General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Simba ina thamani ya bilion 100?Anauza askrimu na unga wa azam ili wachezaji wale washibe wakaifunge yanga...
tusijitoe fahamu hapa thamani ya simba ni kubwa kuliko pesa zote walizozitoa...simba ina value ya zaidi ya 100bilion tshs.
Wachange wote wanunue asilimia 50 tuwape team kama hawataki watuachie timu yetu.
Acha ujinga ww