ni timu kubwa akipewa Bakhressa naamini itafikia kiwango cha kina Zamalek au TP Mazembe
 
Mbona sijakusoma Umesema tatizo bakhresa au thread na bado ukatoa mfano. Kwa timu za majeshi. Swali langu kwako kwani bakhresa ni jeshi, au mfanyabiashara na ukumbuke Azam fc inaebdeshwa na mtoto wake bakhresa, yusuph bakhresa sio mzee mwenyewe bakhresa na mzee mwenyewe vigezo vya kuinunua club anao kwa sababu Said salim bakhresa ni group of company ana hisa katika makampuni mbalimbali ya muunganiko wa azam, wakiwepo wanawe akina yusuph. Sijui kama nitakosea kukuelewesha kwa hapo mkuu.
 
Kweli mkuu hizi ni timu za kariakoo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…